goldie ink
JF-Expert Member
- Oct 6, 2016
- 5,636
- 9,132
Mimi nataka hiyo ya chama cha ogboni aborigine kitanifaa mimi hapa au hiyo black magic wealth ritual nataka nimfunike bakhresa kwa kutoa bidhaa bora zenye uhakika kwa kila mwana wa adamu.
Mzee baba halafu ujue ile kanda ya juu kwa nchi ya Tanzania wanaongoza sana kwa kutoa kafara na kufanya kazi kwa ushirikina mno, hasa watu wa arusha.Mbwembwe zote hizo lkn mwisho wa Siku una kufa tu.....
Mfano nlikuwa Naongea na jamaa yngu mmoja anafanya kazi kwenye hotel moja maarufu arusha mmiliki wake hvi Karibuni alifariki na kuzikwa!inasemekana alikuwa mtoa kafara sana lkn ukiangalia leo hii yeye Yuko wapi ashazikwaa
Ova
Mkuu,Dunia imejawa na kila aina ya mambo. Usimuone mtu ni tajiri au maarufu ukatamani utajiri wake au umaarufu wake pasipo kujua anapitia nini au alifanya nini mpaka kufikia hapo alipo.
Simaanishi kila mtu maarufu au tajiri umuonae ametumia nguvu za giza, no. Chukua mda wako uzijue njia tatu za kuwa tajiri kwa kutumia nguvu za giza.
1. KUMZIKA NG'OMBE AKIWA HAI
Amri hii ya kumzika ng'ombe akiwa hai inatolewa baada ya kufanya procedures kadhaa ya kishirikina na zenye gharama kubwa.
Zoezi hili linahusisha kununua ng'ombe aliyenona na kumtoa kafara kwa kumzika akiwa hai katikakati ya kichaka au msituni wakati wa usiku.
Kadri ng'ombe yule anavyooza na kutoa mabuu na funza, ndivyo jinsi pesa na umaarufu unavyoongezeka au kama ni biashara inazidi kupanuka. Unapoona pesa zinaanza kupungua, au biashara na umaarufu vinapungua, unarudia zoezi hili tena tena. Wanaotumia njia hii sio rahisi kukaukiwa na hela, vigezo na masharti kuzingatiwa.
2. OGBONI ABORIGINE
Hii ni fraternity au brotherhood au chama ambacho kilianza katika kabila la Yoruba nchini Nigeria. Wanaojiunga na chama hiki huwa hawafanyi kazi yoyote ya maana lakini wanakuwa na hela ya ajabu.
Pindi tu mtu akijiunga na chama hiki, pesa inaongezeka maradufu unakuwa na IQ kubwa kuliko alivyokuwa. Ogboni Aborigine ni chama chenye masharti magumu sana.
Unapojiunga nao, siku ya initiation, kunakuwa na wanachama sita wale waliokomaa, mida ya saa sita usiku, wanakufunga kitambaa cheusi machoni, kisha wanakupa sahani yenye vipande vya nyama mbichi na wanakuamuru ule kipande kimoja.
Kipande hiki ndio kitakuwa kinakuLink moja kwa moja na wao. Siku unapofariki, kabla ya kuzikwa, kile kipande cha nyama ulichokimeza awali kinarudi kwenye sahani yao kwa nguvu za giza. Chama hiki kina siri nyingi sana na za kutisha.
3. BLACK MAGIC WEALTH RITUAL
Wanaojiunga na chama hiki wanakaribishwa na wanachama waliowatangulia. Zoezi la kujiunga lina procedures nyingi.
Kwa mfano ikiwa we ni mwanchama mpya, wanachama wote wanakukaribisha na wanakuombea kwa Beelzebub (Mwakilishi wa shetani duniani) akubariki na mali na umaarufu.
Kisha wakimaliza kukuombea kwa Beelzebub, unaweka ahadi ya kafara ya kitu au mtu unayempenda. Ikiwa ni mtoto wako, mke wako, mama yako, ndugu yako, kizazi chako n.k. Ukishaweka ahadi hiyo ya kafara na kukubaliana, wanatwaa kafara yao na baada ya mwezi mmoja kila utakachofanya utaona unafanikiwa.
