hebu tujuzeni mliofanya interview na watu waliowaita kazini inawezekana jamaa wapo fair bz hadi saivi sijaona malalamiko yoyote
wapo fair kweli nawapa big up.
Unasema wako fair kwa sababu wewe umepata chance japo una mashaka nayo. Hebu jaribu kustudy majina ya waliofaulu interview kati ya yale majina yaliyotoka mwanzo ulinganishe na yale 206 yaliyotoka baadaye (yenye watoto wa vigogo wengi likiwemo na lako pia). Watanzania huwa ni wavivu wa kufuatilia mambo. Na kwa taarifa yako kuna baadhi ya walioitwa watapigwa chini na nafasi zao kuchukuliwa na majina ya watoto wa vigogo. NAWAIBIA SIRI TU.
Unasema wako fair kwa sababu wewe umepata chance japo una mashaka nayo. Hebu jaribu kustudy majina ya waliofaulu interview kati ya yale majina yaliyotoka mwanzo ulinganishe na yale 206 yaliyotoka baadaye (yenye watoto wa vigogo wengi likiwemo na lako pia). Watanzania huwa ni wavivu wa kufuatilia mambo. Na kwa taarifa yako kuna baadhi ya walioitwa watapigwa chini na nafasi zao kuchukuliwa na majina ya watoto wa vigogo. NAWAIBIA SIRI TU.
kati ya majina 206 waliopata kazi ni majina 31 hongereni sana
Ume over look mkuu...wapo 33...hii ndo TZ...tz nakupenda sana na udumu muungano.
Ume over look mkuu...wapo 33...hii ndo TZ...tz nakupenda sana na udumu muungano.
kati ya majina 206 waliopata kazi ni majina 31 hongereni sana
ndugu zangu mimi mbona barua ya kuitwa kazini ina majina 103 au ndio bado kuna mchujo zaidi, naomba kuelimishwa hapa.
basi itakuwa sijaelewa ujumbe wa KISHINDO umemaanisha nini maana jamaa naye ana mafumbo kama yesuwe ushapata na hakuna mchujo mwengine kila la kher
Una sema wako fair usha enda kwenye interview au una ckilizaa story za raia then una paste kwetu...
Unasema wako fair kwa sababu wewe umepata chance japo una mashaka nayo. Hebu jaribu kustudy majina ya waliofaulu interview kati ya yale majina yaliyotoka mwanzo ulinganishe na yale 206 yaliyotoka baadaye (yenye watoto wa vigogo wengi likiwemo na lako pia). Watanzania huwa ni wavivu wa kufuatilia mambo. Na kwa taarifa yako kuna baadhi ya walioitwa watapigwa chini na nafasi zao kuchukuliwa na majina ya watoto wa vigogo. NAWAIBIA SIRI TU.
Ebwana ni majina yote au mkaguzi wa zimamoto?
Yaan mm naona ile interview ilikuwa kusema watu wafanye tu,wa2 washakuwepo,haiwezekana m2 anatoka chumba cha interview halafu anamwambia maswali m2 mwingine,mm mwenyewe nilienda kufanya nlivyona ile hali,nikajua sis walala hoi ha2na chetu.waliopata ndio maana wanasema ilikuwa fair,washajua wao ni moja kwa moja wamepita.