Zinaa katika uislamu....

Zinaa katika uislamu....

wee waukaye unachekesha kwa hiyo Hata popobawa akisema Mungu anasema wewe utaamini Mungu Amesema nimesha ng'amua ndio sababu mnaamini deen za ajabu ajabu

Sent using Jamii Forums mobile app
Ahahahahaaaahahhahhaaha sasa umepagawa mimi nakwambia ata manabii wanajua kutenganisha hili kasema Mungu na hili kasema nabii, anaposema Mungu lazima nabii aonyeshe kuwa hili la Mungu na hili langu , nabii Nathan kaonyesha kwa uwazi lipi la Mungu na lipi lake kwa kuweka wazi MUNGU ASEMA , wewe unaleta habari za popobawa

2 SAMUEL 12:7
";Basi Nathan akamwambia Daudi, wewe ndiwe mtu huyo. Bwana Mungu wa Israel, ASEMA hivi ,Nalikutia mafuta uwe mfalme juu ya Israel , nikakuokoa na mkono wa Sauli";

Mbona hiko wazi maneno ya Mungu yanaoneka na maneno ya Nathan yanaonekana, na utambulisho ni pale " Mungu wa Israel asema hivi"; bahati mbaya watu wanajadili mambo makubwa wewe unaleta viroja vya popobawa
 
Ahahahahaaaahahhahhaaha sasa umepagawa mimi nakwambia ata manabii wanajua kutenganisha hili kasema Mungu na hili kasema nabii, anaposema Mungu lazima nabii aonyeshe kuwa hili la Mungu na hili langu , nabii Nathan kaonyesha kwa uwazi lipi la Mungu na lipi lake kwa kuweka wazi MUNGU ASEMA , wewe unaleta habari za popobawa

2 SAMUEL 12:7
";Basi Nathan akamwambia Daudi, wewe ndiwe mtu huyo. Bwana Mungu wa Israel, ASEMA hivi ,Nalikutia mafuta uwe mfalme juu ya Israel , nikakuokoa na mkono wa Sauli";

Mbona hiko wazi maneno ya Mungu yanaoneka na maneno ya Nathan yanaonekana, na utambulisho ni pale " Mungu wa Israel asema hivi"; bahati mbaya watu wanajadili mambo makubwa wewe unaleta viroja vya popobawa



Ahahahahaaaahahhahhaaha sasa umepagawa mimi nakwambia ata manabii wanajua kutenganisha hili kasema Mungu na hili kasema nabii, anaposema Mungu lazima nabii aonyeshe kuwa hili la Mungu na hili langu ,

MUHAMMAD ALISHINDWA KUTOFAURISHA KAULI YA MUNGU NA POPOBAWA

nabii Nathan kaonyesha kwa uwazi lipi la Mungu na lipi lake kwa kuweka wazi MUNGU ASEMA , wewe unaleta habari za popobawa

LICHA YA NABII MIMI MGEN NAJUA HILI LA MUNGU NA HILI NI LA SHETANI

2 SAMUEL 12:7
";Basi Nathan akamwambia Daudi, wewe ndiwe mtu huyo. Bwana Mungu wa Israel, ASEMA hivi ,Nalikutia mafuta uwe mfalme juu ya Israel , nikakuokoa na mkono wa Sauli";

Mbona hiko wazi maneno ya Mungu yanaoneka na maneno ya Nathan yanaonekana, na utambulisho ni pale " Mungu wa Israel asema hivi"; bahati mbaya watu wanajadili mambo makubwa wewe unaleta viroja vya popobawa

WAUKAYE WEWE UNAPIMAJE HII NI KAULI YA MUNGU NA HII SIO sababu ya kukuuliza hivyo Hata muhammad ALISHINDWA wakati mwingine kujua lipi ni NENO la Mungu na lipi la POPOBAWA alipo ulizwa alijitetea

IMG_20190129_171429_256.jpg
au nikuwekee ayat za shetani ndani ya quran

Sent using Jamii Forums mobile app
 
WAUKAYE WEWE UNAPIMAJE HII NI KAULI YA MUNGU NA HII SIO sababu ya kukuuliza hivyo Hata muhammad ALISHINDWA wakati mwingine kujua lipi ni NENO la Mungu na lipi la POPOBAWA alipo ulizwa alijitetea

View attachment 1007909 au nikuwekee ayat za shetani ndani ya quran

Sent using Jamii Forums mobile app
Mgen
Hakuna aya za Shetani ndani ya Quraan,kuwa makini na kauli zako

Kisha
Haya mabishano yenu,yamekaa ktk mtazamo wa Mipasho

sidhani kama mnakusudia kheri
Maana ni kusema na kubezana tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
WAUKAYE WEWE UNAPIMAJE HII NI KAULI YA MUNGU NA HII SIO sababu ya kukuuliza hivyo Hata muhammad ALISHINDWA wakati mwingine kujua lipi ni NENO la Mungu na lipi la POPOBAWA alipo ulizwa alijitetea

