Ziko wapi Chopa 12 Lowassa kampeni ya toroka uje?

Ziko wapi Chopa 12 Lowassa kampeni ya toroka uje?

CHOPA 12 LOWASA:
Ziko wapi chopa 12 ambazo wanaukawa walijinasibu kuwa zitakuwa zikizinguka kumkapenia Bw.Lowasa na ule mpango wao wa toraka uje?naona kimya na siku zinaenda!Ila lile la mchngo wa harambee liliwezekana fasta!Watanzania tushtuke

Kwa akili hizi ni bora Oktoba 25 ifike haraka chama lenu lipishe magohoni malofa wakubwa nyie.
 
hatuna shida sababu watanzania tunamfaham lowasa wetu!! alipo tupo hana shida ya kuzunguka sehemu zote!
 
Izo chopa zipo na zimesha anza kazi, kanda zetu zipo 5 na kila kanda ina chopa1 sema kingne

ccm wameishiwa hoja, kazi yao kumshambulia lowassa, inamana ukawa wasingemsimamisha lowassa kama mhombea wao wakamsimamisha dr.mihogo wasingemshambulia,
 
Kwa iyo mnasubiri chopa? Izo ni technique za kuwapanikisha...fanyeni yenu !!
 
CHOPA 12 LOWASA:
Ziko wapi chopa 12 ambazo wanaukawa walijinasibu kuwa zitakuwa zikizinguka kumkapenia Bw.Lowasa na ule mpango wao wa toraka uje?naona kimya na siku zinaenda!Ila lile la mchngo wa harambee liliwezekana fasta!Watanzania tushtuke

Wapi Ukawa walisema watatumia chopa 12?.... Mimi ninavyojua ni chopa 5 na leo zimeanza kazi rasmi
 
Ukawa watasginda urais fb na jamiiforums tu. Hata kama huna macho hata picha huoni? Jipeni moyo.
 
CHOPA 12 LOWASA:
Ziko wapi chopa 12 ambazo wanaukawa walijinasibu kuwa zitakuwa zikizinguka kumkapenia Bw.Lowasa na ule mpango wao wa toraka uje?naona kimya na siku zinaenda!Ila lile la mchngo wa harambee liliwezekana fasta!Watanzania tushtuke

Huwezi kutumia nyundo kuuwa sisimizi.

TUKUTANE OCTOBER 25.
 
bora ukawa wanachangisha waziwzi, nyie mmekomba pesa za waalimu, mmeuza hiza za serikali tbl, majizi xana nyie, na mwaka huu lowassa atawafirisi.

Mkuu haya ni majizi makubwa sijawahi ona , tena kwa sasa yanachofanya ni economic sabotage!
 
Hili Ingizo la wanapropaganda wa CCM ndani ya JF kwa mwaka Huu linatia kinyaa.
 
CHOPA 12 LOWASA:
Ziko wapi chopa 12 ambazo wanaukawa walijinasibu kuwa zitakuwa zikizinguka kumkapenia Bw.Lowasa na ule mpango wao wa toraka uje?naona kimya na siku zinaenda!Ila lile la mchngo wa harambee liliwezekana fasta!Watanzania tushtuke
Moja tumempa Magufuli na nyingine anatumia gaidi wenu.
 
CHOPA 12 LOWASA:
Ziko wapi chopa 12 ambazo wanaukawa walijinasibu kuwa zitakuwa zikizinguka kumkapenia Bw.Lowasa na ule mpango wao wa toraka uje?naona kimya na siku zinaenda!Ila lile la mchngo wa harambee liliwezekana fasta!Watanzania tushtuke

We subiri mbona muda bado.
 
Mbona Zipo Zinapiga Kazi,ile Ya Kanda Ya Ziwa Leo Ipo Mabatini Nyamagana,itamleta Wenje Kuhutubia Mkutano Akitokea Kule Buchosa Vijijini
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom