Kama ni hivyo, huenda hali ikawa mbaya zaidi! Waachwe wapate pa kupumuliaSababu nyingine ya kuchelewa ni kwamba
Watakaokatwa wasiweze kwenda kwenye vyama vingine,kwani mchakato wa tume ya uchaguzi ya uchukuaji wa fomu utakuwa umeisha.
Kigamboni uku kutwa tunaimba tuna imani na ndungulile oya oya oyaDr Ndungulile jina limerudi? Maana yeye anapendwa jimboni lakini uongozini hana Godfather.
Wewe ndio umeelewa inatoshaNani kasema rushwa iendelee? Unasoma na kuelewa ulichokisoma?
Mimi nitabaki.sikutia hata 100 mbovu.na nilipata kura 3 za wajumbe.watia nia tulikuwa34.njombe mjini hiyo.ko nina imani na ccm mpya.Wakikata kwa haki hakuna atakayebaki salama kwa maana asilimia kubwa ya wagombea wa CCM wametoa rushwa kwa njia moja au nyingine
Majungu, weka picha!!!Ratiba za kichama hapa Makao Makuu Dodoma zinaonesha kuwa vikao vya Kamati Kuu wa CCM almaarufu kama CC vilipaswa kufanyika tarehe 7 na 8 ya mwezi huu. Hata hivyo, hadi sasa hakuna kikao cha Kamati Kuu kilichoketi hapa Dodoma au hata Dar es Salaam. Ajenda kuu ya kikao hicho ni kupitisha majina ya Wagombea wa Ubunge wa Majimbo wa CCM Tanzania Bara na Visiwani.
Zipo sababu mbili zilizochelewesha vikao vya Kamati Kuu. Kwanza, kuna tuhuma lukuki za rushwa kwenye mchakato wa kura za maoni majimboni. Taarifa zimemiminwa CCM kutoka TAKUKURU, waliogombea, makada hadi wananchi wa kawaida kuhusu vitendo vya rushwa kwenye kura za maoni chamani. Kamati ya Maadili ya chama imeelemewa na makabrasha ya tuhuma kutoka karibu kila mkoa wa Tanzania.
Katika hilo la rushwa, kuna wakubwa chamani wanataka itumike FUNIKA KOMBE MWANAHARAMU APITE katika kupata suluhu la jambo hilo. Yaani, rushwa isionekane kwenye macho ya wanaKamati Kuu na hivyo wagombea waangaliwe kwa vigezo vinginevyo kama kukubalika na si rushwa. Inapendeezwa kuonwa kuwa wagombea walizidiana dau wenyewe kwenye majimbo yao. Kuna mvutano mkubwa kwenye Kamati ya Maadili na hata baina ya viongozi waandamizi wa chama.
Sababu ya pili ni sauti za makada na wananchi kuhusu nani arudishwe wapi kugombea. Kuna waliokataliwa majimboni lakini wanatakiwa uongozini; kuna waliopita majimboni lakini hawatakiwi chamani na uongozini; kuna waliokataliwa lakini wanatakiwa huko huko majimboni. Kamati Kuu imetumia muda wa kutosha kutega masikio yake huko site ili kujiridhisha kabla ya kufanya uamuzi wake. Je, waliokatwa wataandikwa tena?
Mzee Tupatupa wa Lumumba (kwa sasa jijini Dodoma)
TUTABAKI NA MZEE MANGULA MAKAMU MWENYEKITI BARA......IGP SIRRO UPO?MZEE MANGULA ALILISHWA SUMU NA "WENYE CHAMA CHAO"Wakisema wawaengue watoa Rushwa si chama kitabaki kitupu?
Tulikua tunasubiri vikao vya jumuia za chama kupitisha watia nia kugombea ubunge kupitia jumuiya hizoRatiba za kichama hapa Makao Makuu Dodoma zinaonesha kuwa vikao vya Kamati Kuu wa CCM almaarufu kama CC vilipaswa kufanyika tarehe 7 na 8 ya mwezi huu. Hata hivyo, hadi sasa hakuna kikao cha Kamati Kuu kilichoketi hapa Dodoma au hata Dar es Salaam. Ajenda kuu ya kikao hicho ni kupitisha majina ya Wagombea wa Ubunge wa Majimbo wa CCM Tanzania Bara na Visiwani.
Atabaki Mangula na mzee Warioba na Butiku.Wakisema wawaengue watoa Rushwa si chama kitabaki kitupu?
LIJUAKALI NI MTAJI TOSHA KWA CCMNitajie kombo hata moja lilinunuliwa na ccm? Au hujui maana ya makombo?
Makombo ni yale yanayotupwa yani yanakuwa hayafai tena.
Mungu ndie anajua capabilities za TAKUKURU,lakini haiodoi mwana wa nyoka kuwa nyoka.Halafu mtu timamu kweli anaweza sema serikali ya CCM na TAKUKURU yake kweli wanapambana na rushwa!??
Hayo ndio matatizo ya teuzi zenye strings nyuma yake.Hivi kwani utaratibu ukoje kwa Takukuru ikishapata uthibitisho wa Mtu kutoa au kupokea Rushwa? Je ili kumchukulia hatua ikiwemo kumpeleka Mahakamani, inapaswa iombe ruhusa kutoka kwenye Chama? Je chama ukiwapotezea lakin wao Takukuru waba ushahidi, nao watawapotezea? Kwa kufanya hivyo haioni kuwa haitendi haki kwa wale wasio wanasiasa/CCM?
Kwahiyo Makonda hajatoa rushwa?yule ataponzwa na external enemies of makonda ndiyo waliotoa hongo kwa wajumbe ili akatwe ndungulile hajatoa rushwa ia wajumbe wamekula rushwa hivyo makonda anapeta
Aaaah wapi!! mbele ya slow slow hakatizi! Labda yule mteuzi na mtetezi wake atumie turufu. Na hapo ndipo mpasuko wa kijani!! Jamani eti mkuu wa mkoa anataka ubunge...... sentesi hii unaikumbuka?yule ataponzwa na external enemies of makonda ndiyo waliotoa hongo kwa wajumbe ili akatwe ndungulile hajatoa rushwa ia wajumbe wamekula rushwa hivyo makonda anapeta