CHOPA 12 LOWASA:
Ziko wapi chopa 12 ambazo wanaukawa walijinasibu kuwa zitakuwa zikizinguka kumkapenia Bw.Lowasa na ule mpango wao wa toraka uje?naona kimya na siku zinaenda!Ila lile la mchngo wa harambee liliwezekana fasta!Watanzania tushtuke
CHOPA 12 LOWASA:
Ziko wapi chopa 12 ambazo wanaukawa walijinasibu kuwa zitakuwa zikizinguka kumkapenia Bw.Lowasa na ule mpango wao wa toraka uje?naona kimya na siku zinaenda!Ila lile la mchngo wa harambee liliwezekana fasta!Watanzania tushtuke
Kwa mara ya kwanza katika maisha yake Lowasa ataonja kuishiwa soon tu uchaguzi ukiisha. Atakosa hata mafuta ya gari ya kwenda katika sherehe za kuapishwa magufuli
CHOPA 12 LOWASA:
Ziko wapi chopa 12 ambazo wanaukawa walijinasibu kuwa zitakuwa zikizinguka kumkapenia Bw.Lowasa na ule mpango wao wa toraka uje?naona kimya na siku zinaenda!Ila lile la mchngo wa harambee liliwezekana fasta!Watanzania tushtuke
Izo chopa zipo na zimesha anza kazi, kanda zetu zipo 5 na kila kanda ina chopa1 sema kingne
Mil 900 wametia kapuni hakuna cha chopa wala nini.