Habari kutoka TBC saa saba mchana, "mtaalam wa sauti wa kundi la Orijino Komedi amefariki kwa ajali (ya pikipiki)"
Kingo,Habari kutoka TBC saa saba mchana, "mtaalam wa sauti wa kundi la Orijino Komedi amefariki kwa ajali (ya pikipiki)"
Hahaha Pdidy watu wanamu RIP wakati bado yuko haiwhat??
mmmmhhhhhh RIP SEKI
Wasiwasi wangu tu yule jamaa asije akawa ameongeza mAGOROFAi kwa vifo kama hivi??
Kwamba?????????????????nimezipata kama tetesi
pdidy - umeshaenda loliondo kwa babu?
Back to the thread - seki ndiye alikuwa mtaalamu wa sauti?
Wasiwasi wangu tu yule jamaa asije akawa ameongeza mAGOROFAi kwa vifo kama hivi??
Hahaha Pdidy watu wanamu RIP wakati bado yuko hai