Chama hiki kinatoa utajiri wake kupitia biashara. Hivyo basi ikiwa hauna biashara, watakupa mtaji na utashauriwa ufungue biashara ya aina yoyote ile ambayo roho yako inapenda.
Kwa mfano ukiamua kufungua biashara ya Supermarket, kwa muda mfupi utashangaa na ukuaji na mafanikio ya biashara hiyo. Ikumbukwe kuwa baada ya kila muda mlioafikiana na chama, kafara inahitajika ili uzidi kuwa juu kimafanikio.
Source: WEALTH SPELLS
Mkuu weka kwanza mali zako hapa tuone kama ulifanikiwa mi nataka ya ng'ombe tu sitaki shida
Sent using Jamii Forums mobile app[/QUOT
Maisha Yana siri kubwa Sana katika utafutaji japo sio wote wanakuwa wazi kuwasaidia wenzao... Uganga upo na ukimpata mganga haswa fursa kwako za pesa zinakuwa rahisi mno pia matapeli wapo ambao ndio wengi mjini
Mwaka 2001 nikiwa na miaka 27 tayari nilikuwa na watoto 2 mkubwa alikuwa wa miaka4 na nilitoka familia duni Sana but nilisoma Hadi kidato Cha sita then nikarudi kijijini nikawa nafanya tempo ya kufundisha shule mbalimbali huku nalipwa posho, nilifanya hii kazi kwa mda Kama miaka 3 mpaka 2001 nilipoamua niende kuangalia nyota kwa mganga
Nilifanya kazi ya kumpepeleza mganga kwa usmart mkubwa Sana sikuwauliza watu tunaojuana nao, nilipenda kuzoea watu maeneo ya mbali kwa mda then nawachomekea, siku moja nikakutana na kijana wa makamo yangu akanielekeza akasema wapo wawili utachagua wa kwenda na ataweza kukutibu maana alijua naumwa, nikamwambia ndgu siumwi Bali natafta Mali akaniambia kama Ni hivo Kuna mtu hapa karibu tu anaweza..akanielekeza
Nikafunga Safari kwenda nakumbka ilikuwa ijumaa kufika pale nilitumia 10000/= kwa wakati huo nikakuta Kuna watu wengi mtu mwenyew simjui ikabidi nimuulize mmoja Kati ya walioko pale akanielekeza mganga mwenyew, nikamfata kwa sababu ya ugeni wangu moja kwa moja nikaaanza kumuelezea tatzo mm mwenyew badala ya yeye anipigie ramli, nikamwambia mzee Mimi nataka Mali nimechoka na umaskini na Mali hii isiwe ya kutoka kafara mtu, masharti yake yanihusu Mimi mwenyew, akasema inawezekana hiyo ni kazi rahisi njoo siku ya jumapili.
Jumapili nikarudi yule mganga Wala hakunichanja nakumbka alichoniambia nitoe noti ya 10000 moja, 5000 moja, 2000 moja na 500 moja akazisaga akanipa maji yake nikanywa then akanitengenezea dawa nikaoga nyingine akanipa niende nayo nyumbani niwe naogea then akanipa mtu wake niende nae kwangu akaweke dawa iliyokuwa kwenye chupa, tunaondoka wote tulipofika nyumbani wakachimba sehemu ya sakafu chumbani wakaweka ile dawa na wananiambia inabidi tufungue biashara hata NDOGO ili pesa ziwe zinapitia humo, na masharti niliyopew Ni kwamba mke wangu asiwe anasafisha sehemu ile iliyowekwa dawa akiwa kwenye siku zake na Mimi Ni marufuku kutembea na mwanamke wa nje ( kimada) sharti ambalo lilikuwa Ni gumu kwangu, na wait waliomba elfu20 tu, kwa kipindi hicho.
Ndgu yangu sitaki niseme uongo nilishika pesa kwenye biashara ya mkaa mpka nikawa nashangaa, mwaka 2003 nikajiunga chuo pamoja na watoto wakali wa kule lakini sikuwa na time nao kwa sababu na moja ya masharti yangu, nilipata pesa na nikafungua biashara mbalimbali nikapeleka watoto shule za kulipia, nikajenga nikanunua gari, baadae nikahamia dar na biashara zangu bado mambo yako fiti Wala sitamani demu wa nje now Nina 45yrs, mwanangu wa kwanza Yuko 3rd yrs university, na wengineo wote wako private school na maisha yule mganga alifariki miaka 5 iliyopita 2013 na tangu afe sijawahi kwenda kwa mganga mwingine lakini maisha yangu hayajabadilika... Nina Mali sitaki kusema Ni nyingi Sana but kwenda Norway holiday sio tatzo, kubadilishana gari kila mwaka sio tatzo na bussiness zinaenda bila kikwazo.
