Zikiwa zimebaki siku 50 Mwaka kuisha, hii ni tathmini ya matumizi yangu kwa mwaka 2020.

Mwaka 2020 ndiyo unaelekea mwishoni, huku zikiwa zimebaki siku 50 kuisha. Watanzania hatuna mazoea ya kuandaa bajeti zetu binafsi, lakini ni tool muhimu sana kwenye maisha yetu hasa unapotaka kuona maeneo ya kupunguza matumizi kama sio ya lazima

Hapa chini nimefanya tathmini ya matumizi ambayo nimefanya kwa mwaka mzima, inaweza isiwe exactly figures but i guess haitakuwa mbali sana na reality.

  1. Kodi ya pango, kwenye eneo hili hadi mwezi Septemba nilikuwa nimetumia 2,700,000
  2. Chakula, hadi kufikia Mwezi Oktoba nimetumia 2,100,000
  3. Gesi na Umeme hadi kufikia Mwezi Oktoba nilitumia 560,000
  4. Mavazi, hadi kufikia Mwezi Oktoba nimetumia 1,060,000
  5. Michango ya Harusi na Misiba hadi kufikia mwezi Oktoba nimetumia shilingi 650,000
  6. Starehe na kufurahi, hadi kufikia Oktoba nimetumia 800,000
  7. Sadaka na michango yake kwa pamoja imefikia 600,000 hadi Oktoba, 2020
  8. Kupiga taff home na ndugu hadi Oktoba nimetumia 1,000,000
  9. Mawasiliano, hadi mwezi Oktoba nimetumia 400,000
  10. Investments(Viwanja, Ujenzi, Mashamba) hadi Oktoba nimetumia 38,020,000
  11. Matumizi ya nyumbani 1,670,000
  12. Safari na Lodge hadi Mwezi Oktoba nimetumia 740,000
  13. Afya na matibabu nimetumia almost shilingi 940,000
  14. Bodi ya mikopo hadi kufikia Oktoba nimetumia 1,856,000
  15. Kulipia ada vijana, hadi Oktoba nimelipa 2,300,000
Hadi Oktoba nimetumia almost 55,396,000

Karibuni tupate experience zenu pia kwenye eneo hili, binafsi nimeona maeneo ambayo nahitaji kubana bajeti Mwaka ujao panapo Majaaliwa.

NB; Naomba tushare upande wa matumizi tu, upande wa Kipato ibaki ni SIRI ya mtu binafsi.
"You spend what you earn",Kama ume spent 55M it seems una kipato kikubwa boss kutokana na maisha ya kitanzania,

Lakini kwenye ku assess matumizi yako tu bila kujua kipato chako inakua ngumu.
 
Mwaka 2020 ndiyo unaelekea mwishoni, huku zikiwa zimebaki siku 50 kuisha. Watanzania hatuna mazoea ya kuandaa bajeti zetu binafsi, lakini ni tool muhimu sana kwenye maisha yetu hasa unapotaka kuona maeneo ya kupunguza matumizi kama sio ya lazima

Hapa chini nimefanya tathmini ya matumizi ambayo nimefanya kwa mwaka mzima, inaweza isiwe exactly figures but i guess haitakuwa mbali sana na reality.

  1. Kodi ya pango, kwenye eneo hili hadi mwezi Septemba nilikuwa nimetumia 2,700,000
  2. Chakula, hadi kufikia Mwezi Oktoba nimetumia 2,100,000
  3. Gesi na Umeme hadi kufikia Mwezi Oktoba nilitumia 560,000
  4. Mavazi, hadi kufikia Mwezi Oktoba nimetumia 1,060,000
  5. Michango ya Harusi na Misiba hadi kufikia mwezi Oktoba nimetumia shilingi 650,000
  6. Starehe na kufurahi, hadi kufikia Oktoba nimetumia 800,000
  7. Sadaka na michango yake kwa pamoja imefikia 600,000 hadi Oktoba, 2020
  8. Kupiga taff home na ndugu hadi Oktoba nimetumia 1,000,000
  9. Mawasiliano, hadi mwezi Oktoba nimetumia 400,000
  10. Investments(Viwanja, Ujenzi, Mashamba) hadi Oktoba nimetumia 38,020,000
  11. Matumizi ya nyumbani 1,670,000
  12. Safari na Lodge hadi Mwezi Oktoba nimetumia 740,000
  13. Afya na matibabu nimetumia almost shilingi 940,000
  14. Bodi ya mikopo hadi kufikia Oktoba nimetumia 1,856,000
  15. Kulipia ada vijana, hadi Oktoba nimelipa 2,300,000
Hadi Oktoba nimetumia almost 55,396,000

Karibuni tupate experience zenu pia kwenye eneo hili, binafsi nimeona maeneo ambayo nahitaji kubana bajeti Mwaka ujao panapo Majaaliwa.

