Zimbabwe: Mamlaka kumchunguza Wicknell Chivayokwa Kesi za Rushwa na Ufisadi

Zimbabwe: Mamlaka kumchunguza Wicknell Chivayokwa Kesi za Rushwa na Ufisadi

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
4,393
Reaction score
14,500
Tume ya Kupambana na Rushwa ya Zimbabwe (ZACC), imetangaza kufungua upya jalada la Uchunguzi dhidi ya Mfanyabiashara Wicknell Chivayo kutokana na kuhusishwa kwake na masuala ya Rushwa na Ufisadi katika miradi aliyoifanya na Serikali.

1758436956148.png
Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na ZACC, imeeleza kuwa Maendeleo katika kesi zinazomkabili yalicheleweshwa kutokana na mchakato mgumu wa kupata ushahidi muhimu na usumbufu wa nje ambao ulizuia mahojiano ya wakati unaofaa kwa mtuhumiwa.

Soma > Chivayo 'Mwizi wa Uchaguzi’ na ‘Kipenzi' cha wanasiasa Barani Afrika, ameshatia mkono na kwetu?

Aidha, Tume hiyo imesema Kesi zote zilizowahi kufunguliwa awali zikiwahusu watu wote hata ambao wanaushirika na Viongozi wa Serikali zitachunguzwa upya bila uoga, upendeleo au kubagua mtu yeyote.

Screenshot 2025-09-21 093538.png
 
Serikali dhaifu imemuokota huko aje aibe pesa walipa kodi kutenfeneza karatadi fake za kura...aibuuu uouuzuii mkuuuu
 
Hii italeta picha gani kwa Samia kama huyu Tapeli akikutwa na hatia akafungwa na dili zake zote na viongozi wote zikawekwa wazi na mamlaka ya Zimbabwe?
 
Tume ya Kupambana na Rushwa ya Zimbabwe (ZACC), imetangaza kufungua upya jalada la Uchunguzi dhidi ya Mfanyabiashara Wicknell Chivayo kutokana na kuhusishwa kwake na masuala ya Rushwa na Ufisadi katika miradi aliyoifanya na Serikali.

Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na ZACC, imeeleza kuwa Maendeleo katika kesi zinazomkabili yalicheleweshwa kutokana na mchakato mgumu wa kupata ushahidi muhimu na usumbufu wa nje ambao ulizuia mahojiano ya wakati unaofaa kwa mtuhumiwa.

Soma > Chivayo 'Mwizi wa Uchaguzi’ na ‘Kipenzi' cha wanasiasa Barani Afrika, ameshatia mkono na kwetu?

Aidha, Tume hiyo imesema Kesi zote zilizowahi kufunguliwa awali zikiwahusu watu wote hata ambao wanaushirika na Viongozi wa Serikali zitachunguzwa upya bila uoga, upendeleo au kubagua mtu yeyote.

Huku hawataki hata picha zake zipostiwe...too important it seems 😜😄
 
Boni yai wa Zimbabwe sio mtu aisee🤣🤣. Wakati mwingine najiuliza, hivi Baba dulla hizi picha anazionaga?
 

Attachments

  • 20250912_091308.jpg
    20250912_091308.jpg
    182.6 KB · Views: 15
  • 20250908_163548.jpg
    20250908_163548.jpg
    164.2 KB · Views: 14
Back
Top Bottom