Muuza Kangala
JF-Expert Member
- Jul 21, 2021
- 1,126
- 4,169
Pamoja na mikwara mbuzi ya kupiga simu lakini hakuna jipya.
Dhuluma na ufisadi bado vipo palepale.
Polisi na Mahakamani dhuluma.
Upigaji ulisharuhusiwa. Maana kila mtu anakula kwa urefu wa kamba yake wanaogopa kuvimbiwa tu
Dhuluma na ufisadi bado vipo palepale.
Polisi na Mahakamani dhuluma.
Upigaji ulisharuhusiwa. Maana kila mtu anakula kwa urefu wa kamba yake wanaogopa kuvimbiwa tu