
Pamoja sana Kipipi, Kusaidia wahitaji ni ibada na baraka kuu regardless umesaidia nini. Mradi umetoa kwa moyo uliofunuka. Kutoa ni moyo.Thank you so much my dear KOKUTONA .
Ujumbe wako umenigusa sana.
Nimetamani sana siku hiyo nipate walau masaa kadhaa nitembelee japo wagonjwa wawili watatu.
Japokuwa nimebanwa, ila I pray nimalize shughuli zangu mapema au hata kuahirisha mambo mengine,
Kwani hiyo itanifariji sana moyo wangu.
Kwa yeyote atakaepata nafasi pia aweza kufanya hivyo huko alipo.
Amini nakwambia rafiki . . . upendo wako ni wa muhimu sana hasa kwa watu wenye uhitaji.
Ni mimi na wewe,
Ni sisi na jamii.
Mwenyezi Mungu na atujaalie wepesi wa moyo.
Ampe kila mmoja wetu kwa mapenzi yake.
View attachment 82915
Sisi siku ya Valentine tumekubaliana kubadilishana line za simu. Atachukua line yangu na yeye atanipa yake one day before, kisha kila mtu atakuwa kwake siku nzima, tutarudishiana the following day. Nadumisha upendo, naruhusu kupiga na kupokea simu. Acheni unafiki wa kupeleka vi maua tu, go further.
Jamani sijui ni ushamba, mimi sio muumini kabisa wa hii kitu valentine, huwa nawashangaa tu watu wanavyohangaika na siku hii
Eti nini komando King'asti??
Haki ya nani dunia imekaa mguu sawa....
Heri yetu tuliokwishakombolewa kwa kustaafu....
Babu DC!!
heh, babu umestaafu wakati unawaza mapenzi 24/7?
Actually namuongelea coaligue. She doesnt treat me ok. Namtabasamia, namualika luncheon ananitolea nje. Mi nilifundishwa sande skuli tusiwekeane bifu. Nataka nimalizane nae valentine, bora tuue urafiki kuliko tuwe maadui.
Uko powa CHUAKACHARA......