Ziko wapi Chopa 12 Lowassa kampeni ya toroka uje?

Ziko wapi Chopa 12 Lowassa kampeni ya toroka uje?

CHOPA 12 LOWASA:
Ziko wapi chopa 12 ambazo wanaukawa walijinasibu kuwa zitakuwa zikizinguka kumkapenia Bw.Lowasa na ule mpango wao wa toraka uje?naona kimya na siku zinaenda!Ila lile la mchngo wa harambee liliwezekana fasta!Watanzania tushtuke

Lowasa kashamaliza kampeini maana alikuwa anahitaji kura 16 million na sasa ana 18 million, sijui mpiga pushapu wenu
 

Attachments

  • 1443958640862.jpg
    1443958640862.jpg
    28.2 KB · Views: 241
ccm wameishiwa hoja, kazi yao kumshambulia lowassa, inamana ukawa wasingemsimamisha lowassa kama mhombea wao wakamsimamisha dr.mihogo wasingemshambulia,

Hao hawana jema kwa upinzani hata leo jk akihamia upinzani watamporomoshea matusi
 
CHOPA 12 LOWASA:
Ziko wapi chopa 12 ambazo wanaukawa walijinasibu kuwa zitakuwa zikizinguka kumkapenia Bw.Lowasa na ule mpango wao wa toraka uje?naona kimya na siku zinaenda!Ila lile la mchngo wa harambee liliwezekana fasta!Watanzania tushtuke

Lowassa ni bhnaa hakuna cha chopa wala nn? Sasa huu si usanii
 
Moja anayo vincent Nyerere kanda ya ziwa na Lembeli pia Wenje anayo huku Lisu anayo we lalia maskio
 
Hoja Dhaifu Mno!! Sidhani Kama Mnazitendea Haki Ada Walizolipa Wazee Wenu! Maana Kama Wtt Wa Nursery Vile!! Sasa Kama WAMESHINDWA Kupata Hizo Chopa Na KUSHINDWA Kuwafikia WATANZANIA Wengi, Si Ndio Vizuri Kwa Hiyo CCM YENU!! Sasa MNACHACHAWA Nini!! Mbona Kila JAMBO MNAPAYUKA Tu!!!!!!!??
 
bora ukawa wanachangisha waziwzi, nyie mmekomba pesa za waalimu, mmeuza hiza za serikali tbl, majizi xana nyie, na mwaka huu lowassa atawafirisi.

Lowasa atawafilisi hahaahahha duuu maajabu..lowasa atafilisiwa
 
CHOPA 12 LOWASA:
Ziko wapi chopa 12 ambazo wanaukawa walijinasibu kuwa zitakuwa zikizinguka kumkapenia Bw.Lowasa na ule mpango wao wa toraka uje?naona kimya na siku zinaenda!Ila lile la mchngo wa harambee liliwezekana fasta!Watanzania tushtuke
tume mwazimisha mwigulu ili atoloke aje.
 
Ulitaka chopa zikusaidie nin ??? Kwan hauna usafiri wa kwenda kwenye mikutano yake? Watu wengne bhana mnamaidi vitu vya ajabu!!!!
 
CHOPA 12 LOWASA:
Ziko wapi chopa 12 ambazo wanaukawa walijinasibu kuwa zitakuwa zikizinguka kumkapenia Bw.Lowasa na ule mpango wao wa toraka uje?naona kimya na siku zinaenda!Ila lile la mchngo wa harambee liliwezekana fasta!Watanzania tushtuke

Kukalia kisu chenye ncha kinachoelekea juu kupo palepale october 25.Mnara wa Babeli lazima uanguke.Hakuna falme itakayodumu milele.Hata ubabe wa marekani unakikomo.Ugiriki inayokopeshwa kila siku iliwah kuwa dola yenye yenye nguvu na iliyotawala dunia sembuce chichem?
 
Huyu ndie raisi wako mengine sio muhimu.
 

Attachments

  • 1443959666313.jpg
    1443959666313.jpg
    43.5 KB · Views: 170
Hoja Dhaifu Mno!! Sidhani Kama Mnazitendea Haki Ada Walizolipa Wazee Wenu! Maana Kama Wtt Wa Nursery Vile!! Sasa Kama WAMESHINDWA Kupata Hizo Chopa Na KUSHINDWA Kuwafikia WATANZANIA Wengi, Si Ndio Vizuri Kwa Hiyo CCM YENU!! Sasa MNACHACHAWA Nini!! Mbona Kila JAMBO MNAPAYUKA Tu!!!!!!!??

Tatizo ni wizi wa waziwazi mnaoufanya chadema mnachangisha watu halafu chopa haziomekani
 
Ccm wameishiwa wanazungumzia chopa za wengine.jambo lisilokuhusu ni sawa na pilpil usiyoila.Mbona unawashwa kundus wakati huusiki.
 
CHOPA 12 LOWASA:
Ziko wapi chopa 12 ambazo wanaukawa walijinasibu kuwa zitakuwa zikizinguka kumkapenia Bw.Lowasa na ule mpango wao wa toraka uje?naona kimya na siku zinaenda!Ila lile la mchngo wa harambee liliwezekana fasta!Watanzania tushtuke

toa ujinga usikurupuke chopa zishaanza kazi. Mfano mzuri uliza wajinga wenzio waishio mwanza waulie kama vijijini wagombea wetu wanaenda kwa gari? Ni jana tu wenje kata ya buhongwa vijijini alitua kwa chopa. Tapika tena sasa
 
Sehemu wanazofika ni chache, ikumbukwe Magufuli anaenda kila jimbo kura zilipo....je wewe ulassa huku usipofika kura zao hutaki? kura moja sio muhimu? si una hizo ndege babu? bado unachoka? au ndo unasubiri tuseme utuue? #achatufe
 
toa ujinga usikurupuke chopa zishaanza kazi. Mfano mzuri uliza wajinga wenzio waishio mwanza waulie kama vijijini wagombea wetu wanaenda kwa gari? Ni jana tu wenje kata ya buhongwa vijijini alitua kwa chopa. Tapika tena sasa

kuuliza si ujinga, ila kwasababu umeonyesha dhahiri we ni UKAHAWA....sikushangai...tutakubishia 25 october. mtakapoamua kupaki nyumbani hizo chopa zenu.
 
toa ujinga usikurupuke chopa zishaanza kazi. Mfano mzuri uliza wajinga wenzio waishio mwanza waulie kama vijijini wagombea wetu wanaenda kwa gari? Ni jana tu wenje kata ya buhongwa vijijini alitua kwa chopa. Tapika tena sasa

Chopa Ipo Angani Muda Huu Inatua Uwanja Wa S/msingi Mabatini
 
Chopa ziwepo zisiwepo cha msingi ni kwamba kampen mpaka sasa zinaenda vizuri tu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom