Zifuatazo ndio sifa za super woman

Zifuatazo ndio sifa za super woman

Tajiri Mapesa

Superwoman ni yule ambaye kwanza anaolewa akiwa bikra pili anatambua kuwa mume ni kichwa cha familia na tatu anajua kuwa yeye ni chombo cha starehe kwa mume wake.
 
Kuvutia tu si unajua kama pambo lipendezalo dunia au nyumba mfano maua tuyapandao majumban kwetu kuyaangalia ni faraja tosha [emoji3][emoji3]

Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji3][emoji3] nimekuelewa, ila wenye chura wanavutia flani hivi,utaskia kijiweni mdada akipita utulivu unapotea kwa muda, ila akipita wa kawaida kila mtu yupo busy na mambo yake dah[emoji3]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom