Komeo Lachuma
JF-Expert Member
- Oct 31, 2014
- 11,275
- 23,125
natafuta sana hiki kibao cha Komandoo Hamza kalala .. nalila masumanda.... huko uliko ni mbali e mamaa eeeehh yaa nalila masumanda ...eeeh...ling'ombe nalila....
Wakuu mwenye wimbo ule wa Magereza Jazz "Ashura" auweke hapa tafadhali.
Chezimba band katika ubora wao...Kama huamini nenda mombasa au unguja kama huamini wee nenda mombasa au unguja kijogolo sina nyumba wee ntajenga barabarani ntajenga nyumba ya mawe ooh gorofa ndani kwa ndani, ushaona manuari wee ikipita barabarani
kuna wimbo una maneno kama sijasahau... wanaimba wanasema
"judy eeeehh eehh nikupe nini uridhike ,judy eeh chakukupa sina mama eehh...
ufukara nilio nao..ufukara umekuwa kashfa ya mapenzi yangu...
nlizunguka dunia nzima kukupenda....
sijui waliimba akina nani na unaitwaje au nani anao