Waganga wapo but matapeli wapo zaidi, na uganga au pesa zipo bila hata kutoa kafara tatzo la vijana wakienda kwa waganga wanaeleza matamanio ya kupata pesa hata kwa kuuwa mwingine kumbe Kuna njia za kunyoosha mambo yako bila kumuathiri mwingine, Hivyo mnaotafta waganga tafteni kwa uangalifu waganga wa kweli wapo, japo wengi Ni waongo waganga wa kweli hawataki pesa nyingi.
N:B
Mimi Ni mwanaume msione Hilo jina ninalotumia mkajua ni mrembo flani hivi, Mimi warembo washanipiga limiti najilia mke wangu tu, nikiendaga sehemu za starehe naishiaga kuwashika tu na kuwatia vidole
ndio uko maskini, wewe ile ya kutoa kafara inakufaa zaidi
Maisha Yana siri kubwa Sana katika utafutaji japo sio wote wanakuwa wazi kuwasaidia wenzao... Uganga upo na ukimpata mganga haswa fursa kwako za pesa zinakuwa rahisi mno pia matapeli wapo ambao ndio wengi mjini
Mwaka 2001 nikiwa na miaka 27 tayari nilikuwa na watoto 2 mkubwa alikuwa wa miaka4 na nilitoka familia duni Sana but nilisoma Hadi kidato Cha sita then nikarudi kijijini nikawa nafanya tempo ya kufundisha shule mbalimbali huku nalipwa posho, nilifanya hii kazi kwa mda Kama miaka 3 mpaka 2001 nilipoamua niende kuangalia nyota kwa mganga
Nilifanya kazi ya kumpepeleza mganga kwa usmart mkubwa Sana sikuwauliza watu tunaojuana nao, nilipenda kuzoea watu maeneo ya mbali kwa mda then nawachomekea, siku moja nikakutana na kijana wa makamo yangu akanielekeza akasema wapo wawili utachagua wa kwenda na ataweza kukutibu maana alijua naumwa, nikamwambia ndgu siumwi Bali natafta Mali akaniambia kama Ni hivo Kuna mtu hapa karibu tu anaweza..akanielekeza
Nikafunga Safari kwenda nakumbka ilikuwa ijumaa kufika pale nilitumia 10000/= kwa wakati huo nikakuta Kuna watu wengi mtu mwenyew simjui ikabidi nimuulize mmoja Kati ya walioko pale akanielekeza mganga mwenyew, nikamfata kwa sababu ya ugeni wangu moja kwa moja nikaaanza kumuelezea tatzo mm mwenyew badala ya yeye anipigie ramli, nikamwambia mzee Mimi nataka Mali nimechoka na umaskini na Mali hii isiwe ya kutoka kafara mtu, masharti yake yanihusu Mimi mwenyew, akasema inawezekana hiyo ni kazi rahisi njoo siku ya jumapili.
Jumapili nikarudi yule mganga Wala hakunichanja nakumbka alichoniambia nitoe noti ya 10000 moja, 5000 moja, 2000 moja na 500 moja akazisaga akanipa maji yake nikanywa then akanitengenezea dawa nikaoga nyingine akanipa niende nayo nyumbani niwe naogea then akanipa mtu wake niende nae kwangu akaweke dawa iliyokuwa kwenye chupa, tunaondoka wote tulipofika nyumbani wakachimba sehemu ya sakafu chumbani wakaweka ile dawa na wananiambia inabidi tufungue biashara hata NDOGO ili pesa ziwe zinapitia humo, na masharti niliyopew Ni kwamba mke wangu asiwe anasafisha sehemu ile iliyowekwa dawa akiwa kwenye siku zake na Mimi Ni marufuku kutembea na mwanamke wa nje ( kimada) sharti ambalo lilikuwa Ni gumu kwangu, na wait waliomba elfu20 tu, kwa kipindi hicho.
