....kwani kuna uhalali wa ngono unaokuja bila ya ndoa !?.....hebu jipange vizuri unachohitaji nini. Unaonekana kama una kitu chako hivi kichwani sasa unazunguka zunguka hivii !Asante sana. Naomba tafsiri ya mtu halali (wa kufanya nae ngono kihalali) na tafsiri ya ndoa kwa mwanaume wa Kiislamu.
...yaap ! Nilihisi una kitu ila una zunguka zunguka !Nimemsikia sheikh mmoja akisema kuwa Muislamu (mwanaume) anaweza kuingia ndoa ya muda maalumu (nikah mut'ah) na mwanamke halafu baada ya hapo akamtaliki. Kwa mfano mimi naishi Tanga lakini nikapata safari ya kikazi Kigoma ya wiki moja na huko nikakutana na binti basi tukikubaliana namwambia "bi mdogo nitakuoa kwa siku mbili au tatu maana nitarejea Tanga siku ya tano".
Unaliongeleaje hilo? Ni halali?
Ndoa hiyo wanafanya Mashia na Mashia si Waislaam !Nimemsikia sheikh mmoja akisema kuwa Muislamu (mwanaume) anaweza kuingia ndoa ya muda maalumu (nikah mut'ah) na mwanamke halafu baada ya hapo akamtaliki. Kwa mfano mimi naishi Tanga lakini nikapata safari ya kikazi Kigoma ya wiki moja na huko nikakutana na binti basi tukikubaliana namwambia "bi mdogo nitakuoa kwa siku mbili au tatu maana nitarejea Tanga siku ya tano".
Unaliongeleaje hilo? Ni halali?
...kuna aya inayo amrisha hata uone anaekataza anakiuka mafundisho !?Kuna aya inayokataza au wewe umeamua kuikataa? Na kama hakuna aya huoni kuwa unakiuka ulichoamrishwa?
Wapi limeamrishwa lifuatwe !?Kwa hiyo kuna hiari ya kufuata au kutofuata jambo katika Uislamu?
Dowry ni Wages !?Hii hapa;
'So those of them [women] whom you enjoy, give to them their appointed wages' (4:24).
You have put it short and simple. Baada ya maridhiano lazima kuwe na masharti na taratibu.Ndoa ni mkataba wa kuishi pamoja kati ya mume na mke kwa kufuata utaratibu uliowekwa na jamii. Ndoa ya Kiislamu (Nikah) ni mkataba (Aqd) wa hiari kati ya mume na mke wa kuishi pamoja kwa wema na upendo kufuatana na masharti na taratibu zilizowekwa na sheria ya Kiislamu.
Mzee haya maji marefu waachie wajuaji kidogo usitake kuharibu
Upo kote kote mdau! HongeraaaKatika uislam mahari anapewa anayeolewa sababu ndiye anayeenda kumtumikia muoaji(tendo la ndoa)
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndugu yangu, kabla Safuha hajakujibu, namkumbusha kuwa dini haiendeshwi kwa mawazo na fikra za mtu mmoja mmoja. Ndoa ya mut'aa ilishakatazwa na mbadala wake tukapewa ruhusa ya kuwa na ndoa za mitala. Ukienda kupigana the so called vita ya uchumi basi unayo ruhusa ya kuoa mke wa pili huko ulipo.Mpaka hapa nawashukuru sana Safuha na Mfiaukweli kwa mahojiano yenu. Nimenufaika!!
====
Safuha, nikilejea maelezo yako kuwa ruhusa ya ndoa ya mkataba ilitolewa na Mtume (S.A.W) kwa sababu maalumu (vita) kwa sababu ya kukaa muda mrefu nje ya familia na baadaye alikataza (labda baada ya vita kuisha... [naomba maelezo ya ziada sababu ya kusitisha ruhusa hiyo ]).
Je. huoni kuwa sasa ni muda muafaka kurejea ruhusa hiyo kwani siku hizi kuna vita mbali mbali zinazowafanya waumini /wafuasi wa dini wana kuwa mbali na familia zao kwa muda mrefu!? Mfano, kuna vita za ugaidi miaka zaidi ya kumi na tano bado haijaisha.
Pia kuna vita ya kiuchumi watu wako kwenye misheni za vita hii kwa muda mrefu sana tena wengine karibu umri wao wote wa ujana wako kwenye vita hii na hili linaoneka katika familia nyingi hata hapa nchini. Unakuta mama anapigana vita ya kiuchumi Lindi baba anapigana vita ya kiuchumi Kagera ama Baba yupo Katavi vitani mama yupo Tanga ama Kilimanjaro naye anapigana vita ya uchumi kuinusuru familia.... Tena wengine unakuta, Baba yupo Marylland /Detriot (US) na mama yupo Msasani ama Bunju (Tanzania) wote wanapigana vita ya kiuchumi kuinusuru familia!!!
Katika Mazingira haya, huoni kuna haja ya kurejea ruhusa ya ndoa ya mkataba?
Kabisa kabisa. Lakini hawa walivyo washindani atakuuliza nkienda na kwengine na kama nafasi nne zishajaa?? Ilimradi wapinge tu waoVita ya kiuchumi??????oa wanne unaruhusiwa na ni sunna......mtaarifu mkeo aliyembali huko kwamba unaoa mke wa pili....sio kwa muda lakini
Sent using Jamii Forums mobile app
Hili nililijua kwamba lengo lako ni kuleta hoja zisizo msingi.Vita nyingine ya kiuchumi inakulazimu uwe unasafiri karibu zaidi ya maeneo sita kabla ya kurudi makao makuu ya familia; na hizo sehemu unaweza ukawa ukaa zaidi ya wiki tatu sehemu mmoja kabla ya kwenda nyingine. Mzunguko huu wa hizi sehemu waweza kuwa unajirudia mwaka mzima!!! Vita ya kiuchumi ni ngumu sana.
Sasa mpiganaji huyu wa vita ya kiuchumi aoe wanawake sita! Hapana, dini hairuhusu mwisho ni wa nne. Na Je. Mizunguko hii kama inamkabili mpiganaji wa kike, hali inakuwaje, yaani mpiganaji huyu wa kike afanyeje !?
Oa mpaka wa nne siku hizi kuna simu ni kupiga simu tu anakuja anakimbia, kila wiki unaita mmoja simple tuu dini yetu nyepesi MashallahNdugu yangu, kabla Safuha hajakujibu, namkumbusha kuwa dini haiendeshwi kwa mawazo na fikra za mtu mmoja mmoja. Ndoa ya mut'aa ilishakatazwa na mbadala wake tukapewa ruhusa ya kuwa na ndoa za mitala. Ukienda kupigana the so called vita ya uchumi basi unayo ruhusa ya kuoa mke wa pili huko ulipo.
Whaaaaat??? I hope umekosea katika kuandikaHadithi inaweza kutengua aya bila matatizo ndugu yangu.
Lakini hicho kinachotenguliwa lazima kiwe wazi kwamba kiliruhudiwa hapo mwanzo.
Naam
Sasa nimeamini kwamba wewe lengo lako ni kukashifu. Mimi na miaka niliyonayo baba yangu ananitambulisha kwa watu kwamba ni mtoto wake.It is even worse tafsiri hii uliyoileta sasa. Yaani umewajumuisha hadi watoto??!!!
Rangi yako inaonekana mzeeUtumwa unakubalika. Wakati wa mtume ni mtumwa (tena mweusi) ndie anatoa adhana.