SYLLOGIST!
JF-Expert Member
- Dec 28, 2007
- 7,076
- 6,677
In August, President Robert Mugabe's neighbours declined to criticise
Zimbabwe's human rights record.
Tutabanana hapa hapa mimi siendi popote labda mni- DITO.
Ni Uzalendo wa hali ya Juu! Wakati hapa tunalia mafisadi wanauza nchi nje-Mugabe awafukuza mafisadi wa ardhi na anarudisha ardhi kwa Mwananchi wake-Je Tanzania tuna uwezo huo...hata kwa fikra?