Gefu
JF-Expert Member
- Nov 30, 2010
- 6,929
- 2,567
- Thread starter
- #61
Sijaona zembwela alipokosea.Mbunge na diwani kazi yao ni kusimamia serikali.Kama wameshindwa Kusimamia serikali kwa nini wasiwajibishwe?Kuna wabunge na madiwani wanaotimiza wajibu wao huo nakini serikali ikawa kichwa ngumu kwa hao watu wanajua.Watu wajua viongozi wanaowajibika na wale wasiowajibika.
...that is my point,zembwela nimemsikia marakadhaa anasema mbunge kama hajafanya alichoahidi kuwaletea wampige chini bila kujali kama tatizo lipo kwenye uwajibikaji wa mbunge au serikali ndo mzigo. Mfano kule jimboni kwa marehemu mgimwa miaka yote hawajapata maji si kwakuwa mbunge hakufuatilia bali ni ubovu wa sera na vipaumbele vya serikali. Tukiacha ieleweke hivo serikali inaweza kuhujumu majimbo ya wabunge isiyowataka na kusingizia hawafai....