NB; Naomba tushare upande wa matumizi tu, upande wa Kipato ibaki ni SIRI ya mtu binafsi.
Hiyo namba 7 ibadilishie matumizi tafadhali, hiyo hela kiasi k iingie kwenye bata na kingine watu wenye uhitaji maalumu
 
"You spend what you earn",Kama ume spent 55M it seems una kipato kikubwa boss kutokana na maisha ya kitanzania,

Lakini kwenye ku assess matumizi yako tu bila kujua kipato chako inakua ngumu.
Exactly boss, though unaweza kufanya matumizi hata kwa Mkopo. Mfano hapo kwenye Investment, kukopa kumehusika Chief
 
Hiyo namba 7 ibadilishie matumizi tafadhali, hiyo hela kiasi k iingie kwenye bata na kingine watu wenye uhitaji maalumu
Panapo Majaaliwa, mwakani hela ya Bata itaongezeka though huwa najiwekea malengo makubwa ambayo huwa yanahitaji hela nyingi kuyatimiza that's why unakuta hela ya Bata inaenda kwenye mradi.
 
Mwaka 2020 ndiyo unaelekea mwishoni, huku zikiwa zimebaki siku 50 kuisha. Watanzania hatuna mazoea ya kuandaa bajeti zetu binafsi, lakini ni tool muhimu sana kwenye maisha yetu hasa unapotaka kuona maeneo ya kupunguza matumizi kama sio ya lazima

Hapa chini nimefanya tathmini ya matumizi ambayo nimefanya kwa mwaka mzima, inaweza isiwe exactly figures but i guess haitakuwa mbali sana na reality.

  1. Kodi ya pango, kwenye eneo hili hadi mwezi Septemba nilikuwa nimetumia 2,700,000
  2. Chakula, hadi kufikia Mwezi Oktoba nimetumia 2,100,000
  3. Gesi na Umeme hadi kufikia Mwezi Oktoba nilitumia 560,000
  4. Mavazi, hadi kufikia Mwezi Oktoba nimetumia 1,060,000
  5. Michango ya Harusi na Misiba hadi kufikia mwezi Oktoba nimetumia shilingi 650,000
  6. Starehe na kufurahi, hadi kufikia Oktoba nimetumia 800,000
  7. Sadaka na michango yake kwa pamoja imefikia 600,000 hadi Oktoba, 2020
  8. Kupiga taff home na ndugu hadi Oktoba nimetumia 1,000,000
  9. Mawasiliano, hadi mwezi Oktoba nimetumia 400,000
  10. Investments(Viwanja, Ujenzi, Mashamba) hadi Oktoba nimetumia 38,020,000
  11. Matumizi ya nyumbani 1,670,000
  12. Safari na Lodge hadi Mwezi Oktoba nimetumia 740,000
  13. Afya na matibabu nimetumia almost shilingi 940,000
  14. Bodi ya mikopo hadi kufikia Oktoba nimetumia 1,856,000
  15. Kulipia ada vijana, hadi Oktoba nimelipa 2,300,000
Hadi Oktoba nimetumia almost 55,396,000

Karibuni tupate experience zenu pia kwenye eneo hili, binafsi nimeona maeneo ambayo nahitaji kubana bajeti Mwaka ujao panapo Majaaliwa.

NB; Naomba tushare upande wa matumizi tu, upande wa Kipato ibaki ni SIRI ya mtu binafsi.💪


Mkuu kwanza nakupongeza kwa kutunza kumbukumbu , umenifumbua macho

Naomba Connection ya kazi mkuu .
Naomba niku -DM Kama hautojali
 
Mkuu kwanza nakupongeza kwa kutunza kumbukumbu , umenifumbua macho

Naomba Connection ya kazi mkuu .
Naomba niku -DM Kama hautojali
Asante kwa pongezi Mkuu, nimegundua ili tuweze kufikia malengo yetu binafsi na familia kwa ujumla hatuna budi kutunza kumbukumbu.

Kuhusu Connection nitajaribu 🤝
 
Exactly boss, though unaweza kufanya matumizi hata kwa Mkopo. Mfano hapo kwenye Investment, kukopa kumehusika Chief
Mkuu kwa makadirio ya haraka unatumia 4.5M per month,je hii hela unayoitumia,Inatokana nasalary/wages pekee? Au plus return from investment?
 
