Stevery2
JF-Expert Member
- Mar 3, 2012
- 396
- 47
ukichukua wale watu 515 waliokwenda kwa intavyuu ukigawanya na wale 103 walioitwa kazini unapata 5 ambayo ina maanisha kila nafasi moja ilikuwa inagombewa na watu watano (5)
Na konstebo pia au bado?
ukichukua wale watu 515 waliokwenda kwa intavyuu ukigawanya na wale 103 walioitwa kazini unapata 5 ambayo ina maanisha kila nafasi moja ilikuwa inagombewa na watu watano (5)
bila shaka KISHINDO wewe ni mtoto wa kigogo wa wizara. Ebu tupe full information,
still the water to catch a fish. basi mkuu KISHINDO anataka kutukoroga tu aone tunafikilia nini au naye muzzuxx
me nahs haya ni ya mkaguzi
Hujanielewa wewe. Hata hivyo ni wachache sana huwa wananielewa, so sikushangai na wewe. Kwa taarifa yako ni kwamba Hayo majina kabla hujayajua na kuyasikia yametoka mi nilikuwa nayo
huna lolote wewe hayo majina yote uliyosema wameitwa bila interview wakati ni kundi la pili la interview kama umekosa shukuru Mungu uangalie ustaarabu mwingine acha kuchafua wizara. Ndiyo maana kuna msemo unasema no research no right to speak. Unakaa kulalamika watu wameitwa bila interview wakati hayo majina yapo kwenye kundi la pili. Na kwa taarifa nafasi moja ilikuwa inagombaniwa na watu 5.
Soma vizuri post zangu SIKAUKA. Mi huwa SIBAHATISHI japo naelewa unachokoza ili nifunguke zaidi but kama huamini subiri UHAMIAJI UONE ukweli wa mambo ulivyo coz WALEWALE WALIOKUWA KTK JOPO LA USAILI WA ZIMAMOTO NDO HAO HAO WATAKAOKUWA KTK JOPO LA UHAMIAJI.
Thanks kama utakuwa umenielewa.
N.B: KAMCHEZO KATAKUWA NI KALE KALE INGAWA UHAMIAJI KUTAKUWA NA SHIDA ZAIDI KULIKO ZIMAMIOYO.
mkuu itakuwa hukuwa na taarifa, majina kwa ajili ya interview yalitoka mara mbili. kati ya hayo majina kuna ndugu yangu amepata kazi na hakuwa akimfahamu mtu yoyote ila yeye jina lake lilitoka awamu ya pili.
Hapana calyx. Mi ni mtoto wa mlala hoi na mla hoi-hata ukikutana na mimi huwezi amini. Kigogo wangu ni Mungu tu. Niko tu nahangaika na hivi vimaisha vya kuzinguana. Huwa sipendi kuona uonevu tu thats why huwa nafuatilia mambo kwa kina zaidi.
AMINI USIAMINI, YALE MAJINA YA AWAMU YA PILI (ya watoto wa vigogo) NDIYO YALIYOWAZIBIA NJIA WATOTO WA WALALAHOI BUT JIPENI MOYO, TAFAKARI NA AMINI KWAMBA MUNGU NDIYE AJUAYE UNAVYOHANGAIKA NA ENDELEA KUMTEGEMEA YEYE TU.[/QUOTE
tumtegemee mungu hadi lini au ndio kama alivyosema mh.Rais kuwa ukitaka kula sharti nawe uliwe? je hawa watu humu jf wanaosema wamepata kazi lakini hawana ndugu kigogo aliyewabeba ni wazushi
Cc; Tmajuto, Prakatatumba
Hapana calyx. Mi ni mtoto wa mlala hoi na mla hoi-hata ukikutana na mimi huwezi amini. Kigogo wangu ni Mungu tu. Niko tu nahangaika na hivi vimaisha vya kuzinguana. Huwa sipendi kuona uonevu tu thats why huwa nafuatilia mambo kwa kina zaidi.
AMINI USIAMINI, YALE MAJINA YA AWAMU YA PILI (ya watoto wa vigogo) NDIYO YALIYOWAZIBIA NJIA WATOTO WA WALALAHOI BUT JIPENI MOYO, TAFAKARI NA AMINI KWAMBA MUNGU NDIYE AJUAYE UNAVYOHANGAIKA NA ENDELEA KUMTEGEMEA YEYE TU.[/QUOTE
tumtegemee mungu hadi lini au ndio kama alivyosema mh.Rais kuwa ukitaka kula sharti nawe uliwe? je hawa watu humu jf wanaosema wamepata kazi lakini hawana ndugu kigogo aliyewabeba ni wazushi
Cc; Tmajuto, Prakatatumba
duh
sio unashangaa mwanetu kama kweli mlizunguka mbuyu mtwambie na wenzenu mapema tuna asila hadi tunakufulu
sio unashangaa mwanetu kama kweli mlizunguka mbuyu mtwambie na wenzenu mapema tuna asila hadi tunakufulu
Unapoteza mda tu ndugu hata ukijua wamezunguka mbuyu haitakusaidia kitu zaid ya kukuongezea stress,just move on na mambo mengine.Mimi nimetoswa kama wewe but nimekubali matokeo