Zijue Movie Mpya Kali 2013 na 2014

Zijue Movie Mpya Kali 2013 na 2014

Pamoja sana mkuu.. Tutaendelea kupeana updates kadri ua uwezo.

Powa powa jana nilikua naangalia Legend of Hercules kuna mkuu mmoja ali imention humu, imetulia sana ndani kuna scott adkins mzee wa undisputed
 
Mkuu hii ni nzuri lakini nnayo nzuri zaidi halafu ni bure bila malipo yoyote. yani uwe tu na IDM unapata series na latest movies katika size ndogo, mxm 200MB. Ziko site mbili

Kama unaangalizia kwenye simu sawa, ila kama mtu anapenda kuangalizia kwenye pc au tv, 200mb inakua quality ndogo sana. At least ianzie 700mb kwa 720p unapata picha clear.
 
Powa powa jana nilikua naangalia Legend of Hercules kuna mkuu mmoja ali imention humu, imetulia sana ndani kuna scott adkins mzee wa undisputed

Kweli imetulia sana, then Scott Adkins ana movie nyngine ya 2013 inaitwa ninja shadow of the tear. Kama hujaicheki itafute pia.
 
Kweli imetulia sana, then Scott Adkins ana movie nyngine ya 2013 inaitwa ninja shadow of the tear. Kama hujaicheki itafute pia.

hii nimeiona ni movie moja balaa sana, kuna nyingine inaitwa El Gringo 2012 nayo ni tamu sana
 
Dah kuna hizi aysee,waaacha kabisa
1. 2 guns
2. 13 sins
3. Broken city
4. Head Hunters
5. Ice Soldiers
6. Man of Steal
7. Reasonable doubt
8. Redemption
9. The cure
10. The outsider
11. Lone Survivor,

Kama ni mdau wa movie jitahidi uziangalie hizo yaani usiikose hata moja katika hiyo list
 
Dah kuna hizi aysee,waaacha kabisa
1. 2 guns
2. 13 sins
3. Broken city
4. Head Hunters
5. Ice Soldiers
6. Man of Steal
7. Reasonable doubt
8. Redemption
9. The cure
10. The outsider
11. Lone Survivor,

Kama ni mdau wa movie jitahidi uziangalie hizo yaani usiikose hata moja katika hiyo list

sawa mkuu, halafu mkuu hiyo avatar yako huyo jamaa namkubali sana
 
sawa mkuu, halafu mkuu hiyo avatar yako huyo jamaa namkubali sana


Huyo jamaa anaitwa William Fichtner anabadilika sana ni kama kinyonga. Yupo kwenye Lone Ranger ila kama haupo makini unaweza usimtambue kabisa yaani.
 
Duh unazidi kuniongezea mzuka wa kupakua mavitu online kuna hii nyingine inaitwa PARKER?
 
GU Family Book sijaiona..kacheza nan mkuu??ntaitafuta niiangalie

Mkuu kusema ukwel majina ya hawa jamaa nashindwa kuyashika ila nadhan hii itakusaidia kuwatambua kama wewe ni mdau mkubwa. ImageUploadedByJamiiForums1400742633.586048.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom