Ningependa kufahamu,ni zawadi gani "ya kwanza" uliyo wahi
kumpatia mzazi wako wa kike (mama)?
Au kama hujawahi,unadhani ipi ni zawadi bora kabisa kwa mama?
Hahaha, wewe utakua mtoto wa Mama tuNavyo fahamu mama yangu would appreciate anything, lakini hakuna anacho kifurahia zaidi ya kumtembelea haswa pale akiona vijukuu vyake, unaona yeye ndo anaenda kuvipa chips, Kitkat, sijui Ice cream na mambo mengi tu.
Afu cha ajabu mpaa mda huu nimeoa na nina mke na watoto, anaendelea kunipa pesa na wakati sina shida, mpaa nashangaa.
I want to let the world know that, I am so proud of my mother :A S thumbs_up:
Hahaha yani we unadhani kupendwa na mama yako lazima uwe mtoto wa mama tu, nadhani hapa hata wife angesoma angecheka sana, kitu usicho kijua ni sawa sawa na usiku wa giza.Hahaha, wewe utakua mtoto wa Mama tu
kwani swali la msingi lilikuwa wakupendekezee zawadi ya kumpa mama yako!!!!!naona wametoka nje ya mada au mada haijaeleweka!!!Wazo zuri sana,ingawa sijawahi kumuona anavaa mavazi ya vitenge.
Inabidi kumlazimishia tu he he
Navyo fahamu mama yangu would appreciate anything, lakini hakuna anacho kifurahia zaidi ya kumtembelea haswa pale akiona vijukuu vyake, unaona yeye ndo anaenda kuvipa chips, Kitkat, sijui Ice cream na mambo mengi tu.
Afu cha ajabu mpaa mda huu nimeoa na nina mke na watoto, anaendelea kunipa pesa na wakati sina shida, mpaa nashangaa.
I want to let the world know that, I am so proud of my mother :A S thumbs_up:
Meeting her expectations. That is the grande gift she ever wanted from me. I played my part. Mom, i hope i am still making you proud. And i loved you ma!
asante ya mdomo haitoshi kama kweli umejaliwa kipato, kama hana gari mnunulie au muongezee lingine,nyumba nzuri kama bado anaishi kibanda cha mbwa,akaunti yake isome,suti,wax na mengineyo,kama huna kipato jikongoje kutafuta hata wax inatosha.