Zawadi kwa mama

Zawadi kwa mama

asante ya mdomo haitoshi kama kweli umejaliwa kipato, kama hana gari mnunulie au muongezee lingine,nyumba nzuri kama bado anaishi kibanda cha mbwa,akaunti yake isome,suti,wax na mengineyo,kama huna kipato jikongoje kutafuta hata wax inatosha.

Zawadi gani ya kwanza au bora zaidi kumpa mama.
Duh!!!
 
Zawadi gani ya kwanza au bora zaidi kumpa mama.
Duh!!!

Zawadi bora kabisa ya kumpa mama hasa wa Kiafrika ni wewe kuwa na familia bora kabisa. Mama ni shock absober wa familia zetu mara nyingi, watoto wake wakiwa na familia bora utaona mama anapanga safari kutembelea wanae. Hii ndio zawadi ya kwanza bora kwa mama ye yote. Zawadi za vitu mara nyingi huwa ni zawadi nzuri kwa baba zetu.
 
Zawadi bora kabisa ya kumpa mama hasa wa Kiafrika ni wewe kuwa na familia bora kabisa. Mama ni shock absober wa familia zetu mara nyingi, watoto wake wakiwa na familia bora utaona mama anapanga safari kutembelea wanae. Hii ndio zawadi ya kwanza bora kwa mama ye yote. Zawadi za vitu mara nyingi huwa ni zawadi nzuri kwa baba zetu.

So wewe ulicho fanya ni kuwa na familia bora (ukaiita zawadi bora ya mama) peke yake
inatosha?

Pointi nayo chukua ni kwamba una mpa tiketi ya kuja kwako kama zawadi.
Na pili,haiwezekani akija kwako umsindikize airport/bus stand afu unaachana nae
kiukavu ukavu tu,....unacho mpa kuondoka nacho kama zawadi ndicho nacho taka kujua.
 
So wewe ulicho fanya ni kuwa na familia bora (ukaiita zawadi bora ya mama) peke yake
inatosha?

Pointi nayo chukua ni kwamba una mpa tiketi ya kuja kwako kama zawadi.
Na pili,haiwezekani akija kwako umsindikize airport/bus stand afu unaachana nae
kiukavu ukavu tu,....unacho mpa kuondoka nacho kama zawadi ndicho nacho taka kujua.

Zawadi kwa maana ya material mara nyingi huwa nampa suprise ya tenge la nguvu.
 
kwani swali la msingi lilikuwa wakupendekezee zawadi ya kumpa mama yako!!!!!naona wametoka nje ya mada au mada haijaeleweka!!!

hatujatoka nje ya mada kama unavyofikiria,ww ndo hujaelewa hapo kuna maswali mawili;
  1. kwa waliowahi
  2. ambao hawajawahi
we jibu unaloweza au linalokuhusu.
 
Meeting her expectations. That is the grande gift she ever wanted from me. I played my part. Mom, i hope i am still making you proud. And i loved you ma!


Hapa Shosti umenibore swali kiswahili wewe unaleta lugha ya Malkia wajua wengine tuna aleji na kiinglishi kichwa kinauma Bana Tafsiri tafadhali dear
 
hatujatoka nje ya mada kama unavyofikiria,ww ndo hujaelewa hapo kuna maswali mawili;
  1. kwa waliowahi
  2. ambao hawajawahi
we jibu unaloweza au linalokuhusu.
kwa walio wahi ni zawadi gani walitoa na kwa ambao hawajawahi ni zawadi gani watatoa,je katka maswali hayo mawili ni swali lipi linalowafanya watu wamwambia amnunulie mama yake kanga au kitenge n.k!!!!yeye hajataka asaidiwe kupendekezewa zawadi!!!ameuliza experience yenu!!
 
kwa walio wahi ni zawadi gani walitoa na kwa ambao hawajawahi ni zawadi gani watatoa,je katka maswali hayo mawili ni swali lipi linalowafanya watu wamwambia amnunulie mama yake kanga au kitenge n.k!!!!yeye hajataka asaidiwe kupendekezewa zawadi!!!ameuliza experience yenu!!

we unambwelambwela kwenye thread ya watu mwenyewe anakusanya maoni kama hujui hebu rudi nyuma uone anavyoquote watu na maoni anayoyatoa ndo utajua kama nayeye yuko out of the point au lah usipende kukariri njia,unasoma upepo unakoelekea anza kumkosoa yeye akikubali ndo namie utakua umeniconvince coz tunaongea na mfuga mbwa na sio .............
 
Ndo maana nikasema meeting her expectations! Ukiwa na mawazo kama haya huwezi kuoa mwanamke kama, Natalia. Anaeona kukaa na mamako ama kutembelewa ni kadhia! When your home is a small heaven, settled and bouncy with happyness, wazazi wanafurahi kiukweli!
Zawadi bora kabisa ya kumpa mama hasa wa Kiafrika ni wewe kuwa na familia bora kabisa. Mama ni shock absober wa familia zetu mara nyingi, watoto wake wakiwa na familia bora utaona mama anapanga safari kutembelea wanae. Hii ndio zawadi ya kwanza bora kwa mama ye yote. Zawadi za vitu mara nyingi huwa ni zawadi nzuri kwa baba zetu.
 
Last edited by a moderator:
Hehehe, unajua my mom alisharest in peace. Na mojawapo ya zawadi ni mie bintiye kuongea kidhungu. Ndo nikaona niandike kidhungu incase huko heaven kuna jf.
Lol, mzima lakini? Nshalewa hapa kingreza kama kumsukuma mlevi!
Hapa Shosti umenibore swali kiswahili wewe unaleta lugha ya Malkia wajua wengine tuna aleji na kiinglishi kichwa kinauma Bana Tafsiri tafadhali dear
 
Hapa Shosti umenibore swali kiswahili wewe unaleta lugha ya Malkia wajua wengine tuna aleji na kiinglishi kichwa kinauma Bana Tafsiri tafadhali dear

he he he he
 
Ndo maana nikasema meeting her expectations! Ukiwa na mawazo kama haya huwezi kuoa mwanamke kama, Natalia. Anaeona kukaa na mamako ama kutembelewa ni kadhia! When your home is a small heaven, settled and bouncy with happyness, wazazi wanafurahi kiukweli!

Nikioa mtu kama Natalia akaonesha tabia yake mara MOJA TU.
Natoa talaka,jabo imani yangu hairuhusu,lakini NITATOA TALAKA HARAKAAAA.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom