Kididimo
JF-Expert Member
- Sep 20, 2016
- 3,763
- 3,340
Kama ni hivyo, huenda hali ikawa mbaya zaidi! Waachwe wapate pa kupumuliaSababu nyingine ya kuchelewa ni kwamba
Watakaokatwa wasiweze kwenda kwenye vyama vingine,kwani mchakato wa tume ya uchaguzi ya uchukuaji wa fomu utakuwa umeisha.