masoud mshahara
JF-Expert Member
- Mar 31, 2018
- 4,712
- 2,010
Kichwa maji kama wewe ni upotevu wa rasilimali kukunyoa na kiwembe chenye makali, butu ndio size yako
Kichwa maji kama wewe ni upotevu wa rasilimali kukunyoa na kiwembe chenye makali, butu ndio size yako
Tumia akili kaka ata ya kuendea chooni tu , Mungu sio dhariri kiasi eti aje apigweee wewe na watu aliowaumba eti ndio akomboe watu hao hao, hili ata mtoto wa chekechea analijua , Mungu wa kweli haitaji kutemewa mate na viumbe wake toka huko huu ni utovu wa nidhamu kwa muumba wa mbingu na nchiTulia utafakari waukaeHakuna kitu kibaya Kama Kumdhalilisha Mungu kama Kutamka kwamba MUNGU HAWEZI
![]()
na hili litawapa wengi wepesi kwenda jehannam
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi nijibu kitu ambacho bado kiko sirini kwakeUnaposema Mungu anaweza kufanya lolote, halafu unaulizwa swali Mungu wako anaweza kubeba mimba na kuzaa mapicha ? badala ya kutoa jibu unaanza kuleta mambo ambayo katu ayaendani na ulichoulizwa unastaajabisha sana ahahahaha ahahahhahahhahah
ubavu huo sina waukaye
wewe kama una ubavu sema H A W E Z I labda wewe ni mc wake
Baraka umesha ziandika ilaha ulipitiwa na Baraka ya Ishmael kuwa punda pori Hivyo nimekukumbuka tuHuo ndio mwisho wako nilifikiri utakuja na aya nyingine, kama Mungu wako amembariki Ishmael wewe kapuku utaongeza nini ?ahahahaahhhahhaha
Ahahahahaaaahahhahhaaha utetezi wako hauna maana unahuzunisha labda nikuulize swali URIA mhiti alikuwa bwana wa Daudi? andiko linasema Mungu amempa Daudi WAKE ZA BWANA ZAKE , wewe unatuletea habari ya Daudi kumuua Uria mhiti ambaye alikua ni askari tu wa kawaida wala hakuwa bwana wa Daudi ,unajificha kwenye vioo AhahahahaahahaahahaUnahalalisha zinaa kwa Kigezo cha Daudihadi unabadili maudhui ili ionekane Mungu karuhusu Daudi afanye zina
Mungu Anamlaumu Daudi
View attachment 1004028 hadi Daudi AMEFUNGA NA KUSALI KUJUTIA ZINA ALIYO IFANYA
View attachment 1004036 Mungu Anamuadhibu Daudi
View attachment 1004037 Endelea kuchapa vibubu waukaye sikio la kufa halina daawa
![]()
Sent using Jamii Forums mobile app
Ahahahahaaaahahhahhaaha Nakuuliza swali Mungu kupigwa makofi anaweza?Mimi nijibu kitu ambacho bado kiko sirini kwakeubavu huo sina waukaye
wewe kama una ubavu sema H A W E Z I labda wewe ni mc wake
![]()
Sent using Jamii Forums mobile app
Kiwembe butu Alafu unatangaza kunyoaKichwa maji kama wewe ni upotevu wa rasilimali kukunyoa na kiwembe chenye makali, butu ndio size yako
utanyoaje
akili nyingine bana
Ahahahahaaaahahhahhaaha wewe kapuku huna ubavu wa kupambana na Ishmael , kama Mungu wako kambariki, wewe nani ?ahahahaahhhahhaha kunywa maji labda ufute hayo maandikoBaraka umesha ziandika ilaha ulipitiwa na Baraka ya Ishmael kuwa punda pori Hivyo nimekukumbuka tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Nakwangua kichwa hicho unakuwa kama umenyolewa na panga kumbe wembe , ahahahaaajaauaaaua kutumia wembe mpya ni utumiaji mbovu wa pesaKiwembe butu Alafu unatangaza kunyoautanyoaje
![]()
![]()
![]()
![]()
akili nyingine bana
Sent using Jamii Forums mobile app
Hawa wajinga hawajui kuwa 'Manabii' wote ni watu wema.Ahahahahaaaahahhahhaaha utetezi wako hauna maana unahuzunisha labda nikuulize swali URIA mhiti alikuwa bwana wa Daudi? andiko linasema Mungu amempa Daudi WAKE ZA BWANA ZAKE , wewe unatuletea habari ya Daudi kumuua Uria mhiti ambaye alikua ni askari tu wa kawaida wala hakuwa bwana wa Daudi ,unajificha kwenye vioo Ahahahahaahahaahaha
2 SAMUEL 12:7-8
7";Basi Nathan akamwambia Daudi, wewe ndiwe mtu huyo. Bwana Mungu wa Israel , ASEMA nalikutia mafuta , uwe mfalme juu ya Israel, nikakuokoa na mkono wa Sauli;
8" NAMI NIKAKUPA nyumba ya wako, na WAKE ZAO bwana wako kifuani mwako; NIKAKUPA nyumba ya israel na yuda; na kama hayo yangalikuwa machache , ningekuongeza mambo kadha wa kadha";
Mambo aliyopewa Daudi na Mungu wake
1.Nyumba ya bwana wake
2.WAKE ZA bwana wake(ni wengi sio mmoja )
3.Nyumba ya Israel
4.Nyumba ya yuda
