Anko Sam
JF-Expert Member
- Jun 30, 2010
- 3,254
- 908
uyu mama muuaji tu anakunywa damu
Harufu ya Faizafoxy hii! Ulimuona au kusikia wapi huyu mama ni Vampire?
uyu mama muuaji tu anakunywa damu
Mama Clinton ana umeme na nyie mlioko Tanzania na ndugu yetu ndio wenye mgao hivyo badala ya kumpiga madongo huyu mama ni lazima mjiulize je Marekani imefanya baya lipi hapa? na serikali yetu imefanya lipi zuri?
Nifafanulie huyo Anko. Sam ni nani? Alifikiri ni waarabu hao? Wao wanafanya project analysis na hawataki ubabaishaji.Kama hamufahamu kaja kushindilia msumari wa mwisho wa Symbion . Nasikia wajamaa wamekataa kutoa 10% Asante sana Anko sam (USA).
Nifafanulie huyo Anko. Sam ni nani? Alifikiri ni waarabu hao? Wao wanafanya project analysis na hawataki ubabaishaji.
Nasikia wamesini mkataba wa muda wa muda, siyo mbaya bora ubabaishaiji usiwepo na watu wanufaike na mkataba huo. Pamoja na hayo yetu macho.Good.Nna uhakika sasa mitambo itawashwa na umeme tutapata. Huyo kaja kuhakikisha kweli ipo? kabla ya kusaini check la umeme kutoka Millennium Fund.
Naunga mkono hoja haukukuwa na umuhimu wa yeye kutembelea mitambo, licha ya kuhalalisha ununzi huo pia ni kuziba midomo ya waandishi wa habari na wananchi waliokuwa wanabeza kuhusu ubora wa mitambo hiyo.
Wabongo tunahitaji sana umeme lakini shida ni utekelezaiji wake ndiyo unakuwa umejaa mawenge aka mawaa kama vitambulisho vya bongo vinavyozungumziwa.kwa hiyo wabongo kwa kifupi hamtaki umeme mmeshazoea giza nafikiri maana kila kampuni mnalalamikia
Leo Hillary Clinton ametembea iliyokuwa mitambo ya kuzalisha umeme Dowans na hatimaye Symbion. Swali langu, je hili ni juhudi za kutuziba mdomo watanzania kuhusu uhalali wa mkataba huo?
Source TBC1 20:00 Habari.
Huyu mama ataichafua serikali yake sasa hivi.
Dowans imeishachafuka sana toka wakati wa richond mpaka sasa,
arrangements zake zote zimetapakaa rushwa na ufedhuli.
Rais wetu alisema hamjui mmiliki wa dowans wao symbions
wamenunua hiyo mitambo kutoka kwa nani?
Kwanza nadhani laana ya vilio vya watanzania tayari inawatembelea
sababu siku ya tatu leo dar es salaamu iko gizani, hapa
Magomeni umeme ndo umerudi dakika ishirini zilizo isha toka
asabuhi, hali iko namna hii toka ijumaa.
Sihitajiki kufanya utafiti huo unaosema, mimi numemuona huyo mama Clinton akikagua mitambo ya Dowans ambayo imenunuliwa na hao Symbion. Kama wana mkataba nashukuru Mungu watu wa vijijini nao watapa ahueni.Symbion wana mkataba mkubwa wa kusambaza nyaya za umeme Tanzania haswa vijijini chini ya MCA (millenium challenge acct) inayodhaminiwa na US, so mama kaja kuangalia pesa za walipa kodi wao zimefanya nini kwani TZ ni moja ya nchi zilizopewa kiasi kikubwa cha pesa hizo na ndio maana JK alikuwa akienda US mara kwa mara, next time fanya utafiti b4 posting