Abuu Dharr
JF-Expert Member
- Dec 28, 2017
- 2,912
- 3,022
Sasa kama ilijadiliwa,mbona umeuliza tena Mkuu?!
au unamaana tofauti na hayo?!
Ama kusema
Watt wa mwanamke mke mtumwa,kuwaingilia kama unavyomuingilia Mama yao,Hili halifai kisheria
Kama yupo aliesema haya
Basi ameteleza kwa bahati mbaya
Ila Haifai kisheria Mkuu
Sent using Jamii Forums mobile app
au unamaana tofauti na hayo?!
Ama kusema
Watt wa mwanamke mke mtumwa,kuwaingilia kama unavyomuingilia Mama yao,Hili halifai kisheria
Kama yupo aliesema haya
Basi ameteleza kwa bahati mbaya
Ila Haifai kisheria Mkuu
Hiyo imeshajadiliwa hapa na references zikaletwa. In fact kuna mtu alisema hadi watoto walio katika himaya ya mkono wa kulia wa muislamu.
It wasn't me; nimejifunza kwenye uzi huu huu.
Sent using Jamii Forums mobile app