Tena akapewa na ofa kama avitoshi angemuongeza vingine , wewe bila aibu unatuletea kisa kingine ambacho daudi akupewa aliua askari wake ili achukue mke ,vitu tofauti kabisaaaaaaa ahahahhahahaah ahahahhha ahaahhhhhahaha
Tumia akili kaka ata ya kuendea chooni tu , Mungu sio dhariri kiasi eti aje apigweee wewe na watu waliomuumba eti ndio akomboe watu hao hao, hili ata mtoto wa chekechea analijua , Mungu wa kweli haitaji kutemewa mate na viumbe wake toka huko huu ni utovu wa nidhamu kwa muumba wa mbingu na nchi
siri mojawapo Ambayo inatakiwa uimwage humu ni siku utakavyo kufa na asbab utakavyo pelekea kufa kwako
Mimi nafahamu kuwa Allah ndie anaetoa amri ya mimi kufa, kama anavyojua watoto waliopo tumboni mwa mama zao, mimi nafahamu Allah hawezi kubeba mimba kwa sababu viko nje ya kanuni zake, wala hawezi kupigwa makofi kwa sababu ni nje ya kanuni na utaratibu , Allah hawezi kudharirishwa na viumbe wake, wewe ndio utuambie Mungu wako anaweza kudharirishwa mfano kutemewa mate pteuuu kama kinyesi, braza huo ni utovu wa nidhamu na kukosa heshima ili aliitaji ufike university liko wazi, binadamu wa Mungu, moto wa mungu, shetani wa Mungu, mbingu ya Mungu, sasa Mungu aje achezee kichapo kwa faida ya nani ?huu ukweli mchungu kumezawaukaye inawezekana mwenzetu unajua siri zoote za allahView attachment 1005925 uwe unatumwagia humu mtu wangu
siri mojawapo Ambayo inatakiwa uimwage humu ni siku utakavyo kufa na asbab utakavyo pelekea kufa kwako
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi nafahamu kuwa Allah ndie anaetoa amri ya mimi kufa, kama anavyojua watoto waliopo tumboni mwa mama zao, mimi nafahamu Allah hawezi kubeba mimba kwa sababu viko nje ya kanuni zake, wala hawezi kupigwa makofi kwa sababu ni nje ya kanuni na utaratibu , Allah hawezi kudharirishwa na viumbe wake, wewe ndio utuambie Mungu wako anaweza kudharirishwa mfano kutemewa mate pteuuu kama kinyesi, braza huo ni utovu wa nidhamu na kukosa heshima ili aliitaji ufike university liko wazi, binadamu wa Mungu, moto wa mungu, shetani wa Mungu, mbingu ya Mungu, sasa Mungu aje achezee kichapo kwa faida ya nani ?huu ukweli mchungu kumeza
Tatizo lako unatuletea maneno ambayo katu Mungu ajayasema halafu wewe unasema kasema Mungu , ebu niambie hayo maneno kasema nani? tuanzie hapoHayo mbona wote tunayajua bro! Hili Akili Tufunulia Mungu mbona husemi View attachment 1006205View attachment 1006206 hii sio siri tena
Sent using Jamii Forums mobile app
Kasema Mungu kwa kinywa cha YohanaTatizo lako unatuletea maneno ambayo katu Mungu ajayasema halafu wewe unasema kasema Mungu , ebu niambie hayo maneno kasema nani? tuanzie hapo
Onesha huo mstari Mungu akisema kwa kinywa cha Yohana , maana manabii wote walionyesha namna Mungu alivyosema kwa vinywa vyao mfano
Onesha huo mstari Mungu akisema kwa kinywa cha Yohana , maana manabii wote walionyesha namna Mungu alivyosema kwa vinywa vyao mfano
Huyu nabii Nathan
2 SAMUEL 12:7
"; Basi Nathan akamwambia Daudi, wewe ndiwe mtu huyo. Bwana Mungu wa Israel , ASEMA HIVI, nalikutia mafuta , uwe mfalme juu ya Israel,nikakuokoa na mkono wa Sauli;
Ahahahahaaaahahhahhaaha haya tuonyeshe wapi " ASEMA" ahahahahahaahajajajaj unaleta usanii hapa, maneno yenu mnamsingizia Mungu
Ahahahahaaaahahhahhaaha umenielewa unaposema Mungu kasema unatakiwa uthibitishe Mungu kasema kwa kutoa andiko lenye neno hili Mungu " ASEMA " nimekupa andiko 2 SAMUEL 12:7 bwana ASEME , badala ya kuleta andiko unaleta siasa ahahahhaahahajaajajjaa ahahahahahhahahahaBIBLIA TAKATIFU haikuandikwa Apendavyo mtu masudi ilahaView attachment 1006915 Tunajadili Maandiko waukaye
Sent using Jamii Forums mobile app
wee waukaye unachekeshaAhahahahaaaahahhahhaaha umenielewa unaposema Mungu kasema unatakiwa uthibitishe Mungu kasema kwa kutoa andiko lenye neno hili Mungu " ASEMA " nimekupa andiko 2 SAMUEL 12:7 bwana ASEME , badala ya kuleta andiko unaleta siasa ahahahhaahahajaajajjaa ahahahahahhahahaha
kwa hiyo Hata popobawa akisema Mungu anasema wewe utaamini Mungu Amesema
nimesha ng'amua ndio sababu mnaamini deen za ajabu ajabu