Nimekunywa pombe mno nyingi...mwaka huu..asee mimi jinga sana
Hapana Boss, mwili pia unahitaji kufurahishwa.

Muhimu uwe na bajeti maalum ya kilaji ambayo ujitahidi kuimaintain tu sambamba na hela ya kufanya maendeleo
 
Mwaka 2020 ndiyo unaelekea mwishoni, huku zikiwa zimebaki siku 50 kuisha. Watanzania hatuna mazoea ya kuandaa bajeti zetu binafsi, lakini ni tool muhimu sana kwenye maisha yetu hasa unapotaka kuona maeneo ya kupunguza matumizi kama sio ya lazima

Hapa chini nimefanya tathmini ya matumizi ambayo nimefanya kwa mwaka mzima, inaweza isiwe exactly figures but i guess haitakuwa mbali sana na reality.

  1. Kodi ya pango, kwenye eneo hili hadi mwezi Septemba nilikuwa nimetumia 2,700,000
  2. Chakula, hadi kufikia Mwezi Oktoba nimetumia 2,100,000
  3. Gesi na Umeme hadi kufikia Mwezi Oktoba nilitumia 560,000
  4. Mavazi, hadi kufikia Mwezi Oktoba nimetumia 1,060,000
  5. Michango ya Harusi na Misiba hadi kufikia mwezi Oktoba nimetumia shilingi 650,000
  6. Starehe na kufurahi, hadi kufikia Oktoba nimetumia 800,000
  7. Sadaka na michango yake kwa pamoja imefikia 600,000 hadi Oktoba, 2020
  8. Kupiga taff home na ndugu hadi Oktoba nimetumia 1,000,000
  9. Mawasiliano, hadi mwezi Oktoba nimetumia 400,000
  10. Investments(Viwanja, Ujenzi, Mashamba) hadi Oktoba nimetumia 38,020,000
  11. Matumizi ya nyumbani 1,670,000
  12. Safari na Lodge hadi Mwezi Oktoba nimetumia 740,000
  13. Afya na matibabu nimetumia almost shilingi 940,000
  14. Bodi ya mikopo hadi kufikia Oktoba nimetumia 1,856,000
  15. Kulipia ada vijana, hadi Oktoba nimelipa 2,300,000
  16. Service ya Kagari, Petroli hadi Oktoba, 2020 nimegharamia almost 1,710,000
  17. Gharama za kulipia boda boda au Bajaj hadi Oktoba nimetumia almost 360,000
Hadi Oktoba nimetumia almost 57,466,000

Karibuni tupate experience zenu pia kwenye eneo hili, binafsi nimeona maeneo ambayo nahitaji kubana bajeti Mwaka ujao panapo Majaaliwa.

Kwenye eneo la Bajaj/Boda boda huwa tunatumia fedha nyingi wakati mwingine kuliko tunachobajeti hasa kwa kuwa tunalipa 1,000 au 2,000 but zikiwa Accumulated unaweza kuta ni zaidi hata ya 1,000,000 kwa mwaka au zaidi.

Eneo lingine la kuangalia kwa makini hasa upande wa kubana bajeti mwakani ni eneo la michepuko, eneo hili ingawa nimeshindwa kutaja fedha iliyotumika(Bado najutia hela nilipoteza) trust me, linakula hela zetu nyingi sana. Mwakani panapo majaaliwa, nimepanga kuwa makini zaidi ikiwemo kutumia mbinu za kimedani kufanikisha mambo yangu.

Eneo la michango ya harusi pia nitaongeza umakini, yaani baada ya Covid 19 kadi za michango ninazo pokea zimekuwa nyingi hadi kuharibu bajeti zangu.

NB; Naomba tushare upande wa matumizi tu, upande wa Kipato ibaki ni SIRI y

Starehe na kufurahi 800k, afya na matibabu 940k.... ni kwamba afya yako ni tiamaji tiamaji.

Ushauri:

Ongeza fungu la starehe na kufurahi, mwili hautohitaji matibabu.
900k kwa checkup tu mwaka mzima inweza kuwa sawa ila kama ni matibabu tena ya peke yake duh namtakia pole aiseee
 
900k kwa checkup tu mwaka mzima inweza kuwa sawa ila kama ni matibabu tena ya peke yake duh namtakia pole aiseee
Shida yetu kubwa Chief ni hizi extended family, unakuta unaambiwa Bibi anaumwa, Mara Shangazi kwahiyo hapo lazima uingiliwe tu bajeti.

Binafsi nina Bima ya afya, Ila tatizo ni hao ndugu Chief
 
Back
Top Bottom