1.Kwahiyo kwasababu tu tunajua kwamba wanaume wapo tayari kununua ngono wote tuanze kujiuza?Nauliza hivyo kwasababu haitofautiani na kutumia kigezo cha mahari kuhalalisha biashara ya ngono sehemu za kazi a.k.a KUTUMIKA kwa malengo.Alafu mahari sio kumnunua mwanamke, hiyo ni tafsiri iliyopotoka. Mahari ni kama zawadi, thamani ya mwanadamu ni zaidi ya ng'ombe kadhaa.
2.Huo ni ulimbukeni, ila hauwezi anza kabla ya kuwajua hao anaotaka kuwarusha roho.Kurushana roho kunaanza baada ya kufahamiana na kupeana sababu za kurusha roho.
Sasa fikiria kizazi chetu na kitakachofuata tutakavyokua huko mbeleni ikiwa 'moral compass' za wakubwa wetu zilivunjika zamani.Itafika mahali hata mgonjwa atatakiwa kutoa rushwa ya hongo kabla ya kutibiwa.Si rahisi hata kidogo Lizy, kwani hata unapojaribu kumkataza mwengine asifanye ulicho/unachofanya wewe nafsi inakusuta, wachilia mbali jamii ambayo imekuwa ikiona matendo yako. Mara nyengine hata huyo unayemkataza anaweza kukuambia, "you're none to teach me ethics"!
Hatuna umoja ndio maana.Hivi unadhani kundi la wanafunzi wenye hasira wanashindwa kumuadabisha mwalimu mmoja wakitaka?Wabongo tunavyoogopa kuwa mashahidi. Na huyo mtuhumiwa nae si ni rahisi kupata marafiki wa kuunga mkono utetezi wake? In fact hapo ndipo tatizo lipo. Walimu wenzake wata-side na mwalimu mwenzao.
Sijakuelewa!
mmezungumza mengi lakini kuna vitu viwili hatujataja
1.tamaduni za kiafrika..
fikiria mahari kwa mfano ni nini????
kwa nini waafrika mwanamke anatazamwa kama kifaa cha kununuliwa na kutumika?????
je tamaduni hizo hazichangii 'mawazo' ya 'kupata mwili wa mwanamke' kwa mbinu na hila kuwa ni jambo la kijanja na la maana???
Kwenye red unafikiri kule India ambako wanawake ndio wanaotoa mahari imechangia kwa "mawazo" ya "kupata mwili wa mwanaume' kwa mbinu na hila kuwa ni jambo la kijanja na la maana?
Umesoma kweli kila nilichoandika Boss au basi tu umejisikia kusema hueleweki!?Soma tena sentensi inayofuata kabla ya kushawishika kuamini kwamba nimesuggest hicho ndicho ulichosema wewe.sio tu hujanielewa na umezungumza kitu ambacho sikuzungumza
sijui ni wapi nimesema wote muanze kujiuza?
Kiukweli naona siku hizi mabinti ndio wanaoongoza kwa kutoa, wakinikuta kijana muadilifu kama mimi naipokea vizuri hii zawadi ya k*** halafu ajira nampa anayestahili. Hata ningekuwa Mwl ningefanya vivyo hivyo Kama anaweza akanishtaki.
Hatuna umoja ndio maana.Hivi unadhani kundi la wanafunzi wenye hasira wanashindwa kumuadabisha mwalimu mmoja wakitaka?
Shule nayo itafukuza/hamisha/felisha wanafunzi wangapi?Wakifanya hivyo wanaweza kufeli wote or shule inaweza kuwa chungu. Imbalance relationship iliyopo ndio tatizo. Tanzania unaweza kumwadibisha daktari halafu uendelee kutibiwa nae au na hata madaktari wenzake wa hosipitali hiyo? Na hata kama ukihama shule habari zako za kufukuzisha mwalimu zitafika kwenye shule mpya. Walimu nao wana mtandao wao.
kwanza nashkuru kwa kuelewa point yangu kuhusu culture
siwezi kuzungumza sana kuhusu india sababi sijawahi kuishi huko
lakini jiulize kitu kimoja kwa nini wahindi na hata waarabu wa Tanzania
hawatumii nafasi zao kuomba rushwa ya ngono kwa wanawake wenzao wa kihindi na kiarabu?
lakini wanawatumia wanawake zetu wa kiafrika?????
kwenye makampuni ya wahindi huwezi kukuta wahindi wa kiume wana abuse wahindi wenzao wa kike,
sana sana mwanamke anathaminiwa saana na hata kupewa special treatment.....
Kwanini?
Niliandika hivyo kwa makusudi.
Nisipocheka majirani watajuaje kama nipo...
zipo 'zawadi za ngono' ambazo ni fair and halali kabisaaa'
sio kusema kuwa 'ngono haiwezi kuwa zawadi'
Mi najua kua ngono, among other possible definitions, ni zawadi kati ya wapendenao...kwa makusudi yapi?
zipo 'zawadi za ngono' ambazo ni fair and halali kabisaaa'
sio kusema kuwa 'ngono haiwezi kuwa zawadi'
inaweza kuwa zawadi vilie vile
na sio rushwa ya ngono na zawadi ni sawa sawa
Sina udhibitisho lakini wanasema kuwa wahindi/waarabu regard themselves as racially superior to blacks. Kama ni kweli then, panapokuwa na mwanamke wa race yake na mwafrika, si atam-treat vizuri wa race yake kuliko huyo Mwafrika? Only if they think their racially superior. Lakini sikubaliani na wewe kuwa wahindi/waarabu wanawapa special treatment wanawake wa rangi yao. Labda wakati wakiwa nje lakini wakiwa ndani, they face the same treatment.
Labda culture yetu ya Kiafrika ina-undermine wanawake to the extent ya kuona wale wa kihindi/kiarabu wanapewa special treatment na waume zao? Na kwa vile unasema kuwa wahindi/waarabu wa Tanzania hawatumii nafasi zao kuomba rushwa ya ngono kwa wanawake wenzao wa kihindi/kiarabu lakini wanawatumia wanawake wa kiafrika una maana kuwa issue ya mahari sio chanzo kama ulivyouliza kwenye post yako ya awali? Kwamba hata kama mahari ikipigwa marufuku bado tatizo litaendelea kuwepo?
Wapi nimesema haiwezi kuwa zawadi halali?kwa makusudi yapi?
zipo 'zawadi za ngono' ambazo ni fair and halali kabisaaa'
sio kusema kuwa 'ngono haiwezi kuwa zawadi'
inaweza kuwa zawadi vilie vile
na sio rushwa ya ngono na zawadi ni sawa sawa