Ziko wapi Media Ethics kwa ITV/IPP Media?

Ziko wapi Media Ethics kwa ITV/IPP Media?

kwa mara ya kwanza report ya itv imereport habari ya ushindi kwa ccm mbinga mjini baada ya mimi kuandika hapa habari hiyo imeruka mida hii ya saa 14;00-14;10 hii ni aibu sana kwa chombo kikubwa. mnaleta mahaba kwa taifa haya nimakosa kisheria na taratibu za vyombo vya habari.

Unaakili mbovu sana!! Ni lini tbccm imerusha walau jina la ukawa???
 
Hujalazimishwa kuangalia ITV, angalia hizo zinazowapendelea na kupotosha jamii, tunataka hbr halisi sio za kurembana,
 
Kule kwetu kanda ya ziwa watu kama nyinyi huwa tunawaita "LUMYE". We mtoa uzi huu kaulize mtu wa kanda ya Ziwa nini maana ake.
 
Nafikiri una mahaba na yamekuziba maono sahihi. Ukilinganisha vyombo vyetu vya habari ITV katika uchaguzi huu wametenda kwa haki zaidi kuliko vingine na watu wengi wametokea kuiamini zaidi.
 
ITV ni mpango maalum wa kuonesha uchaguzi ulikuwa wa vurugu
 
Embu tutizame Tshert aliyovaa Mtangazaji huyu ambae alikuwa akireport kupitia ITV tangu asubui ya leo na jana? hii ni haki kweli hii si nguo ya chama fulani?
manake anatupa majibu kuwa moja kwa moja yeye ni chadema.
 
mdau haya maandishi ungeyaandika kipindi cha kampeni maana TBC na STAR TV zote mpaka taarifa za habari hawakumuonyesha mamvi au sheria haiwahusu wao? tutende haki bana ZNZ matokeo yashajulikana but mpaka sasa hayajatangazwa unajua kwa nn? ndo hapo ITV wanapoingia kuchimbua kwa nn n they deserve to be SUPER BRAND

umemjibu vyema sana
 
Nasikitishwa sana na Mwenendo wa ITV.

ITV imekuwa ikireport Mambo ya Uchaguzi kwa kipindi chote cha Uchaguzi, Lakini cha Kuumiza nakushangaza kituo hiki kutokuzifuata Taratibu, Sheria na Kanuni za Vyombo vya Habari (Media Ethics) hii imekuwa Tatizo kubwa sana kwa TV na Radio hizi za IPP.

Ukitizama Report zinazoendelea kupitia IPP hakuna Balance Story hata Moja, Utaona Migogoro, Vurugu, Migomo, Matusi nk....
Habari hizo ndio zimekuwa habari kuliko habari zakuwashibisha watanzania ukweli na kuwajuza uhalisia!

Mfano tangu jana mpaka sasa nafatilia TV zote Nchini Sijaona ITV wamerusha Habari hata Moja ya Kata, Jimbo na Rais habari zote Nikule UKAWA waliposhinda na Sehemu za Migogoro. Aibu sana kwa The Super Brand.

HsXd8zM.jpg


Habari moja tu ya Report ya Tume aliyosoma Mwenyekiti wa Tume ndio ilizungumza CCM kushinda na Vyama vingine baada ya hapo Presenters wakarudi kujadili Migogoro na Shida zaidi.

Emu Tizameni Azam Tv muone Mfano wa Reporting.

Unapotoa Report uwe na Data na ufundishe watu sio uwaweke watu na kaswali yasiyo na Majibu.

Watu wa TCRA mko wapi kutizama nakushughulikia maswala haya ya Vyombo vya habari vikivyi na Mahaba na Vyama na kupotosha Watanzania?

Nchi itajengwa kwa Jamii yenye Maadili mema, na Maadili mema hutokana na kila akisikiacho na kukiona Mtanzania, kama leo hii vyombo vya habari kazi yao migogoro na kutokubalance habari jua hili ni tatizo!

ITV naomba Mjirekebishe!