Ndgu yangu sitaki niseme uongo nilishika pesa kwenye biashara ya mkaa mpka nikawa nashangaa, mwaka 2003 nikajiunga chuo pamoja na watoto wakali wa kule lakini sikuwa na time nao kwa sababu na moja ya masharti yangu, nilipata pesa na nikafungua biashara mbalimbali nikapeleka watoto shule za kulipia, nikajenga nikanunua gari, baadae nikahamia dar na biashara zangu bado mambo yako fiti Wala sitamani demu wa nje now Nina 45yrs, mwanangu wa kwanza Yuko 3rd yrs university, na wengineo wote wako private school na maisha yule mganga alifariki miaka 5 iliyopita 2013 na tangu afe sijawahi kwenda kwa mganga mwingine lakini maisha yangu hayajabadilika... Nina Mali sitaki kusema Ni nyingi Sana but kwenda Norway holiday sio tatzo, kubadilishana gari kila mwaka sio tatzo na bussiness zinaenda bila kikwazo.
Waganga wapo but matapeli wapo zaidi, na uganga au pesa zipo bila hata kutoa kafara tatzo la vijana wakienda kwa waganga wanaeleza matamanio ya kupata pesa hata kwa kuuwa mwingine kumbe Kuna njia za kunyoosha mambo yako bila kumuathiri mwingine, Hivyo mnaotafta waganga tafteni kwa uangalifu waganga wa kweli wapo, japo wengi Ni waongo waganga wa kweli hawataki pesa nyingi.
N:B
Mimi Ni mwanaume msione Hilo jina ninalotumia mkajua ni mrembo flani hivi, Mimi warembo washanipiga limiti najilia mke wangu tu, nikiendaga sehemu za starehe naishiaga kuwashika tu na kuwatia vidole
[/QUOTE]Ndgu hii Mimi nikiendaga zamani Sana miaka 18 iliyopita now sijui walipo, but ulizia utapata.QUOTEckninja, post: 29986041, member: 503164"]Zipo wapi izo nizifate
QUOTE="wilbald, post: 24069174, member: 8592"]Wewe unafikiri ma vx yanapatikana kwa kusomea phd?[/QUOTE][/QUOTE]Maisha Yana siri kubwa Sana katika utafutaji japo sio wote wanakuwa wazi kuwasaidia wenzao... Uganga upo na ukimpata mganga haswa fursa kwako za pesa zinakuwa rahisi mno pia matapeli wapo ambao ndio wengi mjini
Mwaka 2001 nikiwa na miaka 27 tayari nilikuwa na watoto 2 mkubwa alikuwa wa miaka4 na nilitoka familia duni Sana but nilisoma Hadi kidato Cha sita then nikarudi kijijini nikawa nafanya tempo ya kufundisha shule mbalimbali huku nalipwa posho, nilifanya hii kazi kwa mda Kama miaka 3 mpaka 2001 nilipoamua niende kuangalia nyota kwa mganga
Nilifanya kazi ya kumpepeleza mganga kwa usmart mkubwa Sana sikuwauliza watu tunaojuana nao, nilipenda kuzoea watu maeneo ya mbali kwa mda then nawachomekea, siku moja nikakutana na kijana wa makamo yangu akanielekeza akasema wapo wawili utachagua wa kwenda na ataweza kukutibu maana alijua naumwa, nikamwambia ndgu siumwi Bali natafta Mali akaniambia kama Ni hivo Kuna mtu hapa karibu tu anaweza..akanielekeza
Nikafunga Safari kwenda nakumbka ilikuwa ijumaa kufika pale nilitumia 10000/= kwa wakati huo nikakuta Kuna watu wengi mtu mwenyew simjui ikabidi nimuulize mmoja Kati ya walioko pale akanielekeza mganga mwenyew, nikamfata kwa sababu ya ugeni wangu moja kwa moja nikaaanza kumuelezea tatzo mm mwenyew badala ya yeye anipigie ramli, nikamwambia mzee Mimi nataka Mali nimechoka na umaskini na Mali hii isiwe ya kutoka kafara mtu, masharti yake yanihusu Mimi mwenyew, akasema inawezekana hiyo ni kazi rahisi njoo siku ya jumapili.
Jumapili nikarudi yule mganga Wala hakunichanja nakumbka alichoniambia nitoe noti ya 10000 moja, 5000 moja, 2000 moja na 500 moja akazisaga akanipa maji yake nikanywa then akanitengenezea dawa nikaoga nyingine akanipa niende nayo nyumbani niwe naogea then akanipa mtu wake niende nae kwangu akaweke dawa iliyokuwa kwenye chupa, tunaondoka wote tulipofika nyumbani wakachimba sehemu ya sakafu chumbani wakaweka ile dawa na wananiambia inabidi tufungue biashara hata NDOGO ili pesa ziwe zinapitia humo, na masharti niliyopew Ni kwamba mke wangu asiwe anasafisha sehemu ile iliyowekwa dawa akiwa kwenye siku zake na Mimi Ni marufuku kutembea na mwanamke wa nje ( kimada) sharti ambalo lilikuwa Ni gumu kwangu, na wait waliomba elfu20 tu, kwa kipindi hicho.
Ndgu yangu sitaki niseme uongo nilishika pesa kwenye biashara ya mkaa mpka nikawa nashangaa, mwaka 2003 nikajiunga chuo pamoja na watoto wakali wa kule lakini sikuwa na time nao kwa sababu na moja ya masharti yangu, nilipata pesa na nikafungua biashara mbalimbali nikapeleka watoto shule za kulipia, nikajenga nikanunua gari, baadae nikahamia dar na biashara zangu bado mambo yako fiti Wala sitamani demu wa nje now Nina 45yrs, mwanangu wa kwanza Yuko 3rd yrs university, na wengineo wote wako private school na maisha yule mganga alifariki miaka 5 iliyopita 2013 na tangu afe sijawahi kwenda kwa mganga mwingine lakini maisha yangu hayajabadilika... Nina Mali sitaki kusema Ni nyingi Sana but kwenda Norway holiday sio tatzo, kubadilishana gari kila mwaka sio tatzo na bussiness zinaenda bila kikwazo.
Waganga wapo but matapeli wapo zaidi, na uganga au pesa zipo bila hata kutoa kafara tatzo la vijana wakienda kwa waganga wanaeleza matamanio ya kupata pesa hata kwa kuuwa mwingine kumbe Kuna njia za kunyoosha mambo yako bila kumuathiri mwingine, Hivyo mnaotafta waganga tafteni kwa uangalifu waganga wa kweli wapo, japo wengi Ni waongo waganga wa kweli hawataki pesa nyingi.
N:B
Mimi Ni mwanaume msione Hilo jina ninalotumia mkajua ni mrembo flani hivi, Mimi warembo washanipiga limiti najilia mke wangu tu, nikiendaga sehemu za starehe naishiaga kuwashika tu na kuwatia vidole
Maarifa ndio haya sasa. Kuangamia ni kujitakia wote tutakufa tu we toa kafara ule bata. We ushaambiwa ya kaisari muachie kaisariWATU WANGU WANAANGAMIA KWA KUKOSA MAARIFA ...
[/QUOTE]View attachment 992101QUOTE="wilbald, post: 24069174, member: 8592"]Wewe unafikiri ma vx yanapatikana kwa kusomea phd?
[/QUOTE]View attachment 992101QUOTE="wilbald, post: 24069174, member: 8592"]Wewe unafikiri ma vx yanapatikana kwa kusomea phd?
Nani kakwambia Mungu anatoa utajiri kizembezembe tu??Utajiri mzuri unatoka kwa mungu,,,,,,,,the rest ni laana
Mkuu kama unajua direction tupe tukafate mahela maisha yenyew mafupi hayaNani kakwambia Mungu anatoa utajiri kizembezembe tu??
Hata kumtafuta na kumpata mganga wa kukupa hizo madawa ya kafara still ni hard work mkuu... Still GOD help those who work HardSiri ya utajiri ni kufanya kazi kwa bidii we kesha kanisani ukiomba bila kujituma kama utapata chichote. Even God need hard workers
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu mimi mwenyewe natafuta Direction mambo tight mkuu. Tushtuane tu ukipata chimboMkuu kama unajua direction tupe tukafate mahela maisha yenyew mafupi haya