Uchaguzi 2020 Zijue sababu kuchelewa vikao Kamati Kuu ya CCM kupitisha Wagombea wa Ubunge

Sababu nyingine ya kuchelewa ni kwamba

Watakaokatwa wasiweze kwenda kwenye vyama vingine,kwani mchakato wa tume ya uchaguzi ya uchukuaji wa fomu utakuwa umeisha.
Kama ni hivyo, huenda hali ikawa mbaya zaidi! Waachwe wapate pa kupumulia
 
Wakikata kwa haki hakuna atakayebaki salama kwa maana asilimia kubwa ya wagombea wa CCM wametoa rushwa kwa njia moja au nyingine
Mimi nitabaki.sikutia hata 100 mbovu.na nilipata kura 3 za wajumbe.watia nia tulikuwa34.njombe mjini hiyo.ko nina imani na ccm mpya.
 
Hapa Kibaha Koka kachokwa na ametembeza rushwa ya hatari mno. Hana msaada katika jimbo wala kwa wananchi
 
Hapa Kibaha Koka kachokwa na ametembeza rushwa ya hatari mno. Hana msaada katika jimbo wala kwa wananchi
 
Ratiba za kichama hapa Makao Makuu Dodoma zinaonesha kuwa vikao vya Kamati Kuu wa CCM almaarufu kama CC vilipaswa kufanyika tarehe 7 na 8 ya mwezi huu. Hata hivyo, hadi sasa hakuna kikao cha Kamati Kuu kilichoketi hapa Dodoma au hata Dar es Salaam. Ajenda kuu ya kikao hicho ni kupitisha majina ya Wagombea wa Ubunge wa Majimbo wa CCM Tanzania Bara na Visiwani.

Zipo sababu mbili zilizochelewesha vikao vya Kamati Kuu. Kwanza, kuna tuhuma lukuki za rushwa kwenye mchakato wa kura za maoni majimboni. Taarifa zimemiminwa CCM kutoka TAKUKURU, waliogombea, makada hadi wananchi wa kawaida kuhusu vitendo vya rushwa kwenye kura za maoni chamani. Kamati ya Maadili ya chama imeelemewa na makabrasha ya tuhuma kutoka karibu kila mkoa wa Tanzania.

Katika hilo la rushwa, kuna wakubwa chamani wanataka itumike FUNIKA KOMBE MWANAHARAMU APITE katika kupata suluhu la jambo hilo. Yaani, rushwa isionekane kwenye macho ya wanaKamati Kuu na hivyo wagombea waangaliwe kwa vigezo vinginevyo kama kukubalika na si rushwa. Inapendeezwa kuonwa kuwa wagombea walizidiana dau wenyewe kwenye majimbo yao. Kuna mvutano mkubwa kwenye Kamati ya Maadili na hata baina ya viongozi waandamizi wa chama.

Sababu ya pili ni sauti za makada na wananchi kuhusu nani arudishwe wapi kugombea. Kuna waliokataliwa majimboni lakini wanatakiwa uongozini; kuna waliopita majimboni lakini hawatakiwi chamani na uongozini; kuna waliokataliwa lakini wanatakiwa huko huko majimboni. Kamati Kuu imetumia muda wa kutosha kutega masikio yake huko site ili kujiridhisha kabla ya kufanya uamuzi wake. Je, waliokatwa wataandikwa tena?

Mzee Tupatupa wa Lumumba (kwa sasa jijini Dodoma)
Majungu, weka picha!!!
 
Majina ya wagombea yatatajwa tarehe 23/8/2020 wakati wa kurudisha form za ugombea ni tarehe 26/8/2020.

Bonge la timing hakuna muda wa kukimbilia upinzani.
 
Ratiba za kichama hapa Makao Makuu Dodoma zinaonesha kuwa vikao vya Kamati Kuu wa CCM almaarufu kama CC vilipaswa kufanyika tarehe 7 na 8 ya mwezi huu. Hata hivyo, hadi sasa hakuna kikao cha Kamati Kuu kilichoketi hapa Dodoma au hata Dar es Salaam. Ajenda kuu ya kikao hicho ni kupitisha majina ya Wagombea wa Ubunge wa Majimbo wa CCM Tanzania Bara na Visiwani.
Tulikua tunasubiri vikao vya jumuia za chama kupitisha watia nia kugombea ubunge kupitia jumuiya hizo
 
Halafu mtu timamu kweli anaweza sema serikali ya CCM na TAKUKURU yake kweli wanapambana na rushwa!??
Mungu ndie anajua capabilities za TAKUKURU,lakini haiodoi mwana wa nyoka kuwa nyoka.
Serikali ya India chini ya waziri mkuuu Indira Gandhi aliweka TAKUKURU 6.
Ya pili hadi ya sita kuchunguzana lakini alikuta zote ni very corrupt.akazivunja zote 6.
 
Hivi kwani utaratibu ukoje kwa Takukuru ikishapata uthibitisho wa Mtu kutoa au kupokea Rushwa? Je ili kumchukulia hatua ikiwemo kumpeleka Mahakamani, inapaswa iombe ruhusa kutoka kwenye Chama? Je chama ukiwapotezea lakin wao Takukuru waba ushahidi, nao watawapotezea? Kwa kufanya hivyo haioni kuwa haitendi haki kwa wale wasio wanasiasa/CCM?
Hayo ndio matatizo ya teuzi zenye strings nyuma yake.
 
TAKUKURU NI SAWA NA CHOO CHA SHIMO....UNA MAJI,GUNZI,KIPANDE CHA GAZETI AU HATA JIWE UTACHAMBA TU....UMBWA KABISA HAWA TAKUKURU! TAKUKURU INAWAJIBIKAJE KWA CCM ....WAPUMBAVU WAKUBWA HAWA TAKUKURU.
 
yule ataponzwa na external enemies of makonda ndiyo waliotoa hongo kwa wajumbe ili akatwe ndungulile hajatoa rushwa ia wajumbe wamekula rushwa hivyo makonda anapeta
Aaaah wapi!! mbele ya slow slow hakatizi! Labda yule mteuzi na mtetezi wake atumie turufu. Na hapo ndipo mpasuko wa kijani!! Jamani eti mkuu wa mkoa anataka ubunge...... sentesi hii unaikumbuka?
 
46 Reactions
Reply
Back
Top Bottom