Zimamoto Updates

Zimamoto Updates

THOMAS EMMANUEL ... wewe ungea ukweli mbona jina lako hatulioni kwenye orodha ya watu 309 walioitwa kufanya usaili kiongozi...hebu nipe maelezo kidogo hapo mkuu.

mkuu itakuwa hukuwa na taarifa, majina kwa ajili ya interview yalitoka mara mbili. kati ya hayo majina kuna ndugu yangu amepata kazi na hakuwa akimfahamu mtu yoyote ila yeye jina lake lilitoka awamu ya pili.
 
Mkuu itakuwa hukuwa na taarifa, majina kwa ajili ya interview yalitoka mara mbili. kati ya hayo majina kuna ndugu yangu amepata kazi na hakuwa akimfahamu mtu yoyote ila yeye jina lake lilitoka awamu ya pili.

good!!!!
 
jamani kulikua na usaili kuanzia trh 25/03 hadi 29/03 ukonga,anayesema 309 atakua sio mfuatiliaji wa mambo!! jumla kwa matoleo ya awamu 2 tulikua 515
 
Unasema wako fair kwa sababu wewe umepata chance japo una mashaka nayo. Hebu jaribu kustudy majina ya waliofaulu interview kati ya yale majina yaliyotoka mwanzo ulinganishe na yale 206 yaliyotoka baadaye (yenye watoto wa vigogo wengi likiwemo na lako pia). Watanzania huwa ni wavivu wa kufuatilia mambo. Na kwa taarifa yako kuna baadhi ya walioitwa watapigwa chini na nafasi zao kuchukuliwa na majina ya watoto wa vigogo. NAWAIBIA SIRI TU.

mkuu itakuwa hukuwa na taarifa, majina kwa ajili ya interview yalitoka mara mbili. kati ya hayo majina kuna ndugu yangu amepata kazi na hakuwa akimfahamu mtu yoyote ila yeye jina lake lilitoka awamu ya pili.
 
kati ya majina 206 waliopata kazi ni majina 31 hongereni sana

mkuu itakuwa hukuwa na taarifa, majina kwa ajili ya interview yalitoka mara mbili. kati ya hayo majina kuna ndugu yangu amepata kazi na hakuwa akimfahamu mtu yoyote ila yeye jina lake lilitoka awamu ya pili.
 
Ume over look mkuu...wapo 33...hii ndo TZ...tz nakupenda sana na udumu muungano.

mkuu itakuwa hukuwa na taarifa, majina kwa ajili ya interview yalitoka mara mbili. kati ya hayo majina kuna ndugu yangu amepata kazi na hakuwa akimfahamu mtu yoyote ila yeye jina lake lilitoka awamu ya pili.
 
Janjawidi...umenifanya nichezeshe akili yangu zaidi na zaidi...kuna ukweli happ aisee.

Ila hii ndo Tanzania kijana wangu funika tulilinde,tulijenge na tulitetee Taifa letu.

Tanzania nakupenda.

mkuu itakuwa hukuwa na taarifa, majina kwa ajili ya interview yalitoka mara mbili. kati ya hayo majina kuna ndugu yangu amepata kazi na hakuwa akimfahamu mtu yoyote ila yeye jina lake lilitoka awamu ya pili.
 
Last edited by a moderator:
mkuu itakuwa hukuwa na taarifa, majina kwa ajili ya interview yalitoka mara mbili. kati ya hayo majina kuna ndugu yangu amepata kazi na hakuwa akimfahamu mtu yoyote ila yeye jina lake lilitoka awamu ya pili.

still the water to catch a fish. basi mkuu KISHINDO anataka kutukoroga tu aone tunafikilia nini au naye muzzuxx
 
Bado nijiuliza haya majina wameyatoa wapi?....ni mwendelezo wa majina yale 20 yanaendelea mpaka 40...TZ TZ nakupenda na udumu muungano.

