Ziara ya rais Kikwete Arusha yaahirishwa?

Ziara ya rais Kikwete Arusha yaahirishwa?

Ratiba yake ilikuwa kwamba,Leo azindue chuo cha Nelson Mandela kisha ashiriki mazishi ya aliyekuwa mpishi
wa ikulu arusha ambaye amezikwa leo kule makaburi ya njiro halafu arudi dar.Kesho atakuja tena Arusha
na atazindua jengo jipya la NSSF karibu na new Arusha hotel na baadae atakwenda pale mnara wa mwenge
ambapo atazindua rasmi jiji la Arusha.Baada ya hapo atakwenda kuzindua jengo jingine la NSSF pale round
about ya Florida na baadae atapita na kuzindua barabara inayotoka florida kupitia Arusha Lutheran Medical
centre kisha atarudi Sheikh amri abeid stadium kuzungumza na wakazi wa Arusha.
 
Labda amealikwa USA kuangalia madhara ya kimbunga sandy

Ataenda US muda si mrefu kupeleka rambi rambi kwa niaba ya umoja wa Afrika , si unajua yeye ndio mratibu wa rambi rambi kwenye umoja huo kwa niaba ya wakuu wenzake
 
hahahahahah maisha bora kwa kila mtanzania, chek bakora vasco dagama anazowachapa wa tz!

Ninachokifahamu mimi kama mtumishi wa NM-IST ni kwamba JK anazindua chuo siku ijumaa ya wiki hii, hizo ndo habari za uhakika.
 
sasa si atakuwa anapanda ndege kwenda Arusha, unashanga nini hapoooooo

yaani ufike chuo cha Nelson urudi kia ukapande ndege kwenda Arusha kwani hicho chuo kiko wapi? je unajua umbali wakutoka nelson Mandela na kia ukilinganisha na umbali wa Nelson na ikulu ya Arusha..
 
lisaa limoja lililopita alikuwa hapa njiro kumzika yule mama lucy aliyekuwa ikulu ya arusha
 
Pengine anaenda kuchukua hotuba Dar ili azungumze vizuri na wanaArusha wakati wa kuzindua Jiji ambalo lina mapengo ya madiwani na mbunge.
 
yaani ufike chuo cha Nelson urudi kia ukapande ndege kwenda Arusha kwani hicho chuo kiko wapi? je unajua umbali wakutoka nelson Mandela na kia ukilinganisha na umbali wa Nelson na ikulu ya Arusha..

anajiropokea 2 hata mji haujui!
 
lisaa limoja lilopita alikuwa hapa arusha njiro kumzika yule mama lucy aliyekuwa anafanyakazi ikulu ya arusha
 
yaani ufike chuo cha Nelson urudi kia ukapande ndege kwenda Arusha kwani hicho chuo kiko wapi? je unajua umbali wakutoka nelson Mandela na kia ukilinganisha na umbali wa Nelson na ikulu ya Arusha..

kama unafanya kazi kwa remote control unaweza -maana hata hujali wewe unatumiwa tu
 
Kazi kweli kweli, Nani analipia hizi safari za kwenda na kurudi marambili mbili?
 
Kuna mazishi ya waathirika wa kimbunga Marekani,kwa sababu yeye ndiye rais wa kwanza Afrika kumshika Obama mkono,kwa hiyo anaelekea huko US ili awe rais wa kwanza Afrika kuona madhara ya kimbunga sandy.
 
Majira ya saa 4 barabara mpya ya junction ya Kambi ya Fisi hadi Florida na pale stendi ya mabasi ya Mtei hadi Cleopatra zilikuwa zimefungwa na kusababisha jam ya kufa mtu eti kusubiri Ufunguzi na tukawa tunajipenyeza njia za panya kwa uzoefu wetu. Saa saba kasoro nimemwona Makufuli akiingia Hoteli ya New Arusha na VX iliyokuwa imejaza huko nyuma mithili ya magari yaliyotoka kuwinda. Namba za gari zilikuwa W UJ..... Baadaye sikuona kitu kumbe JK amechomoa ufunguzi?

Jk hawezi kurudi Dar kwani ana ziara ya mkoa wa Arusha ambayo itampeleka hadi Wilaya ya Karatu hopeful kesho au keshokutwa.
 
Ratiba yake ilikuwa kwamba,Leo azindue chuo cha Nelson Mandela kisha ashiriki mazishi ya aliyekuwa mpishi
wa ikulu arusha ambaye amezikwa leo kule makaburi ya njiro halafu arudi dar.Kesho atakuja tena Arusha
na atazindua jengo jipya la NSSF karibu na new Arusha hotel na baadae atakwenda pale mnara wa mwenge
ambapo atazindua rasmi jiji la Arusha.Baada ya hapo atakwenda kuzindua jengo jingine la NSSF pale round
about ya Florida na baadae atapita na kuzindua barabara inayotoka florida kupitia Arusha Lutheran Medical
centre kisha atarudi Sheikh amri abeid stadium kuzungumza na wakazi wa Arusha.

Hiyo ratiba uliyotoa inaonekana iko sahihi lakini majengo unayoyataja bado ujenzi unaendelea na hizo barabara zina kasoro chungu mzima na ule mnara wa azimio bado mpaka jana ulikuwa unafanyiwa ukarabati na mabomba ya kupandia yameondolewa usiku kama siyo alfajiri. Round about ya Clock tower mpaka leo saa saba mchana ilikuwa ikipigwa rangi na hata nusu walikuwa hawajafika. Kwa hiyo rais angefungua structure ambazo hazijakamilika au hujui anaogopa yale yale ya kuuziwa mbuzi ndani ya gunia. Kumbuka ile cheque ya kipindi kile ilivyomumbua na juzi Mulogo kapigilia msumari kwa hiyo bado ana maumivu ya madhara ya kufanya vitu bila umakini. Mi nafikiri bora tu arudi dar jiji la Ar wajipange upya.
 
leo rais kikwete alikuwa na kazi ya kuzindua chuo cha nelson mandela na uzinduzi wa jiji la arusha lakini cha kushangaza naona msafara wake unaingia uwanja wa ndege wa kimataifa wa kilimanjaro sasa hivi tayari kwa kuondoka mwenye taarifa atujuze jamani amemaliza hayo majukumu au kuna kitu kimetokea kimemlazimu aahirishe baadhi ya kazi.nawasirisha.
.
Sasa cha kushangaza nini???...we hujawahi kwenda safari ukasitisha na kurudi ulikotoka????... C
 
Back
Top Bottom