Abuu Dharr
JF-Expert Member
- Dec 28, 2017
- 2,912
- 3,021
Unapokuja na tuhuma,huwa una uhakika wa unachokisema
ilikuwa busara kuuliza
Huyo Mtume wao ni yupi?!
kuliko kusema
nimeamua kuwadanganya mchana kweupe!!!!
Sent using Jamii Forums mobile app
ilikuwa busara kuuliza
Huyo Mtume wao ni yupi?!
kuliko kusema
nimeamua kuwadanganya mchana kweupe!!!!
Sasa umeamua kutudanganya mchana kweupe pee ndugu yangu. Mgawanyiko wa Uislamu kati ya Shiah na Sunni ulitokana na ugomvi wa nani awe Khalifa baada ya Mohammed kufa (Shiah wakishikilia kuwa ndugu wa damu wa Mohammed Ally na wengine wakisema Abubakar mmoja wa masahaba ndie achukue mahali pake). Sasa huyo mtume wao ni yupi tena?
Sent using Jamii Forums mobile app
Dhahir eeh