Ziara ya rais Kikwete Arusha yaahirishwa?

Ziara ya rais Kikwete Arusha yaahirishwa?


Woga wa Matokeo ya Daraja mbili pia Kamanda mwanye Himaya yuko Mujini- kama CCM ingeshinda angepata point ya kuongelea pia kibaya zaidi kuhalalisha matumizi mabaya ya fedha kugharimu sherehe hiyo imewatia hasira wanainchi.Kumbuka AR wengi ni waelewa sio mbumbumbu wanasema fedha hizo zingepelekwa NMC na soko la kilombero kwaajili ya kuboresha miundombinu kama vile vyoo nk!!


kulalala kuamka zaidi ya milioni miamoja kwisha!!kisa sherehe-hii Arusha haikubaliki!!
 
Leo Rais Kikwete alikuwa na kazi ya kuzindua chuo cha Nelson Mandela na uzinduzi wa jiji la Arusha lakini cha kushangaza naona msafara wake unaingia uwanja wa ndege wa kimataifa wa Kilimanjaro sasa hivi tayari kwa kuondoka mwenye taarifa atujuze jamani amemaliza hayo majukumu au kuna kitu kimetokea kimemlazimu aahirishe baadhi ya kazi.Nawasirisha.

Umesahau jamaa ana presidential jet, huenda anaenda mara moja ikulu atarudi watu wakishajipanga vizuri hapo Nelson! Nilisikia pia kesho anakuja kuzindua LEMA ROAD za Arusha!
 
Alichakachua matokeo ili atuletee maendeleo, na hiyo fedha hatoi mfukoni mwake, ni fedha yetu, ni kodi zetu kwahiyo usijishebedue bure hapa. Kwa Arusha mtaisoma namba kwa sana...

Sijui ni lini wajinga hawa wataelewa kuwa kodi zetu tunazolipa na kutozwa sisi wananchi ndizo zinazojenga nchi yetu na hata misaada wanayoomba inaombwa kwa jina la nchi si kwa ajili ya mtu binafsi! tukiachilia mbali na fedha wanazokwiba washenzi kadhaa wa chama tawala na serikali yao! MTU ACHUKUE PESA YANGU HALAFU ANINUNULIE SIMU THEN AJISIFU YEYE NDO KAGHARAMIA, HUU NI UPUNGUANI!!
 
Leo Rais Kikwete alikuwa na kazi ya kuzindua chuo cha Nelson Mandela na uzinduzi wa jiji la Arusha lakini cha kushangaza naona msafara wake unaingia uwanja wa ndege wa kimataifa wa Kilimanjaro sasa hivi tayari kwa kuondoka mwenye taarifa atujuze jamani amemaliza hayo majukumu au kuna kitu kimetokea kimemlazimu aahirishe baadhi ya kazi.Nawasirisha.

A'City
 
Arusha,Mbeya na Mwanza si salama kwa uhai wa rais.Chuki za watu mitaani ni kali sana watu wanasema wazi anakuja fanya nini si amalize muda wake hukohuko kwa waswahili wenzake.
 
acha pumba wewe ......kikwete ni rais wa TZ so kuongelewa nikitu cha kawaida
 
Mh JK mwenyekiti wa chama cha mapinduzi (ccm) hakuwa na safari yoyote katika jimbo la Arusha Mjini katika shughuli za kiserikali ila chama cha mapinduzi kimepanga safari kwa mwenyekiti wao kuja kwa shughuli za kiserikali kuzindua Arusha kuwa jiji kwa mara ya pili,
Kwa kuonesha safari hii haikuwepo na haikupangwa awali, eneo ambalo atazindua Arusha kuwa jiji la MNARA WA MWENGE mpaka mida ya saa moja jioni ya leo ilikuwa inapakwa rangi na kuchorwa pia barabara zimefungwa kufanya marekebisho na kuna baadhi za barabara bado kabisa hazijawekwa lami zipo katikati ya mji HII YOTE INAONESHA KUKURUPUKA PASIPO NA MIPANGO, kutumia matumizi makubwa ya pesa katika shughuli iyo kwa kuakikisha wananchi wanakwenda uwanjani kumsikiliza JK kwa kuwaleta ZECOMEDY, na Diamond ili kuwavuta watu uwanjani na pia baadhi za shule za kata wanafunzi wameambiwa na walimu wao kesho wasiende shule waende uwanjani kumsikiliza JK.

