wala sijakumind mtu wangu basi tu nataka ufuata njia nzuri afterall bakukubali sana mwanangu mwenyewe. Halafu nakaonaga katoto kangu ka kwanza kapo JF sijui ndio wewe ngoja nidukue simu yake leo jioniHahaha funzadume naona umenimind tangu jana
Hahaha usinifukuze nyumbani babawala sijakumind mtu wangu basi tu nataka ufuata njia nzuri afterall bakukubali sana mwanangu mwenyewe. Halafu nakaonaga katoto kangu ka kwanza kapo JF sijui ndio wewe ngoja nidukue simu yake leo jioni
Ha ha ha haKuna kipindi cha balehe nimepiga sana hiyo kitu mpaka nikiwa napita mtaani visabuni madukani vinaniita “shemeji shemeji”
Hichi chama kina watu wengi sana sema tu watu wanaiona aibu.Mjumbe asante kwa hizi nondo hakika nyento imetuokoa wengi na ukame! Viva CHAPUTA
Umesema vyema !Hichi chama kina watu wengi sana sema tu watu wanaiona aibu.
binafsi nijiunga hichi chama zaidi ya miaka 20 iliyopita na bado naendelea kuwa memba.
Kutokana na uzoefu nilionao wa miaka mingi katika hichi chama napinga baadhi ya point amabazo zimetolewa na memba wastaafu
1. Kuwa ukianza kujua K unasaahau CHAPUTA; hapa nakataa kwa herufi kubwa
2. Uume Kupungua.- hili pia napinga
Nisipinge tu ila pia kuna point nitazisapoti.
1. Kukuchelewesha katika ratiba zako
2. Inachangia kususia K
Zingine memba watasaidia
uko deepAisee Mara zote hizo hukuteuliwa kuwa Mkuu wa Chaputa au Ulikuwa Kada wa upande wa pili?
Afadhali mkuu wewe umeongea. Katika mada yote sijaona mpiga puli. Wote wanajifunza na katika wote hakuna aliyeweza kuelezea kiufasaha Madhara wala faida za puli. Acha nikae kimya mie.Hichi chama kina watu wengi sana sema tu watu wanaiona aibu.
binafsi nijiunga hichi chama zaidi ya miaka 20 iliyopita na bado naendelea kuwa memba.
Kutokana na uzoefu nilionao wa miaka mingi katika hichi chama napinga baadhi ya point amabazo zimetolewa na memba wastaafu
1. Kuwa ukianza kujua K unasaahau CHAPUTA; hapa nakataa kwa herufi kubwa
2. Uume Kupungua.- hili pia napinga
Nisipinge tu ila pia kuna point nitazisapoti.
1. Kukuchelewesha katika ratiba zako
2. Inachangia kususia K
Zingine memba watasaidia
HahahahaNi kama week hivi nimejiunga hiki chama nanimeshachukua form za kugombea jimbo flani uzuri wa chama hiki hakuna mwenye kiti wa kudumu na katiba ya chama hinampa Uhuru kila mwanachama Uhuru wa kuoji matumiz sahihii ya ruzuku(sabuni,mafuta na dhana nyenginezo)