- Thread starter
- #21
19 January 2024
WAFANYAKAZI WA UVCCM WAPEWA MWEZI MMOJA KULIPA MADENI WALIYOKOPA BENKI YA DCB Commercial Bank Plc
Wafanyakazi hao 132 walikopa jumla ya shs. 600,000,000 .... mikopo hiyo ilichukuliwa miaka 10 iliyopita na mbali ya kufuatiliwa wameshindwa kujitokeza hivyo ndani ya mwezi mmoja majina yao yataanikwa hadharani baada ya njia za chini chini kutunza siri zao kushindikana mkurugenzi mtendaji wa DCB Commercial Bank Plc amewatahadhatisha makada wa UVCCM ...
WAFANYAKAZI WA UVCCM WAPEWA MWEZI MMOJA KULIPA MADENI WALIYOKOPA BENKI YA DCB Commercial Bank Plc
Wafanyakazi hao 132 walikopa jumla ya shs. 600,000,000 .... mikopo hiyo ilichukuliwa miaka 10 iliyopita na mbali ya kufuatiliwa wameshindwa kujitokeza hivyo ndani ya mwezi mmoja majina yao yataanikwa hadharani baada ya njia za chini chini kutunza siri zao kushindikana mkurugenzi mtendaji wa DCB Commercial Bank Plc amewatahadhatisha makada wa UVCCM ...