Haya ndio matatizo ya serikali ya ccm kukurupuka kulazimisha jambo ambalo bado halijakamilika uku mwenyekiti wao akikimbilia kuliunga mkono hata kama bado halijakamilika

MY TAKE:
kusibitisha maneno yangu niliyoyaandika maneno ya kisiasa na kuponda upande mwingine ndio yatakayo tawala kesho uwanjani wakati JK akizungumza uku akimtaja G. Lema na hakutakuwa na jipya
CCM kama hawakubaliki Arusha ya nini kuwalazimisha watu kuwa na imani nao wakati wameshapoteza mvuto.:crazy::crazy:
 
Upepo wa A-City hauvumi vizuri kwa wanathithimwewe. Amestuka na kuamua kula kona!
 
Ameenda Dom kufunga mkutano wa Jumuiya ya Wazizi na Mafisadi wa CCM, then jioni atarudi tena A-Town kwa ajili ya ufunguzi wa Chuo.
 
Bongo tambarare jioni arusha - dar asubuhi dar-arusha, jioni arusha - dar. Haya banah!
 
Leo Rais Kikwete alikuwa na kazi ya kuzindua chuo cha Nelson Mandela na uzinduzi wa jiji la Arusha lakini cha kushangaza naona msafara wake unaingia uwanja wa ndege wa kimataifa wa Kilimanjaro sasa hivi tayari kwa kuondoka mwenye taarifa atujuze jamani amemaliza hayo majukumu au kuna kitu kimetokea kimemlazimu aahirishe baadhi ya kazi.Nawasirisha.
Inaguration ya mandela university ni tarehe 2Nov,2012 siku ya ijumaa mnakaribishwa wote,na mgeni rasmi ni Mh.Rais Jakaya Mrisho Kikwete
 
Arusha,Mbeya na Mwanza si salama kwa uhai wa rais.Chuki za watu mitaani ni kali sana watu wanasema wazi anakuja fanya nini si amalize muda wake hukohuko kwa waswahili wenzake.

Acha uongo unaleta porojo Chadema Mwanza, imeishakufa siku nyingi. Mbeya nadhani umeona kwenye matokeo ya udiwani, Leo JK atazindua miradi ya miundombinu na elimu katika Jiji la Arusha na Wilaya ya Monduli...kabla ya kuhutubia wakazi wa Arusha atazindua hospitali ya Ortumer.

Wewe endelea na porojo tu humu JF chezea JK wewe Mwenyekiti wako Mbowe na wazee wa Rombo, wamemkubali JK.
 
JK aagiza Moshi iwe Jiji 2015..agizo hilo la JK linatokana na uongozi wa Manispaa ya Moshi (MMC) kuwashtaki wenzao wa Moshi Vijijini (MDC) kwa rais kuwa ndio kikwazo cha kupanua kwa mji huo kuwa Jiji.
 
Kweli JK kiboko, leo mtandao mzima wa JF wanamuongelea kuhusu ziara yake arusha na jinsi alivyo jipanga kwenye ziara hiyo kwa nia yakuwaletea wananchi wake maendeleo. Go go go JK , bakora unazo wapiga cdm sasa twaziita bakora za chuma wanalia na kuweweseka kila sehemu na pande za nchi zote

"Comments" zako hazilandani na jina lako la geniusbrain!!
 
Back
Top Bottom