King Octavian
JF-Expert Member
- Oct 1, 2011
- 403
- 353
- Thread starter
- #81
Unamaanisha nipende ile movie jambazi anavua viatu kuingia sebuleni?Hukumu Ya Ndoa Yangu ya JB na Shamsa Ford.Halafu kwanini wabongo hampendi vya nyumbani?????
Escape Plan 2013
Captain Philips 2014
Mkuu hii ni nzuri lakini nnayo nzuri zaidi halafu ni bure bila malipo yoyote. yani uwe tu na IDM unapata series na latest movies katika size ndogo, mxm 200MB. Ziko site mbili
yah ni possible, sijawahi tumia iphone, ila nadhan nenda store unapochukulia application za iphone, tafuta ki application kimoja kinaitwa BitTorrent fanya kuki install, then nenda kwenye browser unayotumia humo(nashauri opera) fungua page hii yify.torrent kupitia google, then utaona kuna movies mbalimbali, nenda kwenye sehemu ya kusearch andika movie yoyote unayoihitaji, then search, iki appear, download.
then ile bitTorrent italidaka file, wewe uta click add, then itaanza kudownload
Hukumu Ya Ndoa Yangu ya JB na Shamsa Ford.Halafu kwanini wabongo hampendi vya nyumbani?????
jamani kwa wanao2mia android nadhani hawaitaji muvi kuwa na size kubwa ka ivyo so njoeni kwenye application inayoitwa "any movie downloader"utapata muvi kali na mpya na size sio kubwa ni kama 150--200mb ila inabid uwe mwangalifu ili kutaka kuona quality nzuri chagueni kwenye option za "hbdr"au "wbdr" ila option za "cam"zina quality ndgo. iyo application inabid uigoogle na chagua option ilpo katika mobile9 zen uidownload mana playstore washaitoa.
Movies nyingine nzuri za 2014 ambazo nimeziona ni
1. Seal team 8 (behind enemy lines) - hii ni ya kivita kati ya US navy SEALs na kikundi flani huko Congo msituni.
2. Ride along ( hii action-comedy ni nzuri pia. Star ni ice cube na kevin hart)
3. Tokarev (action- starring nicolas cage)
4. Jack ryan shadow recruit (hii pia ni action)
5. That awkward moment
6. Pompeii ( humu ndani yumo jack bauer).
Then kwa wanaopenda series ambayo ni latest ni 24 (season 9) ambayo mpaka jana ilikua imetoka episodes 4 kati ya 12.
1. hawapo makini katika kujenga uhalisia utakaowavuta watu wasahau kama ni maigizo ,mfano, unakuta mfano movie ni ya jini, jini hilo linavuka barabara linaangalia kulia na kushoto, tafsiri yake nini hapo, kwamba linaogopa kugongwa km binadam,haya jini au mzuka anapaka unga ina maana viumbe wabaya ni wabaya mpka sura?
2. Haya unakuta wakati mwingine wanajisahau, kuhusisha diologue na location,mfano; mazungumzo ya zamani labda miaka ya 1980 lakini ndani walimo kuna sofa na tv hii inatafsiriwaje? kuna mtanzania gani wa kawaida alikua na sofa na tv miaka ya 80, embu fuatilia movie za akina jumong au legend of the seeker kama utaoba hata kioo cha kujitazamia
3. Uhalisia katika uvaaji wa uhusika, unakuta msichana anaigiza ni wa kijijini lakini mwangalie kichwani alivyosuka nywele, unajiuliza hiv kweli kijijini kunaweza kuwa na salon zinazoweza kusuka namna hiyo?
4. Kushindwa kutumia taharuki na mtindo rejea( flashbacks) katika uigizaji, kawaida unapaswa kutengeneza filamu ambayo mtazamaji atakua anashindwa kuacha kuitazama kwani anakua na hamu ya kujua nini kitafuata baada ya tukio fulani kuisha but kwa movie za kibongo ukiangalia movie Dk10 unakua ushajua itaisha vipi
aisee yapo madhaifu mengi sana
itafute The Blacklisttupieni na series jamani
Hukumu Ya Ndoa Yangu ya JB na Shamsa Ford.Halafu kwanini wabongo hampendi vya nyumbani?????