seki alipanda boda boda akienda wapi ......?... hizi ni hatari sana tena mjini.... RIP
RIP removed
seki alipanda boda boda akienda wapi ......?... hizi ni hatari sana tena mjini.... RIP
Jamani Seki ni nani?
Jamani Seki ni nani?
ukweli ni kwamba kikundi cha the original comed wamefiwa na fundi wa pa (sound man) wao ndg. Mohamed muya aliyepata ajali ya pikipiki. Seki yupo salama. Mwenyezi mungu ailaze roho ya marehemu m. Muya mahali pema peponi. Amen
hahahahaha nimecheka kwa sauti hapa..:israel:Wakukundi waore kindu keamba kpsa ulawenenge ma umu preta nuichuo inyi tupu
Pole sana. Hii ndo JFremoved.
hahahahaha nimecheka kwa sauti hapa..:israel:
hahahahaha nimecheka kwa sauti hapa..:israel:
RIP pretayeuwooomiiii........lakini hata nikirest najua ninapoenda, sijali sana kuhusu mwili bali naihangaikia roho yangu zaidi
nimezipata kama tetesi
ooh my my......rip seki......ilitokeaje?