Nkolandoto
JF-Expert Member
- Sep 18, 2016
- 3,877
- 3,675
Habari wana JF,
Leo sijui imekuwaje nimekumbuka sana vitu ambavyo viliniliwaza miaka ya 80 -90+ hivi;
Kabla ya ujio wa Tido muhando na kuibadili RTD, TVT na kuwa TBC taifa,FM na TBC kulikuwa na vipindi vitamu murua kabisa.
Mfano ni kipindi cha mama na mwana nilikuwa nakipenda aki ya nani ni simulizi tu utoto bana tabu kwa kweli.
Taarifa ya habari na Jacob Jesha redio inaunguruma kama inataka pasuka.
Mpira Theki, Jongo , Hilary na matukio na mengine mengi.
Sijui mwenzangu unakumbuka yapi sikuzile za clabu Leo shoo.
Leo sijui imekuwaje nimekumbuka sana vitu ambavyo viliniliwaza miaka ya 80 -90+ hivi;
Kabla ya ujio wa Tido muhando na kuibadili RTD, TVT na kuwa TBC taifa,FM na TBC kulikuwa na vipindi vitamu murua kabisa.
Mfano ni kipindi cha mama na mwana nilikuwa nakipenda aki ya nani ni simulizi tu utoto bana tabu kwa kweli.
Taarifa ya habari na Jacob Jesha redio inaunguruma kama inataka pasuka.
Mpira Theki, Jongo , Hilary na matukio na mengine mengi.
Sijui mwenzangu unakumbuka yapi sikuzile za clabu Leo shoo.