Zimechapwa usiku kucha Congo wacha iitwe Congo aisee

Zimechapwa usiku kucha Congo wacha iitwe Congo aisee

msumeno

JF-Expert Member
Joined
Aug 3, 2009
Posts
2,826
Reaction score
1,738
Usiku wa kuamkia leo mji wa Goma ulizizima baada ya watu wasiofahamisha kumwaga njugu za kufa mtu mjini kwa silaha nzito nzito, kibaya tu ni kwamba vyombo vya habari vya kimataifa kimyaaaaaa wakati watu wamepoteza maisha.

Sijui leo itakuwaje tuombeeni dua tu, ndio maana kwa hakika huwa namuomba Mola wetu aendelee kuilinda nchi yetu Tanzania.

Mrusi ana sauti mbaya aisee.
 
Usiku wa kuamkia leo mji wa Goma ulizizima baada ya watu wasiofahamisha kumwaga njugu za kufa mtu mjini kwa silaha nzito nzito... kibaya tu ni kwamba vyombo vya habari vya kimataifa kimyaaaaaa wakati watu wamepoteza maisha.... sijui leo itakuwaje tuombeeni dua tu. ndo maana kwa hakika huwa namuomba Mola wetu aendelee kuilinda nchi yetu Tanzania... Mrusi ana sauti mbaya aisee!!!!!

Pole mazee, da Mungu awape nguvu ya kuwashinda hao wauwaji.
 
pole sana mkuu ,sisi ndo waafrika tukipewa silaha tunauana wenyewe mali wanaondoka nazo wazungu na ma puppet wao
 
Poleni wandugu; msumeno tunawaombea usalama, utulivu na Amani kwenu.... ukiona kinazidi bora uswanzuke mapema!!
 
Last edited by a moderator:
Poleni wandugu; msumeno tunawaombea usalama, utulivu na Amani kwenu.... ukiona kinazidi bora uswanzuke mapema!!

Leo nafanya evaluation nikiona maji yanazidi unga sintosubiri organisation iniamulie maisha yangu... at the end haya ni maisha yangu...vyuma tuvione wamevibeba tu ila kuvisikia vikifanya kazi inatisha.... nilitamani niingie kwenye uvungu wa kitanda haikuwezekana... wacha bwana bora umasikini kuliko kukosa amani
 
Leo nafanya evaluation nikiona maji yanazidi unga sintosubiri organisation iniamulie maisha yangu... at the end haya ni maisha yangu...vyuma tuvione wamevibeba tu ila kuvisikia vikifanya kazi inatisha.... nilitamani niingie kwenye uvungu wa kitanda haikuwezekana... wacha bwana bora umasikini kuliko kukosa amani

Acha uoga kijana, piga kazi.
 
Acha uoga kijana, piga kazi.

Wewe sauti unayoijua ni ya pancha za baiskeli ulishawahi msikia mrusi wewe!!huu ni mwaka wa tatu niko field ujue lakini nasema ukweli yakinisinda natimua TZ sijaiba
 
Leo nafanya evaluation nikiona maji yanazidi unga sintosubiri organisation iniamulie maisha yangu... at the end haya ni maisha yangu...vyuma tuvione wamevibeba tu ila kuvisikia vikifanya kazi inatisha.... nilitamani niingie kwenye uvungu wa kitanda haikuwezekana... wacha bwana bora umasikini kuliko kukosa amani
Sasa kilichoibua ngoma hiyo kwani bado kujulikana...au ndiyo mchezo wa kila siku "mchana wetu-usiku wao" ??
 
Sasa kilichoibua ngoma hiyo kwani bado kujulikana...au ndiyo mchezo wa kila siku "mchana wetu-usiku wao" ??

Ni kwambie nugu yangu nina mwaka hapa ila ni ngumu kujua huwa wanapigania nini na kwa sisi wageni ni bora zaidi kutojiingiza kwenye mambo yao.... hakuna ajuae
 
Teh teh teh!! nakumbuka siku niko Dar, bado nikiwa mgeni mgeni Tanzania halafu ikawadia siku ya Wahindi kulipua mambo yao Diwali usiku na bila tahadhari, milio ikaanza mjini pale karibu na mtaa wa India. Milio ilitetemesha, yaani nilijaribu kuingia mvunguni mwa kitanda ila sikuenea kwa unene wangu, maana mimi ni jitu la Kiafrika.

Kwa kifupi, ukiskia mtu anakuambia eti "bora tupigane", muache hajaonja. Ilinichukua muda sana kuelewa ni kwamba ni sherehe ya Wahindi. Yaani sielewi kwa nini wanaruhusiwa kuzilipua mjini, kwetu huwa wametengewa sehemu mbali kufanyia yao huko.
 
nchi zenye utajiri kutulia ni issue ngumu...we mwenyewe si unaona hela unayoingiza huko ilivyo nzuri...ila kama angola waliweza labda congo nayo itatulia!..bongo sijui tulibahatika vipi na utajiri wote walishindwa kutuchokonoa kama DRC, South sudan, angola, sierra leone...
 
Wewe sauti unayoijua ni ya pancha za baiskeli ulishawahi msikia mrusi wewe!!huu ni mwaka wa tatu niko field ujue lakini nasema ukweli yakinisinda natimua TZ sijaiba

Mkuuu poleee sanaaa
Asaaa field gani hiyoo ya miakaa mitatuu.???
 
Hao watakuwa ni mai mai ya dwati au mai mai ya ghoshii
 
Nachoshangaaga Wakongomani ni wazuri wa kukata viuno na kuimba,wengi tunao Tanzania hasa pale Kinondoni. Ukiwaambia ulinzi wa nchi yao hawajui A wala Z. Watasaidiwa ulinzi na nchi jirani mpaka lini hawa! Kila siku wasaidiwe kulindwa,ni aibu kwa wanaume!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom