ulipoanzia ndipo hapo hapo na pameeleweka... ur wife hapendi kutoka lakini hakuzii kutoka~anyway, kwangu hakuwa wife bali girlfriend so may be hakuwa na ubavu wa kunizuia na nilikuwa natoka but I would feel completely empty coz' ningependelea kuwa na yeye wakati yeye si mtu wa hizo issue! Kwa issue za wife wako, it's okay... kwanza sie wengine tunavyosema kutoka wala hatuna maana lazima tukacheze muziki but just being away from home... that's it... kama ambavyo unapoamua kulipa kwenda cinema wakati u can download the same movie and watch it with your chogo tv! So, kwa issue ya shemeji etu hapo... i like it, si mtu wa kutoka but she can do it for you!
No bhana... at least once a month... angalau kwenda kupata dinner nje ya home na ikiwa mfuko unaruhusu, basi zile classic major events sio za kukosa! Remember, CLASSIC major events... am not talking about issues kama Fiesta ya Clouds... kama ni muziki, basi muziki wa wastaarabu, mpo seated around the table huku mkishukuria rehema za Mwenyezi Mungu!Ok all the best kaka ukipata wa kuendana naye safi iyakiwa ila pia ukipata mpenzi wako asiyependa hang outs ila unamuona mama bora wa wanao, mshauri na vigezo vingi akawa navyo basi mitoko ipotezee tu for the sake of " the good family".
Mwanaume wa ukweli anatafuta mwanamke
ambaye anaamini kwamba kwake atakuwa bora
maisha yake yote. Mwanaume wa ukweli
anapomfuata mwanamke ambaye anaamini…
kwamba atakuja kuwa mke wake, basi kuna vitu
muhimu huwa anavifanya.
* Hawezi kumchukua mwanamke wake na
kumpeleka katika kumbi za usiku. Ukiona
mwanaume anakufuata na kukwambia leo twende
klabu fulani, jua kwamba wewe ni demu kama
mademu wengine, wewe si yule ambaye ataamua
kukuweka ndani na uje kuilea familia yake.
* Mwanaume wa ukweli hawezi kumwambia
msichana ambaye anaamini kwamba atakuja kuwa
mke wake eti wanywe pombe weee mpaka wawe
tilatila, mwanaume humuepushia mke wake
mtarajiwa vitu vyote vibaya, ila kwa demu wake,
mbona poa tu kama kawa wanakamua kwa
kuamini kwamba hata ukiendelea kunywa pombe,
hana habari kwani hautokuja kuwa mke wake.
No bhana... at least once a month... angalau kwenda kupata dinner nje ya home na ikiwa mfuko unaruhusu, basi zile classic major events sio za kukosa! Remember, CLASSIC major events... am not talking about issues kama Fiesta ya Clouds... kama ni muziki, basi muziki wa wastaarabu, mpo seated around the table huku mkishukuria rehema za Mwenyezi Mungu!
Nyie ndio mnaosababisha watu wanaonekana hamnazo kwa kutembea na vipumflects... Kila akitaka kufanya kitu fulani anachungulia kwanza