Kotmiri
Senior Member
- Jan 28, 2015
- 119
- 54
Mwanaume wa ukweli anatafuta mwanamkeambaye anaamini kwamba kwake atakuwa boramaisha yake yote. Mwanaume wa ukwelianapomfuata mwanamke ambaye anaamini kwamba atakuja kuwa mke wake, basi kuna vitumuhimu huwa anavifanya.
Hawezi kumchukua mwanamke wake nakumpeleka katika kumbi za usiku. Ukiona mwanaume anakufuata na kukwambia leo twende klabu fulani, jua kwamba wewe ni demu kama mademu wengine, wewe si yule ambaye ataamua
kukuweka ndani na uje kuilea familia yake.
Mwanaume wa ukweli hawezi kumwambia msichana ambaye anaamini kwamba atakuja kuwamke wake eti wanywe pombe weee mpaka wawe tilatila, mwanaume humuepushia mke wake mtarajiwa vitu vyote vibaya, ila kwa demu wake,mbona poa tu kama kawa wanakamua kwa kuamini kwamba hata ukiendelea kunywa pombe,hana habari kwani hautokuja kuwa mke wake.
Hawezi kumchukua mwanamke wake nakumpeleka katika kumbi za usiku. Ukiona mwanaume anakufuata na kukwambia leo twende klabu fulani, jua kwamba wewe ni demu kama mademu wengine, wewe si yule ambaye ataamua
kukuweka ndani na uje kuilea familia yake.
Mwanaume wa ukweli hawezi kumwambia msichana ambaye anaamini kwamba atakuja kuwamke wake eti wanywe pombe weee mpaka wawe tilatila, mwanaume humuepushia mke wake mtarajiwa vitu vyote vibaya, ila kwa demu wake,mbona poa tu kama kawa wanakamua kwa kuamini kwamba hata ukiendelea kunywa pombe,hana habari kwani hautokuja kuwa mke wake.