Mavindozii
JF-Expert Member
- Oct 20, 2012
- 2,111
- 2,759
Siku Africa tukijitosheleza toilet paper ya kufutia mikundu yetu basi tutakua tunaelekea kwenye nchi ya asali
Hakuna stori mbaya kama kudanganyana Kwa uchumi ganiUnashangaa hilo? Pato la California ni zaidi ya Ufaransa na hata Uswisi. Texas ikisimama yenyewe inakuwa top twenty ya Nchi tajiri
Mbona G 7 HAYUPO wazungu sio wa kuwaamini sanaChina ni Nchi ya pili kwa utajiri duniani nyuma kwa usd trillion 5 kwa USA in nominal term.
But in real GDP,China ni namba 1 na USA ni 2 akiwa pungufu kwa USD trillion 3.
Na katika data ivi ulivyotaja vinachhangia asilimia 40 tu ya pato LA California ila mazao ya kilimo ndyo huachangia asilimia 52 ya pato lakeHollywood na Silicon Valley.
Filamu
Muziki
Computer
Software
Apple
Majizi au watu waliomzidi akili?Huko texas wamejaa majizi ambao Magufuli alikuwa anapambana nao.
Najuwa hata PPP inaweza kuwa na mapungufu lakini ni kipimo bora kuliko GDP.Hiyo ni purchasing price power (PPP), hiyo inaweza kuwa kipimo mojawapo cha ukuaji wa uchumi ila bado kina mapungufu.
Hayo matakataka ya kichina yaliyojaa Kariakoo?Hao California wanafanya bihashara gani Duniani? Mbona kila bidhaa tunaona ni made in China?
Ukichukua bajeti ya ulinzi ya China, Russia, France, UK German na wababe wengine kumi, hawafiki 60% ya bajeti ya ulinzi ya US. Hivi vitu sio uongo mzee.Hakuna stori mbaya kama kudanganyana Kwa uchumi gani
Ha ha haMbona G 7 HAYUPO wazungu sio wa kuwaamini sana
China ni uchumi mkubwa wa pili duniani kwa pato lao yaani GDP Ila bado ni nchi inayoendelea ndio maana haipo G7.China ni Nchi ya pili kwa utajiri duniani nyuma kwa usd trillion 5 kwa USA in nominal term.
But in real GDP,China ni namba 1 na USA ni 2 akiwa pungufu kwa USD trillion 3.
Dunia nzima hakukuwa na Rais mwenye akili kumzidi Dokta John Magufuli.Majizi au watu waliomzidi akili?
We jamaa kuwa serious!Unaelewa hata vitu unavyojaribu kulinganisha?Sio pato la California, kwa takwimu za sasa hivi Kampuni ya Apple thamani yake inazidi uchumi wa nchi zote za Africa.
The reality is that the annual GDP for California State is USD 3.5 trillion while the total annual GDP for Africa for the year 2022 is USD 2.9 trillion. So I don't think if it needs argument.Samahani mleta mada, umeelewa nini hapo??????
a) California’s GDP measures over 7.5 times greater than the country with the highest GDP in AfricaThe reality is that the annual GDP for California State is USD 3.5 trillion while the total annual GDP for Africa for the year 2022 is USD 2.9 trillion. So I don't think if it needs argument.
Huelewi nini hapo sasa, GDP ya California inaizidi ya Nigeria mara 7.5 na wakati huohuo inaizidi pia ya Afrika nzima kwa ujumla. $3.5 trillioni kwa $2.9 trillioni. Please be informed accordingly.a) California’s GDP measures over 7.5 times greater than the country with the highest GDP in Africa
b) The reality is that the annual GDP for California State is USD 3.5 trillion while the total annual GDP for Africa for the year 2022 is USD 2.9 trillion
Maelezo ya 'a' na 'b' yanafanana ??????????