Guasa Ambonii
JF-Expert Member
- Aug 13, 2015
- 8,545
- 10,296
Shambani shambaniPole kwa kazi na mkulima wa kisasa
Mazao bora shambaanI
Msikae mitaani taani
Wanawake kwa waume
Shambani shambaniPole kwa kazi na mkulima wa kisasa
Wimbo wa ongalaHehehe
Hata akina lemi ongala kawasikia tu
Maana kifo kifo kwanini hauna huruma ndo kipindi chenyewe
Teh
Kulikua na Juwata jazz nao walitamba sana,pia Mlimani park orchestra nao walivuma kipindi hicho.Hehehe ila super matimila siku hizo alikuwa akiwika
Eeee mwamuona mkulimaaa wa kisasaaShambani shambani
Mazao bora shambaanI
Msikae mitaani taani
Wanawake kwa waume
, Nawakumbuka pia Malima Ndelema, Bati Kombwa, Halima Kihema, David Wakati na Florian Kaiza. Kipindi cha mkoa kwa mkoaNakumbuka wimbo wa Ngoma naomba ujireekebishe, ni mwanaume gani anasuka nywele.
Dah!!!!! Muhenga mwenzangu upo vizuriNa kipindi cha Afya kinaanza na wimbo wa "Kuleni Kuku mayai mboga samaki maziwa,kuleni chakula bora cha kujenga muili na kujenga nyumba safi pa kulala pawe bora"
Pia Mshamu alikuwa noma,halafu mzee Mundu mbishi kupindukia full mfumo dume! kuna akina Sijali ,Havijawa! Siwema binti mtayaona hadi raha!
Charles Hillary, mambo mpwito mpwito, mama Sarah Dumba - mama na mwana enzi hizo - RTD
ilikuwa miaka ya 2000+ nilikuwa bado mdogo sana.....nakumbuka tuu kulikuwa na tangazo moja la Revola nilikuwa nalipenda sana nikilisikia lazima nifwatishe, mkaka anamuuliza mdadaHabari wana JF,
Leo sijui imekuwaje nimekumbuka sana vitu ambavyo viliniliwaza miaka ya 80 -90+ hivi;
Kabla ya ujio wa Tido muhando na kuibadili RTD, TVT na kuwa TBC taifa,FM na TBC kulikuwa na vipindi vitamu murua kabisa.
Mfano ni kipindi cha mama na mwana nilikuwa nakipenda aki ya nani ni simulizi tu utoto bana tabu kwa kweli.
Taarifa ya habari na Jacob Jesha redio inaunguruma kama inataka pasuka.
Mpira Theki, Jongo , Hilary na matukio na mengine mengi.
Sijui mwenzangu unakumbuka yapi sikuzile za clabu Leo shoo.

Kwaiyo sasaiv ushaelewa rushwa ni nn au sioNakumbuka tangazo la Rushes
"Rushwa ni mdudu hatari sana......"
Nilikua bado chalii sana Kipindi hicho nikawa sielewi rushwa ndo nini nikawa nadhani labda kuna mdudu kabisa anaitwa Rushwa
HAPA KUHUSU TOKAsikuwahi kuisikiliza RTD