Khaji Mvungi
Member
- Oct 7, 2011
- 6
- 1
mkuu movie unazidownload kwenye mitandao au watembelee rafiki wenye interests wanaweza kuwanazo kwenye pc zao,au ukihitaji nikuelekeze jinsi ya kudownload
mkuu naomba unielekeze jinsi ya ku download
mkuu movie unazidownload kwenye mitandao au watembelee rafiki wenye interests wanaweza kuwanazo kwenye pc zao,au ukihitaji nikuelekeze jinsi ya kudownload
Ila hakikisha ume_install bitTorrent au Utorrent katika PC yako
Na kama utahitaji kudownload TORRENTS kwa kutumia IDM kwa haraka basi hapa utahitaji premium service ambapo utapewa 1000GB [yes 1 Terabite ya bandwidth kwa ajiri ya kubadili Torrent na kuwa direct link kwa cost ya tsh 10,000 [ Ndio elfu kumi tu ]Wasiliana nami kwa hii huduma.
Mkuu hii ni nzuri lakini nnayo nzuri zaidi halafu ni bure bila malipo yoyote. yani uwe tu na IDM unapata series na latest movies katika size ndogo, mxm 200MB. Ziko site mbili
Transformers age of Extinction(2014)
Nakubaliana na wewe mkuu, ukitaka kuifaidi, watch it in IMAX3D!!! Bonge la movie
Ila ni ndefuu au sijui nilikua nimechoka tu..nilisinzia balaa
Uliingalia on IMAX3D au normal theater? Maybe you are tired. So far ndio movie imeingiza pesa nyingi this year almost 1BUSD. Nangoja Guardian of the Galaxy on Friday!
Nadhani ni 3D ya kawaida..niliangalizia pale Quality centre
Mimi pia niliiangalia hii ndani BM basi kutokea Moro, nilitokea kuipenda japo waigizaji siwajui majina kwa sababu si mpenzi sana wa bongo movie.
Hukumu Ya Ndoa Yangu ya JB na Shamsa Ford.Halafu kwanini wabongo hampendi vya nyumbani?????
Escape Plan 2013
Captain Philips 2014
tupieni na series jamani
Unajua kuna Ninja zipo mbili na zote kacheza yeye kule japani si ndiyo?
Mbona hamuitaji Ninja 2 ya Scot Adkins... Japo,wengi wameiona lakini siamini kama kila mtu kaiona.. Nayo ni,kali za 2014