MWALLA
JF-Expert Member
- Dec 12, 2006
- 16,992
- 10,497
hizo ndio enzi tunazo zitaka sasa... ....mae mambo za kubanwabanwa kwishney mwananchi anufaike sio sirikale inufaike afu mwananchi abaki hoiiiHili suala la kuweka restriction za corona na kujipendekeza kwa watu sijajua mshauri ni nani, inatuletea picha ya udhaifu! Akimaliza hii ya Magufuli, itakuwa ngumu sana mimi kumpigia kura, niwe mkweli, nachukia udhaifu dhaifu kwenye uongozi! Tunarudi tena enzi za msoga sasa.