21.Castory willa
22.Faustin F. Mtitu
23..Jane Mayemba
24.Livingstone Fute
25.Lusajo Mboli
26.Malumbo Ngata
27.Mary Zilahulula
28.Maulo D. Kigahe
29.Melania Nyabwinyo
30.Michael M. Maganga
31.Mohamed Koppi
32.Mwamini Yahya Rufumbo
33.Neema Leonard
34.Peter C. Mtui
35.Raphael M. Simon
36.Rashid K. Rashid
37.Revocatus Budeba
38.Rick Nyalusi
39.Sharifa J. Sagamba
40.Thomas Emmanuel

Na huyu mwingine namuongeza anakuwa wa 41. YUSUPH NANYAMBO.

Tanzania nakupenda sana na nitakulinda na kukutumikia kwa moyo wangu wote Kalamu ya chuma.. KISHINDO.. MAWAZO UJENZI.. Gogadi...mpo hapo?

mkuu revocatus budeba alifanya usail oral siku ya jumamos fanya uchunguz wako vizuri,,siyo wote wanabebwa wengine wana uwezo na bahati pia,,wakati ukifika kila kitu kitaenda sawa
 
Last edited by a moderator:
Wengine ni vigumu sana kunielewa but yawezekana mtanielewa hata mwakani.
Kuna mtu aliulizaa kwamba ''mbona hawajaweka kozi za hao waliofaulu usaili?'' watu walimponda kana kwamba kapotea njia but ukweli ni kwamba KUNA WATU WAMECHUKULIWA WALIOSOMA KOZI TOFAUTI NA ZILE ZILIZOTAKIWA, PIA KUNA KUNA WATU WAMECHUKULIWA WENGI SANA KULIKO KOZI ZINGINE NA KUNA KOZI AMBAZO ZILIORODHESHWA BUT HAKUCHUKULIWA MTU HATA MMOJA SABABU NI KWAMBA MSHIKA MKONO HAKUWEPO. NDUGU ZANGU,IACHENI TANZANIA IITWE TANZANIA.

na isitoshe someni majina vyema ya waajiriwa mchukue na walioitwa interview..mtagundua kuna walioitwa kazini bila interview..tz at 50 ..sambaza upendo
 
nadhani tusubiri juma3 ya tarhe 12 tuone na uhamiaji watatuletea habari gani, ila wikiend tucheze kwa uangalifu sana
 
jamani kulikua na usaili kuanzia trh 25/03 hadi 29/03 ukonga,anayesema 309 atakua sio mfuatiliaji wa mambo!! jumla kwa matoleo ya awamu 2 tulikua 515

ukichukua wale watu 515 waliokwenda kwa intavyuu ukigawanya na wale 103 walioitwa kazini unapata 5 ambayo ina maanisha kila nafasi moja ilikuwa inagombewa na watu watano (5)
 
Hivi hao ni assistant surgents? Askari wa kawaida bado?
 
Unasema wako fair kwa sababu wewe umepata chance japo una mashaka nayo. Hebu jaribu kustudy majina ya waliofaulu interview kati ya yale majina yaliyotoka mwanzo ulinganishe na yale 206 yaliyotoka baadaye (yenye watoto wa vigogo wengi likiwemo na lako pia). Watanzania huwa ni wavivu wa kufuatilia mambo. Na kwa taarifa yako kuna baadhi ya walioitwa watapigwa chini na nafasi zao kuchukuliwa na majina ya watoto wa vigogo. NAWAIBIA SIRI TU.

bila shaka KISHINDO wewe ni mtoto wa kigogo wa wizara. Ebu tupe full information,
 
mkuu itakuwa hukuwa na taarifa, majina kwa ajili ya interview yalitoka mara mbili. kati ya hayo majina kuna ndugu yangu amepata kazi na hakuwa akimfahamu mtu yoyote ila yeye jina lake lilitoka awamu ya pili.

Hujanielewa wewe. Hata hivyo ni wachache sana huwa wananielewa, so sikushangai na wewe. Kwa taarifa yako ni kwamba Hayo majina kabla hujayajua na kuyasikia yametoka mi nilikuwa nayo
 
Back
Top Bottom