NSHIMBA NG'OSHA
Member
- Oct 13, 2012
- 11
- 1
Leo Rais Kikwete alikuwa na kazi ya kuzindua chuo cha Nelson Mandela na uzinduzi wa jiji la Arusha lakini cha kushangaza naona msafara wake unaingia uwanja wa ndege wa kimataifa wa Kilimanjaro sasa hivi tayari kwa kuondoka.
Mwenye taarifa atujuze jamani amemaliza hayo majukumu au kuna kitu kimetokea kimemlazimu aahirishe baadhi ya kazi.Nawasirisha.
Mwenye taarifa atujuze jamani amemaliza hayo majukumu au kuna kitu kimetokea kimemlazimu aahirishe baadhi ya kazi.Nawasirisha.