Mzifuate Media Ethics ili Mfanye kazi ya Habari sio Mapenzi na Mahaba yenu.

Halafu mwenyekiti anasimama kuhimiza ethics za uandishi ktk kipindi hiki cha uchaguzi
 
Nasikitishwa sana na Mwenendo wa ITV.

ITV imekuwa ikireport Mambo ya Uchaguzi kwa kipindi chote cha Uchaguzi, Lakini cha Kuumiza nakushangaza kituo hiki kutokuzifuata Taratibu, Sheria na Kanuni za Vyombo vya Habari (Media Ethics) hii imekuwa Tatizo kubwa sana kwa TV na Radio hizi za IPP.

Ukitizama Report zinazoendelea kupitia IPP hakuna Balance Story hata Moja, Utaona Migogoro, Vurugu, Migomo, Matusi nk....
Habari hizo ndio zimekuwa habari kuliko habari zakuwashibisha watanzania ukweli na kuwajuza uhalisia!

Mfano tangu jana mpaka sasa nafatilia TV zote Nchini Sijaona ITV wamerusha Habari hata Moja ya Kata, Jimbo na Rais habari zote Nikule UKAWA waliposhinda na Sehemu za Migogoro. Aibu sana kwa The Super Brand.

HsXd8zM.jpg


Habari moja tu ya Report ya Tume aliyosoma Mwenyekiti wa Tume ndio ilizungumza CCM kushinda na Vyama vingine baada ya hapo Presenters wakarudi kujadili Migogoro na Shida zaidi.

Emu Tizameni Azam Tv muone Mfano wa Reporting.

Unapotoa Report uwe na Data na ufundishe watu sio uwaweke watu na kaswali yasiyo na Majibu.

Watu wa TCRA mko wapi kutizama nakushughulikia maswala haya ya Vyombo vya habari vikivyi na Mahaba na Vyama na kupotosha Watanzania?

Nchi itajengwa kwa Jamii yenye Maadili mema, na Maadili mema hutokana na kila akisikiacho na kukiona Mtanzania, kama leo hii vyombo vya habari kazi yao migogoro na kutokubalance habari jua hili ni tatizo!

ITV naomba Mjirekebishe!

Mzifuate Media Ethics ili Mfanye kazi ya Habari sio Mapenzi na Mahaba yenu.

Kwani umelazimishwa kuangalia I TV?
 
Acha ujinga!! Kaanzishe nawewe tv yako! Ubalance hizo habari!! Itv imepimwa kimataifa na kunekna inafaa we nan?? Na una pimana nin! Au mahaba yako yana kusumbua!?
Mbona Tbc hauisem acha unafiki wakti ni tv ya umma!! ? Kama hauna cha kuandika bora ujifunze kusuka!!!
 
Namhurumia sana Mengi, kahangaika na kapi lake sana kulipamba kipindi chote hiki cha kampeni na uchaguzi, alidhani litashinda eti apate kitalu! nggoja magufuli aingie alishughulikie! uchaga tu
 
Mleta uzi hujitambui wewe...kwa taarifa itv ni kituo bora zaid ya vyote tz..ulitaka fujo wasiztangaze? kwan haztokei kweli? matokeo wanatangaza yote azawise cjajua kama kuna itv nyingne kijijin kwako huko..
 
Kwa hili,umewaonea, ITV wamejitahidi sana na wanaendelea kutujuza yanayotokea kila kona ya Tz mda wote, wakati mashirika mengine kama TBC, Star na channel 10 wakituekea bongo fleva, taarab na muvi za kinaija....
 
Punguza mahaba wewe..... ITV wanarusha matangazo 24 hrs... Umefuatilia kwa muda gani!???? Acheni uchonganishi na kuwaaribu watu.... Muda huu wanarusha habari zenu... Vipi ulalame.... Aya kacheki tbc na star basi...
Huyu jamaa alitaka hata matukio ya watu wa Kimara kutopiga kura yasionekane wala kujulikana na watanzania wengine
 
Back
Top Bottom