Gefu
JF-Expert Member
- Nov 30, 2010
- 6,929
- 2,567
- Thread starter
- #41
samahini, hivi azimio la arusha lilikuwa kwa ajili ya tanganika au tanzania? Na azimio la zanzibar ni kwa ajili ya zanzibar au? Maana zanzibar ni nchi inayojiendesha kwa katiba yake na serikali yake
...maazimio yote ni kwaajili ya tanzania,majina yalikuja kwa kuzingatia mkutano wa hilo azimio ulifanyika wapi....