CHAI CHUNGU
JF-Expert Member
- Feb 20, 2012
- 7,113
- 930
Wana JF mimi nafsi nakereka sana na hii zawadi,yes zawadi ni zawadi,but hii ya tsh50 siyo.
Mtu unatuma zaidi ya tsh 800,000 kwa M PESA,mara unapokea sms eti umepewa zawadi ya tsh50 kwa kutuma pesa kwa M PESA,kwanini wasitoe zawadi japo ya sms 10 kuliko hako ka tsh50 kao?
NOTE:vodacom itazameni upya hii zawadi yenu bana.
Mtu unatuma zaidi ya tsh 800,000 kwa M PESA,mara unapokea sms eti umepewa zawadi ya tsh50 kwa kutuma pesa kwa M PESA,kwanini wasitoe zawadi japo ya sms 10 kuliko hako ka tsh50 kao?
NOTE:vodacom itazameni upya hii zawadi yenu bana.