View attachment 1007909 au nikuwekee ayat za shetani ndani ya quran

Sent using Jamii Forums mobile app
Ahahahahaaaahahhahhaaha daah jamaa anasikitisha sana ahahahaha , mimi ninapokwambia unionyeshe wapi bwana ASEMA unatakiwa unionyeshe , sio kuleta utetezi wa kitoto, mimi nafahamu biblia kuna maneno ya watu na maneno ya Mungu, mfano mdogo

EZRA 2:88
"; Wana wa ZATU , mia kenda arobaini na watano ",(945)

Halafu pokea hiyo
NEHEMIA 7:13
"; Wana wa ZATU, mia nane arobaini na watano(845)

Wote wanaelezea tukio la wana wa ZATU waliorudi kutoka utumwani babiloni, kila mmoja anadai kuongozwa na roho mtakatifu lakini huyu 945 na huyu 845, sasa kati ya hawa wawili nani aliongozwa na roho mtakatifu wa ukweli ? na nani aliongozwa na roho mtakatifu wa uongo akatutajia namba za uongo? ndio maana Mungu anaposema lazima uone nabii yule akitenganisha kwa mujibu wa biblia kuwa hili langu na hili Mungu ASEMA , kuhusu Quran kuna utaratibu wake na hiko wazi
 
Unataka kuuhalalisha?
...sina nia ya kukashifu dini ya mtu au mtu binafsi ila naomba ufafanuzi. Zinaa inatafsiriwaje katika Uislamu? Kwa Mkristo kufanya ngono nje ya mahusiano ya ndoa ni ama uasherati (in case mmoja wa wahusika wa hicho kitendo hana ndoa) au uzinzi (kwa muhusika aliemo kwenye ndoa).
Nyie ndugu zetu Waislamu mnautafsiri vipi uzinzi?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ahahahahaaaahahhahhaaha daah jamaa anasikitisha sana ahahahaha , mimi ninapokwambia unionyeshe wapi bwana ASEMA unatakiwa unionyeshe , sio kuleta utetezi wa kitoto, mimi nafahamu biblia kuna maneno ya watu na maneno ya Mungu, mfano mdogo

EZRA 2:88
"; Wana wa ZATU , mia kenda arobaini na watano ",(945)

Halafu pokea hiyo
NEHEMIA 7:13
"; Wana wa ZATU, mia nane arobaini na watano(845)

Wote wanaelezea tukio la wana wa ZATU waliorudi kutoka utumwani babiloni, kila mmoja anadai kuongozwa na roho mtakatifu lakini huyu 945 na huyu 845, sasa kati ya hawa wawili nani aliongozwa na roho mtakatifu wa ukweli ? na nani aliongozwa na roho mtakatifu wa uongo akatutajia namba za uongo? ndio maana Mungu anaposema lazima uone nabii yule akitenganisha kwa mujibu wa biblia kuwa hili langu na hili Mungu ASEMA , kuhusu Quran kuna utaratibu wake na hiko wazi
Kumbe Hata Hujui shetani ni SPIRIT?! Hivyo anatumia vinywa vya watu kutimiza haja zake kishetani!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
...sina nia ya kukashifu dini ya mtu au mtu binafsi ila naomba ufafanuzi. Zinaa inatafsiriwaje katika Uislamu? Kwa Mkristo kufanya ngono nje ya mahusiano ya ndoa ni ama uasherati (in case mmoja wa wahusika wa hicho kitendo hana ndoa) au uzinzi (kwa muhusika aliemo kwenye ndoa).
Nyie ndugu zetu Waislamu mnautafsiri vipi uzinzi?
Zinaa ni kufanya mapnz na mwanamk ambae hujamuoa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimemsikia sheikh mmoja akisema kuwa Muislamu (mwanaume) anaweza kuingia ndoa ya muda maalumu (nikah mut'ah) na mwanamke halafu baada ya hapo akamtaliki. Kwa mfano mimi naishi Tanga lakini nikapata safari ya kikazi Kigoma ya wiki moja na huko nikakutana na binti basi tukikubaliana namwambia "bi mdogo nitakuoa kwa siku mbili au tatu maana nitarejea Tanga siku ya tano".

Unaliongeleaje hilo? Ni halali?
Huyo shekh ni SHIA ila ndoa ya muda (mut'a) mtume s.a.w kaikataza hivyo haifai

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyo shekh ni SHIA ila ndoa ya muda (mut'a) mtume s.a.w kaikataza hivyo haifai

Sent using Jamii Forums mobile app

Lakini Shia nao ni Waislamu na mtume wao ni yule yule Mohammed mtume wa Wasuni! Na Qur'an inayotumika ni hiyo hiyo moja. Iweje sheria iwe halali kwa Washia lakini ikawa haram kwa Wasuni?
 
Kumbe Hata Hujui shetani ni SPIRIT?! Hivyo anatumia vinywa vya watu kutimiza haja zake kishetani!

Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa ndio utuambie hawa wawili wote wanazungumzia tukio moja , nani aliongozwa na roho wa Mungu akataja idadi sahihi ya wana wa ZATU ? halafu ni nani alitumiwa na shetani kutaja namba ambayo ni ya uongo ya wana wa ZATU? mbona ni rahisi tu ahahaahaaahahh, tunafahamu 945 sio 845 tofauti ya watu mia imepotoshwa

EZRA 2:8
"; Wana wa ZATU, mia kenda arobaini na watano,(945).

NEHEMIA 7:13
"; Wana wa ZATU, mia nane arobaini na watano(845).

Ndio uje utuambie nani kasema kweli na nani kasema uongo kati ya Nehemia au Ezra , ili tujue nani alichezewa na huyo SPIRIT (shetani) kwenye kinywa akataja namba ambayo ni uongo
 
Lakini Shia nao ni Waislamu na mtume wao ni yule yule Mohammed mtume wa Wasuni! Na Qur'an inayotumika ni hiyo hiyo moja. Iweje sheria iwe halali kwa Washia lakini ikawa haram kwa Wasuni?
Mkuu maswali gani unauliza jibu ni tofauti za kielimu, ndio maana unaona wasabato katu awasherekei Christmas lakini waroma wanasherekea na wote wanadai ni wafuasi wa Yesu, vilevile mashahidi wa Yehova wanakataa kuwa Yesu si Mungu lakini walokole wanatoka mishipa kutetea kuwa Yesu ni Mungu, hivyo ni jambo la kawaida kutofautiana kutokana na tafsiri za dalili mbali mbali
 
Nilipata kusikia mhubiri akisema mwanaume anapewa nguvu za kutumia kwa mizigo 100 kwa siku lakini anatumia mizigo 40 tu, je nini tafsiri rahisi ya hii mizigo 40 kiuhalisia
 
Lakini huna hiari ya kusema (kwa mfano), kuoa mke zaidi ya mmoja na kufanya ndoa ya muda mfupi ni vibaya.


Tunaambiwa Suleiman alikuwa na wake wengi na masuria pia lakini bado alipendwa na Mungu. Je kama polygamism ni dhambi huyu mtumishi aliwezaje kupendwa na Mungu hata baada ya kuenenda isivyo!
 
Tunaambiwa Suleiman alikuwa na wake wengi na masuria pia lakini bado alipendwa na Mungu. Je kama polygamism ni dhambi huyu mtumishi aliwezaje kupendwa na Mungu hata baada ya kuenenda isivyo!

Mungu alimpa rehema tu Suleimani kwa ajili ya baba yake Mfalame Daudi. Lakini dhambi zake zilianza kuwatafuna watoto wake Suleimani na vizazi vyake.
 
Mkuu maswali gani unauliza jibu ni tofauti za kielimu, ndio maana unaona wasabato katu awasherekei Christmas lakini waroma wanasherekea na wote wanadai ni wafuasi wa Yesu, vilevile mashahidi wa Yehova wanakataa kuwa Yesu si Mungu lakini walokole wanatoka mishipa kutetea kuwa Yesu ni Mungu, hivyo ni jambo la kawaida kutofautiana kutokana na tafsiri za dalili mbali mbali

Nikiamua kuwa mwizi haitakuwa na maana na wewe iwe halali kwako kuwa mwizi. Kigezo kiwe kwenye chanzo (Biblia au Quran kulingana na imani ya mtu kwenye kitabu husika). Kwangu mimi ni lazima mtu uwe na justification ya kuamini unachokiamini kwa kuwa kitabu unachokiamini kuwa ni muongozo wako ni lazima kiwe na maelezo yasiyopingana. Sherehe na mapokeo hayawezi kuwa msingi wa kuthibitisha au kukanusha ukweli wa nguzo za imani yako.
 
Mungu alimpa rehema tu Suleimani kwa ajili ya baba yake Mfalame Daudi. Lakini dhambi zake zilianza kuwatafuna watoto wake Suleimani na vizazi vyake.


Dhambi ya mzazi inawachoma watoto kwani walihusika vipi kwenye uovu
 
Sasa ndio utuambie hawa wawili wote wanazungumzia tukio moja , nani aliongozwa na roho wa Mungu akataja idadi sahihi ya wana wa ZATU ? halafu ni nani alitumiwa na shetani kutaja namba ambayo ni ya uongo ya wana wa ZATU? mbona ni rahisi tu ahahaahaaahahh, tunafahamu 945 sio 845 tofauti ya watu mia imepotoshwa

EZRA 2:8
"; Wana wa ZATU, mia kenda arobaini na watano,(945).

NEHEMIA 7:13
"; Wana wa ZATU, mia nane arobaini na watano(845).

Ndio uje utuambie nani kasema kweli na nani kasema uongo kati ya Nehemia au Ezra , ili tujue nani alichezewa na huyo SPIRIT (shetani) kwenye kinywa akataja namba ambayo ni uongo
Mimi Naangalia UJUMBE KAMA BIBLIA TAKATIFU ILIVYO AGIZA NILIO UPATA HAPO TOKA MAANDIKO ULIYO WEKA NI USHAHIDI WA KWELI ZATU ALIKUWA NA WATOTO WENGI TU!
IMG_20190201_065445_145.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom