Ziara ya Hillary Clinton kuja: Picha na Matukio

Ziara ya Hillary Clinton kuja: Picha na Matukio

Kwa mataifa masikini kama Tanzania yasiyokuwa na nguvu za kijeshi wala kiuchumi (threat kwa Marekani), hawa jamaa wanataka kula tu hawana lingine, hivyo wanakuja kuchukua vyao na bado wanajenga military base pale Kigamboni.

Tumelogwa, tunapiga makofi tunaibiwa.
 
Mbona habari hii inapotosha umma? Walinzi wake walitembelea Bills jana kwenye ZIFF kick off party, kwani hiyo si heshima kwa CDM?
 
Hivi mnajua ile seal ya marekani ina maana gani?. mguu mmoja yule Eagle ameshika mishale 13, na mguu mwingine kashika maua!.
Upande wa mishale, maana yake ni kama kile walichokifanya Vietnam, Iraq, Nicaragua, Vietnam na sasa wanachokifanya Libya. ukihesabu idadi ya watu waliowaua katika vita hizo, ni mamilioni ya watu.

Upande wa Maua ni kama walivyotoa vyandarua, na ARV na sasa mama Katuletea umeme " kwa kununua mitambo ya DOWANS".
Pande mbili za Eagle ndiyo hicho kinachoitwa "no permanent friends or enemies, but permanent interests".
Tukijiweka karibu na hawa jamaa itakula kwetu, kuna so many dark moves zinafanyika behind the scenes.

Nchi za Kifreemason kama hii Marekani, ni nchi za kudeal nazo kwa umakini mkubwa sana, otherwise mtajikuta mmeingia kwenye mapigano ya wenyewe kwa wenyewe bila kuja hasa mnapigania nini. Viongozi wetu inabidi wawe makini sana!.

Naona sasa Obama, anajaribu kufanya moves aonekane "aliisaidia Afrika", lakini Waafrika wengi wamekuwa dissapointed nae sana kutokana na ishu ya Libya.
 
hahaaa!!mnataka kuongea na mrs clinton.mna nini cha kusema zaidi ya majungu na kuomba pesa.hii inathibitisha kuwa chadema inadharaulika na haitambuliki ndani na nje ya nchi.umaarufu wake unaishia ubungo.tafuteni kitu kingine cha kufanya.mmefulia
CCM tuache mawazo mgando, kwani Tanzania Chama Cha Upinzani ni Chadema tu!!! Mbona mnaipaisha sana Chadema au mnataka sisi wananchi tuamini kuwa Chama chenye sera nzuri mbadala ni Chadema tu? Au Chadema ndiyo adui mkubwa wa CCM? Nadhani kuna vyama vingi vya upinzani Tanzania na kwa sababu CCM yenyewe iko kwa Chadema tu siku wapinzani wakiungana CCM itapigwa chali.
Ni vizuri kuwa na mawazo mtambuka na siyo mgando!!!! Kwanini CCM inaimba wimbo wa Chadema!!!!
 
Mnakumbuka kuwa alienda kutembelea mitambo ya Symbion? Hii ina maana kubwa sana,nasikia pia ameongeza msaada kwenye mambo ya lishe,munakumbuka Bush alitoa msaada wa vyandarua.Hiv vyote ni vichekesho kama wanatupenda (Marekani) saaaana,kwanin wasitupatie mitambo ya kwetu ya umeme au basi watukopeshe hiyo mitambo ili iwe ya kwetu kuliko kutukodishia huku mitambo ikibaki kuwa ya kwao?! Sasa msaada kwenye lishe,kwanin wasitupatie matrekta tukainua kilimo chetu tukawa na lishe bora na ziada pia? Swala la neti sis tunawapa Urenium wao wanatupatia NETI ZA MBU!! Bora wangetupatia dawa za kuua mazalia ya mbu au watupatie pesa za kujenga zahanati! HAWAWEZI KUTUPATIA VITU VYA MAENDELEO SABABU WANATAKA TUBAKI PALEPALE ILI WAENDELEE KUTUTUMIA,WAO WANAENDELEA SISI TUNADUMAA.Yapo mengi wanajamii! Ambayo wanasiasa upande wa upinzani wanayapigania na ndio yaliyomleta Clinton hawezi kukaa meza moja kuyajadili hayo na kina Dk Slaa,Prof Lipumba n.k
 
nimepata taarifa kuwa mkurugenz wa symbion alikuwa mwenyekiti wa kampeni wa hillary clinton wakat akisaka tiketi ya democrats kugombea urais. kwa hiyo amekuja kimaslah zaidi
weka data!!!!!
 
huyu mama hawezi kukaa anasikiliza mambo ya kinafiki, amekuja kikazi sio kuja kusikiliza stori za kijiweni. Sasa hawa chadema watawambia nini wakati hawana faida yeyote zaidi ya kuleta fujo. SLAA wafate warusi labda watakusikiliza.
 
huyu mama hawezi kukaa anasikiliza mambo ya kinafiki, amekuja kikazi sio kuja kusikiliza stori za kijiweni. Sasa hawa chadema watawambia nini wakati hawana faida yeyote zaidi ya kuleta fujo. SLAA wafate warusi labda watakusikiliza.

Siku zote urafiki wa mtoto mdogo na mtu mzima una kasoro na sio wa kawaida! Marekani rafiki na Tanzania, kweli?
Tumeliwa na tumelika!
 
America has neither permanent friend nor permanent enemy but she has permenent interest
 
ni huyu huyu ndiye aliyemzika binamu yako (RIP) baharini na wewe ukakimbia nyumba kule Abbottabad

Jibu hoja acha kukimbia kama kuku alichinjwa shingo, hii ina maana upinzani haujulikaniki ? au ndio wameona kuongea na wapinzani ni kupoteza muda bure kwani upeo wao wa kufikiri ni mdogo ? haya jibu sasa
 
Kwa mataifa masikini kama Tanzania yasiyokuwa na nguvu za kijeshi wala kiuchumi (threat kwa Marekani), hawa jamaa wanataka kula tu hawana lingine, hivyo wanakuja kuchukua vyao na bado wanajenga military base pale Kigamboni.

Tumelogwa, tunapiga makofi tunaibiwa.

Kwa hiyo wapinzani hawajulikaniki? hii ni aibu aisee kama hata kwenye ramani ya vyama pinzani vya dunia hawajulikaniki, kweli wana safari ndefu ya kuongoza dola
 

Linchi la mijinga linaliwa kijinga,kwa ulafi wa kijinga,sababu ya kujipendekeza kijinga na utawala wa lijinga
 
That is the way it should be...sio kama baadhi ya waheshimiwa sana wanavyoigizaga!!!
 
  1. The story of Agnes Shiu!!
  2. Tanzania is one of four countries in the entire world, one of only two in Africa, that were considered (by USA) eligible to be the first partners for growth
  3. The single biggest reason why development is not succeeding in Latin America, Africa, and Asia, it is because of the lack of energy, and the inability to deliver electricity to people where they can use it. In Tanzania USA have found a government and a people that understand this, She was convinced that this will not only be good for Tanzania, but Tanzania will be a model, not just for Africa, but for the rest of the world.
  4. Two American companies won bid to build power lines across this country and she was very proud of that because US Government wants more American companies competing for business in Africa. And we are going to take that message back to America, and urge them to get out here and compete for these foreign projects (yaani watakuja kwa wingi zaidi kuchukua miradi&#8230😉

    Huo ndiyo ujumbe kwa kifupi wa bibie.....haya tusuibiri kuona mwanga zaidi na USA kumiliki zaidi...

 
Lakini Wamarekani naona wanaongeza uadui tu kwa hali hii. Kwani Middle East walishashitukia ndo maana kuna fujo nyingi sana na pale Africa watashituka, napo fujo zitakuwepo nyingi tu, na Marekani itachukiwa kila kona ya Dunia, na hiyo itakuwa dalili tosha ya anguko la American Empire. Kwa kifupi America wamekosa utu kabisa, wanazinyonya nchi changa na kuziwekea zengwe nchi tajiri zingine kama China na Japan. Pamoja na kwamba wanatafuta faida, ni bora wakawa na hauruma kwa binadamu wezao. Ukoloni wa Marekani ni mbaya kuliko ukoloni wowote uliowahi kutokea hapa Tanzania.
 
angekuwa mkwer.e hapo yaani wangetandika mkeka mara wanawake wa kumnawisha mikono na wengine wa kumpaka karolite mikononi akimaliza kunawa...
 
hahaaa!!mnataka kuongea na mrs clinton.mna nini cha kusema zaidi ya majungu na kuomba pesa.hii inathibitisha kuwa chadema inadharaulika na haitambuliki ndani na nje ya nchi.umaarufu wake unaishia ubungo.tafuteni kitu kingine cha kufanya.mmefulia
Wewe bure kabisa, unanikumbusha story za marehemu babu yangu kule Lushoto. Alisema kuwa wakati huo ukifanya kazi nyumbani kwa mzungu halafu akakupa funguo za chooni ukafanye usafi basi utatamba kijiji kizima kuwa unaaminika ndio maana umepewa funguo za chooni.
Namnukuu; " Osie yuja mzungu anikunda kweikwei hata funguo za chooni aza nha"
Sasa ndio nyie wa sasa na maneno yenu.
 
nimepata taarifa kuwa mkurugenz wa symbion alikuwa mwenyekiti wa kampeni wa hillary clinton wakat akisaka tiketi ya democrats kugombea urais. kwa hiyo amekuja kimaslah zaidi
Huyu jamaa si mgeni bongo alishafanya kazi sana akiwa WADE ADAM ktk miradi ya morogoro ,SPM-Mgololo ni baada ya kujichnaganya kule Iraq na kwingine ndio jamaa wanalipa shukrani .
 
watz ni wasanii kwa kila jambo hatupo serious kwa lolote, tujifunze kwa wenzetu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom