Mavipunda
JF-Expert Member
- Jun 27, 2012
- 7,182
- 8,005
Nachoshangaaga Wakongomani ni wazuri wa kukata viuno na kuimba,wengi tunao Tanzania hasa pale Kinondoni. Ukiwaambia ulinzi wa nchi yao hawajui A wala Z. Watasaidiwa ulinzi na nchi jirani mpaka lini hawa! Kila siku wasaidiwe kulindwa,ni aibu kwa wanaume!
Hahaaa viunoo mukujeee ndio vileee