Shopping uwii kuanzia head to toe kila mwezi lazima Sanduku la nguo na kuha kikisha she is happy na watu wote wawe na wivu Kama ana mtoto wa kike.na kuhakikisha anafanya check up every year hapa USA ( yale hospital )
yani nlivosoma hii thread kidogo tu,ikabidi nimpigie simu kwanza my mom,js do anything that makes her happy ukiwa na uwezo nacho mfanyie tu ,au.muulize kama ana shida yoyote or just be there to spend time with her ,a mother's love is the best thing anyone can have..nampenda sana mama angu
hakuna zawadi inayolingana na hadhi ya mama.. chochote nachofanya huwa naona kama bado sijamridhisha bt wonderful enough nikimpelekea hata kilo moja ya sukari anaridhika.
mama ni mama.. sio hawa wanawake ambao hata umnunulie simu ya milioni baada yamwezi moja atakuambia ameichoka na atahitaji kuibadilisha..
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.