hahaaa!!mnataka kuongea na mrs clinton.mna nini cha kusema zaidi ya majungu na kuomba pesa.hii inathibitisha kuwa chadema inadharaulika na haitambuliki ndani na nje ya nchi.umaarufu wake unaishia ubungo.tafuteni kitu kingine cha kufanya.mmefulia
mke akikosea unamshitak kwa mumewe,habari ndo hiyoAngekuwa ametembelea chadema wala msingeponda hivo, kama wazungu ama wamerekani ni wezi mbona mkichakachuliwa mnakimbilia kwenye balozi zao. Huu unafiki huu,
Jibu hoja acha kukimbia kama kuku alichinjwa shingo, hii ina maana upinzani haujulikaniki ? au ndio wameona kuongea na wapinzani ni kupoteza muda bure kwani upeo wao wa kufikiri ni mdogo ? haya jibu sasa
Mwizi akutane na wenye uchungu na nchi!!!Wewe kwenye pepo ulaya hakai siku 2 hapa kwenye vumbi akite siku 3?Bush aliyekuja kuweka mikataba ya kuuziana nchi kakita siku 4 nauoga wawamarekani!!!Wewe inakuingia kichwani?Wakati anajua akiwapa platform wapinzani wataoji kwanini nchi yao inaujumiwa?
Hivyo huku nishamba lao! Nasisi........>>>>
Genius Brain,
Hivi kweli kweli wewe ni mtanzania?
Hivi kweli kweli wewe unauchungu na hii nchi yetu?
Hivi kweli wewe una uzalendo hata punje?
Hivi kweli wewe sii tahira?
Hivi kweli unaweza kujisifu lidume likitinga ndani ya chumba chako na kumshughulikia mkeo kisa mzungu?
Hivi kweli unaweza kujisifu ikiwa ndugu yako akigongwa na gari na kufa kisa gari lililomgonga ni BENZ?
Hivi kweli wewe unadhani CHADEMA kuonana na mzungu ndio suluhisho la matatizo yetu ?
Hivi kweli wewe upo au ni upepo tuu ?
Upinzani wa Tanzania ni feki na upo kwa maslahi binafsi sio ya umma.Anawafahamu siasa zao zisivyo za maendeleo bali kutaka madaraka tu kwa njia zozote zile.Hivyo serikali ya Marekani na Clinton inajua fika upinzani wa kweli haupo bali upo katika nadharia.Marekani inaonekana kuwa na imani kubwa na serikali ya Jakaya M Kikwete na inauona ukweli kwamba sio leo au kesho wapinzani hawawezi kushika dola kwasababu ya siasa zao za chuki na kutokuwa strategic.
Jibu hoja kwa nini Bi. Clinton, hajaonana na Dk Slaa si huwa mnasema dunia yote inamtambua Dk Slaa, kumbe ujanja wake Kilimanjaro na Arusha kumbe ata Marekani hawamjui
Katika ziara za mataifa mengi ya duniani ambapo viongozi wa ngazi ya juu wa marekani na hasa hasa ikiwa ni Rais au Waziri wa mambo ya nchi za nje, wamekuwa na kawaida ya kukutana kwa mazungumzo na viongozi wa serikali pamoja na wa upinzani ili kujua hali ya kisiasa ya nchi kwa mantiki ya kurekebisha wao wakiwa kama Taifa kubwa , na lililoendelea kidemokrasia duniani. Ila kwa Tanzania , Mh. Hillary Clinton, amefanya mazungumzo na viongozi wa serikali tu, pasipo kuwepo na mazungumzo na wapinzani.
Je , hii ni kusema serikali ya marekani haiutambui upinzani wa Tanzania na kuuona kuwa hauna manufaa kwa watanzania?
Yaani mtu kafikiri kawaza, akaja na hii hoja ya mrs clinton kutoonana na Chadema! kweli mtu kama huyu ametumia kichwa kufikiri au.. yaaani napata tabu kutambua uelewa wa mtu kama huyu. fikira zangu zinanieleza kwamba mwoga siku zote ataendelea kuwa mtumwa wa uoga, na hapa mtasema sana jina la Chadema maana mnaliogopa, kila kukicha Chadema, jama hamna jipya!
Clinton akikutana na Chadema utasema kwamba anataka kuwapa pesa wavuruge amani! yaani hamatakosa la kusema, ila pia pamoja na kwamba wengi tunafahamu ujio wa clinton ni maslahi zaidi! ila pia ni mgeni wa serikali hivyo serikali ndio walifaa wampangie ratiba, pia nafikiri hata chama kinachoitwa ccm aka magamba nao hajakutana nao au mnasemaje?, naa kama serikali ingepanga clinton akutane na chadema nafikiri kama anampango wa kuinua TZ kiuchumi angejipanga upya maana hata kama atatoa hizo pesa ambazo ni zetu zinazopelekwa kwao na Barrick gold ya Bush zitatafunwa na magamba kwa mfumo wa utawala uliopo, laiti angekutana na Chadema wangemwaga mchele na huyu mama angeona jinsi pesa hizi zitakavyotafunwa.
Nimecheka sana hapo kwenye coment na connection ya picha.Sasa huyu mzee kawekewa mkeka halafu anakanyaga na maviatu yake si bora wasingemuwekea tu!![]()
Kaka unarudi lini Bongo? Tangu uende US hujarudi bongo mwaka wa 9 sasa! Jamaa zako home huna time nao kabisa hata hela ya matumizi huwatumii! No haifai bwana kama life iko tight huko njoo home tutafute maisha kibongobongo maisha sio abroad tu ni popote bana! Njoo nyumbani kakaMotmar, I think you are stupid the way you dare post your comments. Infact the american are not your respecter, they are actually after weak leaders they can lure and reap resources from you. They are are after their interests and not for the betterment of the Tanzanians. Just imagine, how long has symbion power has been here? Not even a month, but wameishakwend kwa kikwete na tayari wamekubaliwa kandarasi la kugawa umeme. Just to open your mediocre eyes, Mrs Clinton's trip here is to cement the the bid/deal. This is just an obvious example but there much more. Wasingeweza kuongea na chdema au chama chochote cha upinzani because maslahi yao yako secured by JMK. Think about the big picture!